Ninahitaji mashudu ya alizeti, kiwango cha chini tani 25 na kuendelea.
Manunuzi yatafanyika mahali mzigo ulipo na usafiri ni juu yangu.
Inbox namba ya simu pamoja bei yako kwa kilo. Ubora...
Habari zenu wana JF, Toyota Coaster inauzwa.
Imported from Dubai and first registered in Tanzania in 18/01/2010. HZB Engine with 4163 cc.
Gari inatembea na inatumika kama daladala...
Nauza kiwanja changu kimepemwa na kinahati kipo kigamboni kibada km 2toka barabara kuu ya Feri kwenda kongowe na kwa daladala shukia kituo cha chekechea utaona bango LA nyumba za nssf upande...
Masomo ya Pre - form one yameanza kwa wanafunzi waliomaliza darasa la saba. Wazazi na walezi mnatangaziwa kuwaandikisha watoto wenu kituoni kwetu, EBENEZA ACADEMY.
Pia, Tunafundisha wanafunzi...
Sifa za Nyumba:-
Nyumba ina Ofa
Plot No. 104 Block-DD
Nyumba ina vyumba vitatu na sebule tatu
Ina Maji
Sifa za kiwanja:-
High Density
Measuring 684 Square Meters
Eneo liko karibu na barabara...
Husikana na Headline naomba msaada kwa wataalamu wa masuala ya pikipiki na matumizi yake Je ni pikipiki gani inafaa kwa matumizi ya kazi (boda boda), maeneo ya mjini?
Na kwasababu gani iwe aina...
...when people tell you that #Oriflame doesn't work, tell them that:-
- Yes, you are right, the company does not work, "ITS YOU WHO MUST WORK".
- And secondary, ask them, "why does it work for...
[emoji837]LIMITED TIME OFFER [emoji837]
Biggest Website Design OFFER!! accompanied with great services[emoji106] to grow your business online[emoji817]
Contact us now
W: www.pixedon.co.tz (LINK ON...
habari za majukumu wadau wa JF.
Nauza kitanda cha mninga 5*6 na godoro lake nchi 8, vyote vimetumika miezi mitano tu.....
nipo Dar tmk mtongani
phone no: 0715253904 au 0744774462.
Karibuni sana...
Wadau nimeibiwa simu yangu ya techno cx, ina nyaraka zangu za muhimu sana, kama kuna yoyote ataweza kunisaidia kuipata simu hiyo natoa zawadi tajwa hapo juu, imeibiwa maeneo ya magomeni dsm. Ni pm...
Karibuni upate router ndogo ambayo uta connect watu 10 kwa sh laki moja ikija na offer ya 30GB ya mtandao wa tigo kila mwezi 10gb kwa miezi 3. Piga no 0715387684 mikoani tunatuma pia ukiitaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.