Jiunge na mafunzo ya ujasiriamali

Jiunge na mafunzo ya ujasiriamali

JAMBONIA LTD

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2014
Posts
584
Reaction score
276
Habarini wana jf, leo nimeona niwashirikishe mafunzo mazuri ya Ujasiriamali yatakayokupa maarifa yakuweza kumudu biashara na shuhuli nyengine za kukuingizia kipato.
Kumbuka katika mafunzo haya huendi kujifunza jinsi ya kutengeneza subuni,shampoo, batiki, tomato sauce n.k hapana, hayo ni mambo ambayo yashafundishwa sana lakini wengine wamejikuta wakiyaacha katika madaftari au wakifanya siku mbili na kushindwa kuendelea nazo kwa kukosa maarifa halisi ya Ujasiriamali.

Mafunzo ni miezi 3, Kuanzia October 1, na yatakua online kupitia whatsapp group ili kila mtu popote aweze kushiriki na mwisho wa Mafunzo pamoja na maarifa utakayoyapata Lakini pia washiriki watapatiwa vyeti vyenye kutambulika.

Kila mshiriki hatua ya kwanza atapatiwa form ambayo ataijaza online na kuirudisha kwetu na form hii itagharimu TSh 10,000 tu baada ya hapo hakutakuwa na malipo mengine yoyote kwa miezi 3 utasoma bure.
Mafunzo yameandaliwa kitaalamu kwa mtindo wa modules na washirika wote watapatiwa kitabu chenye modules zote.
Kwa maswali ya ziada na maelezo mengine ya kina juu ya program hii ambayo inaendeshwa kwa awamu ya pili sasa baada ya awamu ya Kwanza kuisha unaweza kujiunga katika link hii hapa chini ya WhatsApp group ili uuulize mengi na ujifunze mengi ambayo hatujayaeleza hapa karibu sana.



MAFUNZO YA UJASIRIAMALI
 
Hii program ni serious na very effective kwa mwenye kuhitaji maarifa ya kijasiriamali na kuyaweka kivitendo si ya kukosa
 
MODULI UTAKAZO JIFUNZA NI KAMA IFUATAVYO

MAENDELEO YA MTU BINAFSI (PERSONAL
DEVELOPMENT)
MAWASILIANO BAINA YA WATU (INTERPERSONAL
COMMUNICATION)
UONGOZI NA USHIRIKIANO (LEADERSHIP)
UKOMAVU WA KIFEDHA (FINANCIAL FITNESS)
UTANGULIZI WA UJASILIAMALI (INTRODUCTION TO
INTERPRENEURSHIP)
UELEWA WA KIDIGITALI (DIGITAL LITERACY) Baada ya
kuwa tumekujenga kuanzia kujitambua wewe ni nani,
maswaliano na jamii yako yakoje Uongozi na ushirikiano
umeshajua maana yake ni nini, Umefundishwa ukomavu wa
Kifedha na umetambua fedha ikoje na uitumie vipi. Sasa baada
ya hapo tunakupa utangulizi wa ujasiliamali, hapa utafahamu
kiundani ujasiliamali ni nini na unafanyaje kazi na ulianzia
wapi, utajipima na kujua kama unaweza kuwa mjasiliamali au
unataka kuwa mwajiliwa na kama utakuwa mwajiliwa basi
kutakuwa na darasa la watu wanaotaka kusomea maswala
yote yanayohusu ajira na kwa wale watakao ona wanataka
kuwa wajisiliamali nao watakuwa na darasa lao maalumu la
ujasiliamali
Na kwa watakao soma Ajira watajifunza yafuatayo
(WORK HABITS AND CONDUCT)
(SAFETY AND HEALTH AT WORK)
(WORKER AND EMPLOYER RIGHTS AND RESPONSIBILITIES) Na kwa Wajasiliamali watajifunza
yafuatayo baada ya kuwa wamepata Msingi wa njia bora za
kuwa mjasiliamali makini maana kumfundisha mtu
kutengeneza sabuni, mafuta na bidhaa zingine inaweza
isisaidie sana kutatua changamoto kwa vijana wengi Africa ila
kama utampa elimu husika na baadae akajua yale ya msingi
itamsaidia sana kufanikiwa iwe kwenye biashara au ajira.
Tumeona vijana wakitangaziwa wajiunge na kufundishwa
ujasiliamali ila baada ya kujifunza wengi hawajafanikiwa bado
kwa kiwango cha juu kwani bado ni tegemezi kwa taifa Ujasiriamali sio kutengeneza bidhaa tu ila ni zaidi ya hayo
.MODULI HIZO NI KAMA IFUATAVYO NDANI YA
UJASILIAMALI
UTANGULIZI WA MAFUNZO YA UJASILIAMALI
SIFA ZA UJASILIAMALI NA MFUMO WA KIVUMBUZI WA
KUFIKIRI
NAMNA NZURI YA KUTAFUTA WAZO ZURI LA
KIBIASHARA
MASOKO NA NJIA ZAKE
MAHUSIANO NA WATEJA
NAMNA YA KUENDESHA BIASHARA KWA NJIA ZA
KISASA NA KIMATAIFA
KUIMALISHA UBORA WA UADILIFU
MASUALA YA FEDHA NA MAHESABU
NAMNA YA KUANDIKA BUSINESS PLAN AND PLOPOSAL
Na baada ya mafunzo kila mshiriki atabuni wazo lake la
biashara na kusaidiwa kufungua biashara/kampuni na kwa
watakao andika wazo zuri la kuvutia wataunganishwa moja
kwa moja na Taasisi za kifedha ikiwemo Association of
Charitable Foundations (ACF) Funding Central Big Issue
Invest Na baada ya kuwa umepata fedha hizo kama mtaji
utasimamiwa kwa miezi 6 ya mwanzo ya biashara
yako
LAKINI KUNA NYONGEZA MAHUSUSI UTAPATIWA NAYO IKO
HIVI
Jinsi ya kuanzisha biashara bila mtaji au kwa pesa kidogo
Jinsi ya kumiliki kiwanda chako kwa mtaji mdogo
Jinsi ya kupata mitaji na kushawishi benki ikukopeshe hata
kama hukopesheki.
Mbinu za Kupenyeza bidhaa au huduma yako na kupata
wateja wengi kuliko unaowahitaji
Jinsi ya kuwa mwekezaji mwenye mafanikio kwenye soko la
hisa, nyumba, majengo na viwanja.
Jinsi ya kuhama salama kutoka kuajiriwa mpaka kujiajiri na
kufanikiwa zaidi maishani
Je biashara za mtandao ni nzuri au mbaya kwa Mtanzania?
Jinsi ya kutumia teknolojia ya kisasa kukuza biashara yako
na kuhakikisha huanguki kwenye biashara yako! Na mengine
mengi.
 
Ingia katika group uchukue fomu na kujaza baada ya kujiridhisha
 
Back
Top Bottom