Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nina tani kazaa za mashudu ya alizeti na pumba za mahindi, natafuta soko nipo Tabora.
3 Reactions
7 Replies
6K Views
Pendeza kwa kuvaa viatu vikali vya mtumba kwa bei nafuu, jiunge kwenye group letu kupitia link hii hapo chini uweze kupata picha za kazi pindi tunapozipata viatu
0 Reactions
2 Replies
3K Views
ABOUT: inacheza CD aina zote haichagui, mic, flash, bluetooth unacheza mziki kwa simu ukiwa umelala kwenye kochi, mdundo mzito mno. Cable zote zipo na mashine ni mpya unakabidhiwa ndani ya box lake
1 Reactions
21 Replies
6K Views
Habari wanajamii, Nilikuwa na wazo la kutengeneza mikoba ya ngozi orignal. Naomba msaada kujua upatikanaji wa ngozi, nipo Dar es Salaam. Asanteni Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari Wana Jamii forum wenzangu, Ninaandaa na kusambaza kuku wa kisasa kwa order majumbani, yaani ninachinja mwenyewe, ninamnyonyoa na kumsafisha vizuri, pia nina mkatakata na kumpack kuku...
0 Reactions
7 Replies
973 Views
Wakuu tuna mahitaji ya materials za kuchanganyia chakula cha mifugo kwa bei ya Jumla. Tuko Dar es salaam. 1. Mashudu ya Alizeti 5 Tons 2. Dagaa 3 Tons 3. Pumba Gunia kuanzia 20 4. Chokaa 1000...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari Wana JamiiForums wenzangu, natumaini Mu-wazima, Ninaandaa na kusambaza kuku wa kisasa kwa order majumbani, na kwingineko, yaani ninachinja mwenyewe, ninamnyonyoa na kumsafisha vizuri, pia...
6 Reactions
10 Replies
1K Views
Main body inajieleza aliye na kaz anipe jaman ninajua kutengeneza hvyo vitu had vtanda vya chuma Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habarini ndugu zangu!! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji supplier wa prawns mwenye uzoefu mzuri na ambaye yuko tayari kufanya biashara katika mazingira ya uaminifu naomba...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza shamba langu lenye ukubwa wa Ekari 20. Lina mazao Ekari nne nanasi na passion. Eneo lingine huwa nalima muhogo. Muhogo unastawi sana. Shamba lipo BUNGU, KIBITI, pwani. Kuna banda la...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habari za majukumu. Ninatafuta mashine ya kufungia malisho ya mifugo (baling machine) aina ya CLAAS au NEW HOLLAND Tafadhali tuwasiliane iwapo unayo au unamfahamu aliyenayo
0 Reactions
2 Replies
682 Views
Natafuta Ofs inayouza vitu kama Laptop au sm kwa njia ya mtandao na wanaagizia wateja mikoan Kwa anaye wafaham anijuze kwa no 0767427770 whastu'p
0 Reactions
0 Replies
658 Views
Sheets To_Go ni mashuka kutoka Kampala-Uganda,,ni pure cotton(pamba 100%) 8*8 @80000(shuka 2 na foronya 4) Jumla kuanzia pea 10 8*8 @65000 Gharama ya usafiri juu ya mteja,na waliopo mikoani...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Naomba anayemfahamu fundi wa kufunga dish la TV ambaye yuko korogwe mjini anisaidie anipigie au sms au anibip 0766112752.
0 Reactions
0 Replies
956 Views
kutokana ongezeko la matumizi ya internet leo ni rahisi sana kupata ratiba ya mambo mbali mbali kwenye mitandao hivyo nimekuletea ratiba za usafiri wa mabasi ambayo ni NDENJELA JET, HAPPY...
1 Reactions
7 Replies
8K Views
Habari wadau wa kusaka mafanikio ya halali kwa nguvu zote. kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu, tafadhari ambao wako katika maeneo ambayo yana fursa za kufanya biashara inayohusiana na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Color Black, CC 1990 AB ABS AW RS FOG HID BT 180s km Total cost + Ushuru Tsh 17.9Mil Agiza nami: Call/whatsapp +255715471659 e: hamoudautocom@gmail.com ..wakati wote ni wakati wa kazi..
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Color Purple, CC 1290 AB ABS TV RS FOG NV 130s km Total cost + Ushuru Tsh 13Mil Agiza nami: call/whatsapp +255715471659 e: hamoudautocom@gmail.com ..wakati wote ni wakati wa kazi..
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Hi. My laptop is fujitsu amilo notebook Li 3710 Battery model name: 3UR18650-2-T0182. 10.8V---4400mAh, 48Wh. How much it cost in tanzania shillings? How long it takes to get a single piece in...
0 Reactions
2 Replies
617 Views
Habar wana jamii nauza(150000/) samsung galaxy s3 haina matatizo yyt nilikuwa na shida tu ya simu line mbili ndio nimepata samsung j2. 07171 064646 napatikana dar-es-salaam Sent using Jamii...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom