Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

natafuta vigae vya zamani kaama vile viilivyoezekwa katika nyumba za serikali obay...nafikiri mtakua mmenipata.kama kuna mtu amevitoa kwwnye nyumba yake ani pm tufanye biashara.nachukua idadi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
1.Eneo lipo nala kibaoni dodoma mjini 2.Linauzwa kama shamba ila laweza tumika kwa makazi ama shughuli nyingine kutokana na mahitaji ya mnunuzi 3.Lina hati ya kijiji(serekali ya mtaa)...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
WOOD FLOORING. (Laminated Floor) Give Elegant Look... Cheaper then TILES MORE CHEAPER then Pure HardWood. Email for more details- info@decortz.com
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Hii camera IPC-A35 3MP-WIFI-PTZ ina uwezo wa kuzunguka 360 pia unaweza kuizungusha kwa kutumia simu yako ya IOS/AOS popote utakapo kua hata nje ya nchi, pia unaweza itumia kuongea kama simu na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba nipewe mwanga kuhusu bei ya vigae vya chini kwa hapa Dar es salaam Vigae vya 60cm kwa 60cm, 50cm kwa 50cm na mwisho 20cm kwa 20cm vinakaa vingapi kwenye box na bei kwa box
0 Reactions
3 Replies
5K Views
T427 DCF Manufacture year-1998 Engine Capacity-2779cc 176500 km Transmission-Manual Fuel-Diesel Full A/C Electric windows 2 Airbags 4WD 4 doors 5 gears 5 seats Price-25 millions Contact:+255787395557
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu Nauza laptop yenye sifa hizi Aina: Hp Operating system: window 8.1 Pro 64-bit (6.3, Build 9600) Processor: intel core i5 nvidia System model: HP Elitebook 8540w RAM:4096MB DISPLAY...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari wadau, Nahitaji kiwanja maeneo ya Goba, kiwe kikubwa wastani na kisiwe mbali na barabara ya Goba, kutembea kwa mguu sio zaidi ya dakika 15 kutoka stend/barabara kuu ya Goba. Dau langu ni 10m.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Za asubuhi wadau Nahitaji line ya M-Pesa anaye uze anicheck PM NB: ikiwa ni zile double line itakuwa poa zaidi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu kama uzi unavyosema, nahitaji meza na viti za ofisi, kama unavyo pm Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari wanajukwaa, Mzani ni kama mpya umetumika kwa miezi 6 tu, unauwezo wa kupima kg500 kwa Mara moja, mzani upo Goba Dar es salaam, bei yake ni Tsh 650,000 tu Kwa atakayehitaji anicheck kwa...
0 Reactions
5 Replies
44K Views
jamani massage inasaidia kurelax mwili
1 Reactions
17 Replies
9K Views
Habarini wadau Nafuta vijana wa kiume au wa kike wanaoweza kufanya kazi ya mgahawa kuuza chips/mishikaki chakula kama wali/ugali kupika supu na chapati. Kama wapo na wanamtaji wanione pm kuna...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa wenyeji wa Arusha na Moshi natafuta frem iliyokaa mahar pazur kwa ajil ya biashara ya nguo za mtumba pamoja na viatu yeyote mwenye access nayo ani pm wandugu Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
2K Views
MAURICE EDUCATION ACADEMY inawasogezea huduma ya pre form one kwa miezi mitatu elfu arobaini tuu masomo yote ya msingi (basic studies) yatafundishwa . tupo mbagala mbande stendi OFA zitolewazo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu waungwana Ninauza kiwanja changu kilichoko nje kidogo ya jiji la Tanga ukivuka tu mizani ya pongwe kijiji kinachofuatia kinaitwa KILAPULA, kina ukubwa wa 40/50 yaani upana 40. No...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hello, jamani visheti vya Nazi hivyo Kikopo 1000 (Delivery kuanzia vikopo 5 na unanichangia nusu ya nauli) Jumla 800 kuanzia PC 30 Location Ubungo Call 0714547830 invest what you are...
4 Reactions
28 Replies
11K Views
Pata genuine software ya Microsoft office 2016 kwa bei sawa na bure. Pia pata installation ya genuine Microsoft windows 10, 7 ama 8 kwa bei sawa na bure. Utapata software hizo kwa bei rahisi na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nipo Mbezi beach bei 330 (negotiable) cont: 0713774746
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana JF! Kama heading inavyojielezea, leo nawaletea novels kuanzia bibliography za watu mbali mbali,drama mpaka fiction! Zinapatikana kwa muundo wa PDF na EPUB!! kwa wale ambao hawana EPUB...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom