Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wana jf tunachimba visima kwa bei rahisi kabisa pamoja na kufanya ground water survey Mawasiliano 0625 576082 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nina MPC studio Black bado ipo katika hali nzuli sana bei ni 650,000 Kama una pungufu unaongea. Nicheki humu 0768021321 (kwa wenye uhitaji tu)
1 Reactions
0 Replies
2K Views
I need total info about clearing cost of bus or containner Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
619 Views
Warembo karibuni kupata vitu classic pochi kali na viatu unique.mali zetu ni kutoka thailand..no fake zone[emoji16][emoji16] karibuni sana .<br />Ps..Tunafanya delivery dar na mikoa yote...
1 Reactions
3 Replies
896 Views
Warembo karibuni kupata vitu classic pochi kali na viatu unique.mali zetu ni kutoka thailand..no fake zone[emoji16][emoji16] karibuni sana . Ps..Tunafanya delivery dar na mikoa yote Tz..wholesale...
0 Reactions
4 Replies
885 Views
Habar zenu wakuu nahitaji vifaa vya saloon ya kike kwa anae uza Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
898 Views
Habari wandugu Nataka kufungua dry cleaner Mwenye uzoefu wa hizi mambo naomba anipe hata hints kidogo natakiwa mashine ngapi naweza kuzipata wapi na ghalama zipe.. Nataka kufungua maeneo yenye...
0 Reactions
1 Replies
794 Views
Wakuu heshima zenu, RAV 4 old model, Sifa Namba=B/C Rangi=Blue/Red/Black/Dark blue/ kwa ufupi isiwe nyeupe au silver Mengine majadiliano, bei isizidi 7m Nawasilisha
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Moja ya bidhaa zetu zilinazo Fanya vizur sokoni in pure black castor oil pamoja na shampoo yake huyu ni mmoja Wa Mteja wetu wa.Znz ambaye alianza kutimia mafuta haya takriban mwezi sasa na hayo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu tuna page instagram ya kutangaza vitu used vya majumbani, ofisini na vitu vya watoto vinavyouzwa kwa bei nafuu, usitupe kitu usichohitaji tena, kumbuka cha zamani kwako kipya kwetu. tutafute...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habari hapo Juu Coaster bus zinauzwa zipo Mbili bei mil.26 mwenye kuitaji Maelezo zaidi nicheki Pm karibuni
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Nauza sabuni za kigoma Mche sh 1500 Jumla na Reja reja Simu 0716 44 45 55 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
**nina laptop aina ya dell inspiron N1545. laptop ipo katika hali nzuri kabisa yaani haina michubuko na kila kitu kina piga kazi fresh. ina RAM 2GB HDD 320GB SCREEN SIZE INCH 15 BATTERY IKO POA...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Vipi wadau, kama kuna mdau anayejuwa mashine za kukuna nazi zilipo nahitaji. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Moja ya bidhaa zetu zilinazo Fanya vizur sokoni IGIHA BODY CREAM inalainisha ngozi inatoa chunusi na madoa inang'arisha lakin haichubui, inaondoa chunusi mabaka na kukufanya uwe na rangi moja...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Chumba sebule na choo chake pia kina jiko bei 150,000/-dak 5 tokea mliman city gari inafika hadi mlangoni kwako hakuna dalali. Piga 0713401812
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu Natafuta Chuma kimoja kiwe self-contained maeneo ya Mbezi Beach, Sinza au Makongo Juu... Nyumba iwe ndani ya Fensi, Isiwe na wapangaji wengi kuepuka kupigizana kelele. Bajeti...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu,...Nakaribisha maombi ya wadau wanaoomba kuandikiwa bank proposals, project proposals, business plans, business ideas na ushauri wa kibiashara katika sekta za elimu, jamii, kilimo, afya...
3 Reactions
2 Replies
977 Views
Habari za saizi wapendwa, Mimi ni mtanzania mwenzenu niliyebahatika kukua katika FAMILIA ya kiufugaji,(KUKU WA KIENYEJI). Tuna kampuni yetu iitwayo SHITINDI POUTRY FARM AND HATCHER. Hii kampuni...
1 Reactions
19 Replies
9K Views
Nataka za sample hizi zenye mic n k Nikienda maduka mengi nakuta ambazo hazina mic Kama hizi nitazipata wapi hapa bongo na bei gani hizi? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Back
Top Bottom