natafuta vigae vya zamani kaama vile viilivyoezekwa katika nyumba za serikali obay...nafikiri mtakua mmenipata.kama kuna mtu amevitoa kwwnye nyumba yake ani pm tufanye biashara.nachukua idadi...
1.Eneo lipo nala kibaoni dodoma mjini
2.Linauzwa kama shamba ila laweza tumika kwa makazi ama shughuli nyingine kutokana na mahitaji ya mnunuzi
3.Lina hati ya kijiji(serekali ya mtaa)...
Hii camera IPC-A35 3MP-WIFI-PTZ
ina uwezo wa kuzunguka 360 pia unaweza kuizungusha kwa kutumia simu yako ya IOS/AOS popote utakapo kua hata nje ya nchi, pia unaweza itumia kuongea kama simu na...
Naomba nipewe mwanga kuhusu bei ya vigae vya chini kwa hapa Dar es salaam
Vigae vya 60cm kwa 60cm, 50cm kwa 50cm na mwisho 20cm kwa 20cm vinakaa vingapi kwenye box na bei kwa box
Habari wakuu
Nauza laptop yenye sifa hizi
Aina: Hp
Operating system: window 8.1 Pro 64-bit (6.3, Build 9600)
Processor: intel core i5 nvidia
System model: HP Elitebook 8540w
RAM:4096MB
DISPLAY...
Habari wadau, Nahitaji kiwanja maeneo ya Goba, kiwe kikubwa wastani na kisiwe mbali na barabara ya Goba, kutembea kwa mguu sio zaidi ya dakika 15 kutoka stend/barabara kuu ya Goba. Dau langu ni 10m.
Habari wanajukwaa,
Mzani ni kama mpya umetumika kwa miezi 6 tu, unauwezo wa kupima kg500 kwa Mara moja, mzani upo Goba Dar es salaam, bei yake ni Tsh 650,000 tu
Kwa atakayehitaji anicheck kwa...
Habarini wadau
Nafuta vijana wa kiume au wa kike wanaoweza kufanya kazi ya mgahawa kuuza chips/mishikaki chakula kama wali/ugali kupika supu na chapati. Kama wapo na wanamtaji wanione pm kuna...
Kwa wenyeji wa Arusha na Moshi natafuta frem iliyokaa mahar pazur kwa ajil ya biashara ya nguo za mtumba pamoja na viatu yeyote mwenye access nayo ani pm wandugu
Sent using Jamii Forums mobile app
MAURICE EDUCATION ACADEMY inawasogezea huduma ya pre form one kwa miezi mitatu elfu arobaini tuu masomo yote ya msingi (basic studies) yatafundishwa . tupo mbagala mbande stendi OFA zitolewazo...
Habari zenu waungwana
Ninauza kiwanja changu kilichoko nje kidogo ya jiji la Tanga ukivuka tu mizani ya pongwe kijiji kinachofuatia kinaitwa KILAPULA, kina ukubwa wa 40/50 yaani upana 40. No...
Hello, jamani visheti vya Nazi hivyo
Kikopo 1000
(Delivery kuanzia vikopo 5 na unanichangia nusu ya nauli)
Jumla 800 kuanzia PC 30
Location Ubungo
Call 0714547830
invest what you are...
Pata genuine software ya Microsoft office 2016 kwa bei sawa na bure.
Pia pata installation ya genuine Microsoft windows 10, 7 ama 8 kwa bei sawa na bure.
Utapata software hizo kwa bei rahisi na...
Habari wana JF!
Kama heading inavyojielezea, leo nawaletea novels kuanzia bibliography za watu mbali mbali,drama mpaka fiction! Zinapatikana kwa muundo wa PDF na EPUB!! kwa wale ambao hawana EPUB...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.