TOYOTA RAUM 2003 TSH 10,200,000/= 59956km
========================================
Kwa kiasi cha shillingi 10,200,000/= tu Agiza gari toyota raum inayofaa kwa Matumizi binafsi na ya familia.
Anza...
Quality Business Solutions Company Limited.
P o Box 70401 Dar es salaam
Tunauza quickbooks na Tally software piaa tunatoaa training kwa bei rahisi sa...Contact us 0714777211 or 0766866717...
Habari wakuu
Natafuta one bedroom apartment in short term lease/rent One Month only maeneo ya Michenzani, Kikwajuni, Mtendeni, Mlandege , Kilimani ama Kwa Mchina Mwisho. Nategemea kuwepo Zenj...
Habari wapendwa naitaji mayai ya kuku wa kisasa kwa wiki naitaji trei 100 za mayai kwa mwezi naitaji trei 400 napatikana dar-es-salaam posta mpya mtaa wa jamhuri kwa mawasiliano 0676918508
Tangazo,
Leo tarehe 30/08/2017 saa 1 mpaka saa 4 asubuhi, na kesho tarehe 31/08/2017 saa 1 mpaka saa 4 asubuhi kutakua na wataalamu pale DUCE karibu na uwanja wa taifa.
Wataalamu hao watatoa...
Nahitaji mayai ya kisasa..kila siku mwenye uwezo wa kuniuzia kati ya trey 50 hadi 200 anitafute tufanye busness ya kudumu.Napatikana mbezi-Dar es salaam
0716666954
Hellow wadau,
Kwa wale wanaohitaji asali mbichi za nyuki wakubwa inapagikana na kwa nyuki wadogo inapatikana kwa order.
Kwa sasa niko Dar inaye hitaji anitafute kwa no. 0765131418, au...
Bado ninatafuta mwenye Toyota Raum au IST offer yangu ni 7mil. Number za gari zianzie C au D. WhatsApp 0715520052. Nitalipa the same day I see the car.
Habari wana jamii forum, mimi natafuta zile nguo za mitumba ambazo zimeshachaguliwa (disposable) zimebaki za mwisho kabisa maarufu kama maronya (yawe ni magauni) ili niende nikaziuze mnadani. kwa...
Kwa wajasiriamali na wengineo:
1. Jipatie laptop bag mpya kwa bei ya Tshs. 15,000 tu.
Bags hizi zinafaa kwa shughuli nyingine pia kama kubebea documents n.k
Nunua mengi (kuanzia 5....hadi 100)...
Pata machine ya efd bora na za kisasa zaidi kwa bei poa kabisa wahi sasa kwani tumetoa ofa kabambe kabisa kwa watu wote wataonunua wiki hii tupo makumbusho kwa maelezo zaidi
Piga simu...
Nataka kuanzisha ukumbi wa kuoneshea mpira. Sasa basi naombeni kujua king'amzi cha azam kina bei gani. Pia TV size gani inafaa kwa kuanzia pamoja na bei yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Blog ni mtandao unaikuwezesha Kuweka makala, kutoa habari, kutangaza biashara yako, Kuwekaa taarifa za taasisi, vikundi au shirika, Kutoa mafunzo mbalimbali kwa njia ya Mtandao. Hii ni fursa ya...
Ndugu wana Jamii,
Bado sijapata Msaada wa kupata contacts za mtu yoyote mwenye proper information ya jinsi ya kupata na kununua Saw palmetto kutoka Tanzania .
Please mwenye serious information...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.