Wandugu salama?
Nahitaji Mbaazi ya Arusha tu, tani 100 haraka iwezekanavyo.
Nanunua kilo moja kwa shilingi 600, Dar es Salaam.
0659890000
fmlyimo@gmail.com
Tunamovie mpya series kali zakuenjoy weekend tunakupa soft copy ama hard copy kwa wanaohitaji. Ofisi ipo Lufungira opposite na kanisa la kakobe. mawasiliano 0656928075
Sent using Jamii Forums...
Wazee wa kazi salamu kwenu...mimi ngebo nakuja mbele yenu na swali moja tu nina mpango wa kununua ardhi huku Tanga ila nimeona nifanye utafiti kwanza, area nayoona inanifaa ni hale Tanga.
Je...
Nina viwanja 4 vyote vimepimwa kama Ramani inavyo onyesha katika picha
Baadhi ya viwanja vina mabanda na kingine kina banda na kisima hivyo ni wewe kuchagua Hata ukitaka kimoja njoo uchukue na bei...
Nyumba inauzwa Tandale kwa Mtogole, ipo eneo la biashara, panafaa kuweka frem, guest na kadhalika. Ina douments zote zinazohitajika please call 0622007272 for more info.
Sent using Jamii Forums...
Ninavyo vyumba na sebule maeneo ya goba bei no rahisi mno. Aliye serious anicheki inbox nimpatie namba ya simu.
Nyumba ipo karibu na barabara ya mbezi goba.
NISSAN XTRAIL
Year : 2002
Engine capacity :1990
Drive : 4wd
Mileage :96000 km
Gharama kamili : Tzs10.9million
Call / whatsapp : 0652310631
GARI ZETU NI ZA KUAGIZA KUTOKA JAPAN NA HIYO NDIO...
wana JF habari za saa hizi,naomba kujua kati ya gari hizi(altezza,brevis,mark x,premio,mark ii grande) ipi inaweza kuhimili safari ndefu walau Dar to Tanga kwa kuzingatia utulivu barabarani na...
Habari wakuu...
Ngoja niende kwa mada nauza vitabu used kwa comb ya PCB nipo dar bei cheap sana nitavitaja na bei yake...
--CHEMISTRY
-pamphelts za ngaiza organic$inorganic copy(10000/-...
Wakuu,
Nakaribisha maombi ya wadau wanaoomba kuandikiwa bank proposals, project proposals, business plan, business idea na ushauri wa kibiashara katika sekta za kilimo, afya, mazingira na ufugaji...
Wakuu Nina mpango wa kuishi hemani, sioni maana ya kujenga nyumba isiyohamishika nimekata shauri ninunue hema niishi humo.
Kwa kwenye kujua bei zake na yanapouzwa msaada Tafadhali
Sent using...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.