Kama unahitaji kuuza au kununua nyumba maeneo ya mbezi beach,bahari beach,ununio,Mbweni, mikocheni, osterbay , masaki na Dodoma nk wasiliana nasi kwa haraka na uhakika zaidi
0756060183
Sent...
Habari zenu ndugu Wajasiriamali
Nahitaji kufaham wapi naweza pata Vifungashio vya Nylon (mfano wake km ivi vifuko vya Chumvi au vifuko vya Sukari ile ya Kilo1) ili niweze kufanya Packaging ya...
Kuna kiwanja kinauzwa,kipo Kibamba kibwegere kwa Kong'wa.
Kina ukubwa sqm 30 kwa sqm 18. Bei n 2M, vipo viwili pamoja,kwa anaehitaji,karibuni sana.kutoka Kibamba lami (morogoro road),nauli ya...
Ninazo pia za mataifa mengine ya Afrika kama Zimbabwe,Zambia,Malawa na Msumbiji.Nina TZS 10 ya nyerere kwa nyuma watu wanaanika mkonge na TZS 20 ya nyerere kwa nyuma kuna mgodi wa Mwadui,na...
Hii fridge inauzwa kwa bei ya 500,000/= lilikuwa linatumikaa grocery tu ila biashara imeenda biashara naamuaa kuuzaa
Automatic voltage regulator ipo katika hali nzur sanaa ,,bei ni 130,000 kwa...
Rejea hapoo juu kuna laptop aina ya
1.dell latitude
Process 2.2 , 2gb ram, disk 160 bettry minimum 3hrs bei 300000
2.lenovo thinkpad( medium size)
Disk 320, ram 4gb, process 2@ 1.5 ,bettty...
Nataka kuwa natoa dagaa kisiwani naenda uza kahama kama kuna mwenyeji uko anafanya iyo biashara au ka kuna mwenye uelewa juu ya hiyo biashara kwa maeneo ayo naomba maelezo bado nipo kwenye...
Eid Mubarak!
Sijajua jukwaa sahihi la kuweka uzi huu, mniwie radhi kama hapa si mahali pake.
Nataka kujua kwa Dar es salaam ni wapi naweza pata viatu vya safari boots mtindi/design tofauti. Nataka...
Nauza shamba langu lenye ukubwa wa Ekari 20. Lina mazao Ekari nne nanasi na passion. Eneo lingine huwa nalima muhogo. Muhogo unastawi sana. Shamba lipo BUNGU, KIBITI, pwani. Kuna banda la...
natafuta vigae vya zamani kaama vile viilivyoezekwa katika nyumba za serikali obay...nafikiri mtakua mmenipata.kama kuna mtu amevitoa kwwnye nyumba yake ani pm tufanye biashara.nachukua idadi...
1.Eneo lipo nala kibaoni dodoma mjini
2.Linauzwa kama shamba ila laweza tumika kwa makazi ama shughuli nyingine kutokana na mahitaji ya mnunuzi
3.Lina hati ya kijiji(serekali ya mtaa)...
Hii camera IPC-A35 3MP-WIFI-PTZ
ina uwezo wa kuzunguka 360 pia unaweza kuizungusha kwa kutumia simu yako ya IOS/AOS popote utakapo kua hata nje ya nchi, pia unaweza itumia kuongea kama simu na...
Naomba nipewe mwanga kuhusu bei ya vigae vya chini kwa hapa Dar es salaam
Vigae vya 60cm kwa 60cm, 50cm kwa 50cm na mwisho 20cm kwa 20cm vinakaa vingapi kwenye box na bei kwa box
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.