Imesomeka vizuri hapo juu wadau, injini ya skygo pikipiki inahitajika kwa ajili ya Ku fix kwenye Honda 110 .Mwenye nayo au anayejua bei na wapi ziliko anijuze
Nawasilisha wakuu wangu
Kwa wenye Maduka makubwa(Supermarkets) na Maduka madogo na ya kati(Minisupermarkets) na pia kwa walaji wa Nyumbani Zabibu freshi toka Dodoma zinapatikana zikiwa packed kabisa
Na kwa wanaohitaji...
Nipo dar kkoo/kigamboni ninahitaji friji BOSS mpya/isiwe used hata kama sijui japan size ya kati milango miwili juu frezer budget 400000 kwa mwene biashara ni PM Asante.
Hello!
Bandugu naomba km kuna mtu aweza kuwa na mashine ya kuuzia juisi (Juice Despenser) iwe kubwa kidogo anitafute pia kama unajua unaweza kunisaidia namna rahisi ya kuipata niko dsm. Hasa bei...
Wakuu Salaam., nikiwa katika maandalizi ya mama watoto ambaye ni mjamzito,
Nahitaji gari tajwa hapo juu,namba D.,kutoka kwa mwenye mali. mwenye nayo ani PM niseme nae vizuri.
Budget kwa sasa ni...
Rejea kichwa cha habar hapo juu.
Chumba sebule choo chake kipo vizur kina tiles bei yake 200,000 kwa mwezi.
Pia ipo kubwa vyumba viwili choo chake na sehemu ya jiko. Bei yake 300,000/- kwa...
Scarf za kisasa unaweza ukafunga kichwani unaweza kufunga kama hijabu na unaweza kufunga kama inavyoonekana hapo jumla 7500 rejareja 12000 Kwa mawasiliano 0717251523 / 0654622685
Habari wadau,
Natafuta eneo la wazi la kuuzia chakula preferably posta. Ila ikishindikana kabisa hata kariakoo.
Liweze kuruhusu angalau meza 10 za plastiki na eneo kubwa kwa ajili ya jiko na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.