Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta lotion nzuri ya kiume,Nina chunusi usoni,ngozi yangu ina mafuta.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
TOYOTA RAUM 2003 TSH 10,200,000/= 59956km ======================================== Kwa kiasi cha shillingi 10,200,000/= tu Agiza gari toyota raum inayofaa kwa Matumizi binafsi na ya familia. Anza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Quality Business Solutions Company Limited. P o Box 70401 Dar es salaam Tunauza quickbooks na Tally software piaa tunatoaa training kwa bei rahisi sa...Contact us 0714777211 or 0766866717...
1 Reactions
0 Replies
853 Views
Habari wakuu Natafuta one bedroom apartment in short term lease/rent One Month only maeneo ya Michenzani, Kikwajuni, Mtendeni, Mlandege , Kilimani ama Kwa Mchina Mwisho. Nategemea kuwepo Zenj...
0 Reactions
2 Replies
910 Views
Habari wapendwa naitaji mayai ya kuku wa kisasa kwa wiki naitaji trei 100 za mayai kwa mwezi naitaji trei 400 napatikana dar-es-salaam posta mpya mtaa wa jamhuri kwa mawasiliano 0676918508
2 Reactions
23 Replies
5K Views
Tangazo, Leo tarehe 30/08/2017 saa 1 mpaka saa 4 asubuhi, na kesho tarehe 31/08/2017 saa 1 mpaka saa 4 asubuhi kutakua na wataalamu pale DUCE karibu na uwanja wa taifa. Wataalamu hao watatoa...
0 Reactions
3 Replies
874 Views
Color Black, CC 1690 AB ABSHID NV 90s km Total cost + Ushuru 29.9Mil Agiza nami: call/whatsapp +255715471659 e: hamoudautocom@gmail.com
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji mayai ya kisasa..kila siku mwenye uwezo wa kuniuzia kati ya trey 50 hadi 200 anitafute tufanye busness ya kudumu.Napatikana mbezi-Dar es salaam 0716666954
0 Reactions
2 Replies
896 Views
Hellow wadau, Kwa wale wanaohitaji asali mbichi za nyuki wakubwa inapagikana na kwa nyuki wadogo inapatikana kwa order. Kwa sasa niko Dar inaye hitaji anitafute kwa no. 0765131418, au...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Bado ninatafuta mwenye Toyota Raum au IST offer yangu ni 7mil. Number za gari zianzie C au D. WhatsApp 0715520052. Nitalipa the same day I see the car.
0 Reactions
2 Replies
745 Views
NAUZA Kiwanja, 53m kwa 37m ,kipo mbagala Kongowe,bei ni 6m ( mazungumzo yapo), tayari kina jengo( chumba kimoja) mimi ni mmiliki wa eneo, karibuni Tuwasiliane 0768208713
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari wana jamii forum, mimi natafuta zile nguo za mitumba ambazo zimeshachaguliwa (disposable) zimebaki za mwisho kabisa maarufu kama maronya (yawe ni magauni) ili niende nikaziuze mnadani. kwa...
0 Reactions
3 Replies
983 Views
Kwa wajasiriamali na wengineo: 1. Jipatie laptop bag mpya kwa bei ya Tshs. 15,000 tu. Bags hizi zinafaa kwa shughuli nyingine pia kama kubebea documents n.k Nunua mengi (kuanzia 5....hadi 100)...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Pata machine ya efd bora na za kisasa zaidi kwa bei poa kabisa wahi sasa kwani tumetoa ofa kabambe kabisa kwa watu wote wataonunua wiki hii tupo makumbusho kwa maelezo zaidi Piga simu...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Nataka kuanzisha ukumbi wa kuoneshea mpira. Sasa basi naombeni kujua king'amzi cha azam kina bei gani. Pia TV size gani inafaa kwa kuanzia pamoja na bei yake Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Blog ni mtandao unaikuwezesha Kuweka makala, kutoa habari, kutangaza biashara yako, Kuwekaa taarifa za taasisi, vikundi au shirika, Kutoa mafunzo mbalimbali kwa njia ya Mtandao. Hii ni fursa ya...
0 Reactions
4 Replies
812 Views
Ndugu wana Jamii, Bado sijapata Msaada wa kupata contacts za mtu yoyote mwenye proper information ya jinsi ya kupata na kununua Saw palmetto kutoka Tanzania . Please mwenye serious information...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Anaejua zinapouzwa hapa Dar naomba msaada Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
582 Views
Kiwanja kinauzwa 20M(milioni ishirini) mazungumzo yapo, kipo Mbezi Msakuzi Kina ukubwa wa mita 24 kwa 32. 0629-226770 Mawasiliano
0 Reactions
2 Replies
990 Views
Wadau,naomba kufahamu kwa wenye taarifa sahihi Gharama ya Hostel nje ya chuo jirani na DUCE ni bei gani na upatikanaje wake ukoje?
1 Reactions
20 Replies
6K Views
Back
Top Bottom