Eneo linapatikana Temeke Usalama njia ya kwenda Mwembeyanga Plot.namba 26,lina ukubwa wa Sqm 465,mtaa wa evaret kwa bei ya Sh.milioni 450.Eneo ni zuri sana na kwa sasa linatumika kwa ajili ya...
Naiuza iPhone 6 yenye 128 gb kwa tsh laki 7 tu, location Dar es Salaam.
Phone condition:
Good ipo na finger print pia
Bei ni fixed haipungui
Kwa seriously buyer tafadhali ni PM haina tatizo...
Habari wanajamvi,
Kuna mama mmoja ameniomba nimtafutie mwamvuli kwa ajili ya kumkinga na jua katika biashara yake anayofanyia pembezoni mwa barabara, kutokana na majira ya sasa jua kali.
Kwa...
Chicken layer cages mpya na imara zaidi
Cage yenye uwezo wa kuchukua vifaranga idadi 400 ni 460,000/-Tshs.
Cage yenye uwezo wa kuchukua kuku wa mayai idadi 128 ni 1,300,000/-Tshs
Cage yenye uwezo...
Vitu vinauzwa, Mzani wa 10kg mpya na Mawe yake 110000/=
Binding machine 80000/=
Printer 60000/=
Vyote vinapatikana gongo la mboto
Mawasiliano: 0625 561339
nauza suzuki swift ikiwa kwenye hali nzuri sana na sifa zifuatazo
-Gear automatic
-Full AC
-Power windows
-ina Km 127,000
-haijawahi kupata ajali yoyote kubwa wala kupigwa rangi
bei ni mil 4.5 na...
Coaster mbili kwa ajili yaa kukodisha kubeba wanafunzi zinahitajika route ni kinyerezi to kimanga asubuhi na jioni Yenye rangi ya njano itapewa kipaumbele zaidi na kama haina rangi ya njano...
Asalam wakuu
Mwenye kingamuzi cha AZAM na anahitaji DSTV tuwasiliane tubadilishane. DSTV yangu bado mpya ni 2 month tangu kimenunuliwa utapewa na dishi lake complete kabisa..
Karibuni sana
Je unatamani kua mweupe? Yaani mwili mzima kua na rangi moja njoo tukuhudumie Igiha lightening body cream ndio mwisho Wa matatizo itakufanya uwe mweupe mwili mzima bila kukuachia sugu inaondoa...
itel Mobile ni kampuni ya masuala ya teknolojia na uvumbuzi ambayo imejikita hasa kwenye masuala ya utengenezaji wa simu tangu ianzishwe mwa 2007.
Kutoka mwaka 2007 mpaka sasa ni miaka 10...
Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa iko mwanamtoti kata ya kijichi ili ufike kwa urahisi unashukia kituo cha mission Mbagala,INA vyumba vitano,master moja,INA sebule,jiko dining,bafu na choo ndani, ina...
Jiko la gesi na umeme lina plate 4 plate tatu ni gesi na plate moja inatumia umeme kampuni ya west point ni used
Bei- 250,000
Location- dar
Mawasiliano- 0658183618
sent from Korea kaskazini
nauza suzuki swift ikiwa kwenye hali nzuri sana na sifa zifuatazo
-Gear automatic
-Full AC
-ina Km 127,000
-haijawahi kupata ajali yoyote kubwa wala kupigwa rangi
bei ni mil 4.5 na haipungui...
Habari kuna viwanja vingi tunaviuza maeneo ya kigamboni yale yale puna ambapo ni kilometer 37 kutoka ferry ya kigamboni na ni dakika 55 kwa gari mwendo wa kawaida.
Bei ya viwanja kwa square meter...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.