Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Poleni kwa majukumu wana JF wenzangu. Naomba mnijulishe aina nzuri ya matairi ya gari na mahali ninapoweza kuyapata lakini yasiwe mojawapo ya brands zifuatazo: Bridgestone, BF Goodrich, Dunlop...
0 Reactions
37 Replies
19K Views
Kiwanja kinauzwa dodoma mjini kimepimwa na kina hati,eneo km za mraba 608 kipo st john kwa mbele chinangali west, huduma za kijamii zipo na mji umejengeka mawasiliano 0karibu bei maelewano
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Tunapokea Order za kusafirisha zabibu fresh kutoka Dodoma. 0655712714
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nahitaji Kiwanja cha makazi kiwe kikubwa cha kujenga nyumba kubwa hata mbili na kuzungusha fensi, bara bara ifike kwenye eneo, Kisiwe karibu na Msikiti. Maeneo Mbezi ya kimara, Makabe yatapewa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wasalaam wakuu 1.Eneo hili liko nala kibaoni dodoma mjini 2.Eneo liko umbali wa kama kilomita 11/12 toka town centre 3.Eneo liko karibu kabisa na makazi 4.Eneo lina hati ya serekali ya...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
TOYOTA KLUGER Year : 2004 Engine capacity :2360 Drive : 2wd Mileage :136000 km Gharama kamili : Tzs20.7million Call / whatsapp : 0652310631 GARI ZETU NI ZA KUAGIZA KUTOKA JAPAN NA HIYO NDIO...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza ukwaju kilo 2100 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa matumizi ya watoto na wakubwa. Bei ni 1300 kwa nusu kilo Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Gari imetembea km 63000,, haijawai kupata ajali,unaruhusiwa kuja na fundi wako kuikagua, leather seats ndan na sababu ya kuuza ni kwamba nataka kubadilisha gari na price yake ni 12.5 fixed.
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Kwa aliye teayari kuuza gari yake kwa malipo ya taratibu anakaribishwa, yeyote mwenye gari ndogo ndogo vits, passo, stalet n.k tuwasiliane.
0 Reactions
17 Replies
5K Views
jaman nina kanga wa kufugwa 300 nataka kuleta dar soko naweza pata bei yangu ni 20,000/=@1 naombeni msaada jamani [emoji120] Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Bata bukini dume anauzwa kwa sh 140,000. Kwa atakayehitaji anitafute kwa namba hii : 0753249862 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
10 Replies
6K Views
Bado siku 4 tu kuanza semina na bado siku 3 kulipia kujiunga na semina.. Baaddhi ya mada tutakazopitia ni pamoja na 1. Jinsi ya kupata wazo bora la biashara 2. Jinsi ya kutengeneza mpango...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hi JF members, kwa upande wangu nauza asali, ninazo pipa kama 12 hivi, asali imeshafika iko hapa hapa Dar es salaam. Kama cha chini nikuanzia dumu la lita 20, hivyo basi mwenye uhitaji awasiliane...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
TV na stand Vinauzwa arusha ,TV Ni nchi 26 bei sh 300,000 na stand sh 100,000,vipo kwa morombo
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ndugu wana JF naomba tusaidiane jinsi yakupata mashine za Alizet, kwaajili ya Kiwanda kidogo. I need complete machine nagharama zake. Tafadhali kwa anaejua anisaidie, ushaur pia ruksa Sent using...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
TV nchi 26 bei 300,000. Stand bei100,000 vipo arusha kwa Morombo
0 Reactions
0 Replies
924 Views
Igiha body cream inaondoa chunusi, madoa na makunyanzi pia inang'arisha ngozi, inalainisha na kukufanya uwe na rangi moja ya kuvutia jipatie kopo lako kwa bei nafuu kabisa ya tsh 15,000 Wa dar...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapendwa Nanunua Facebook Groups kuanzia 400k members na kuendelea Je wewe ni admin wa group la facebook na halikuuingizii faida yoyote? basi katika kipindi hiki cha mdororo wa uchumi naomba...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kampuni ya AIM imeandaa fursa nnzuri ya kujenga uchumi wa kila mtanzania. Ili kujiunga na fursa ni lazima upewe semina ili uielewe vizuri fursa Mpaka sasa semina zinatolewa ktk mikoa...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Back
Top Bottom