Kampuni ya GEMAB ENTERPRISES inayofuraha kukutaarifu kuwa imekuja na huduma kwa wateja wetu ambayo ni kama ifuatavyo:-
~ Usafi wa Godowns,
~Usafi wa site zilizomalizwa ujenzi,
~Usafi wa nyumba...
Waungwana nauza nyumba eneo la TABATA karibu na Baa maarufu Da'west park, eneo limepimwa na lina hati ya makazi, eneo liko barabarani kabisa, kuna nyumba kubwa ya vyumba vinne, kunaeneo tupu...
Habari wakuu,
Nimepata majanga inabidi niuze vifuatavyo, vyote vipo Dar:
Pazia 3 za kifahari, pamoja na fimbo zake za madirishani ambazo kila moja ina urembo/ringi zake. Vyote kwa pamoja utanipa...
Wale wenye hizi simu na wanahitaji kuzifanya zitumie line za mitandao yote fanya kutuona:-
1. Huawei
2. Alcatel,vodafone,magnus bravo,zte & tecno..
3. Smartphone za aina mbalimbali za kutoka nje...
Mada ya juu inahusika, nahitaji kijiko kwa ajili ya kuchonga kipande cha njia ya nyumbani kwangu. Urefu wa njia sio zaidi ya mita 300 kwahiyo ni kama kazi ya nusu saa au saa moja hivi.
Kama...
Wanajukwaa Kwa wale wapenda kilimo ninauza shamba lenye ukubwa wa ekari 97.83 kwenye kitongoji cha misufini wilaya ya handeni mkoani tanga, shamba liko kwenye tambarare Safi, halina mazao ya...
Vitu hivi vipo sokoni changamkieni
Kuna Sabufa Ndogo 70,000/=
Jiko Dogo la Gesi 50,000/=
Kitanda 5/6 180,000/=
Godoro 160,000/=Bado ni jipya limetumika miez miwili tu
Ni PM au kuniinbox nkutumie...
Mwenye kuwa nayo au kujua duka linalouza compressor kubwa za kujazia upepo magari makubwa na mashine ya car wash ya kupulizia maji. anitafute kwa watsapp 0657561168.
Taasisi ya Costo Africa International inawatangazia nafasi za Masomo kwa kozi zifuatazo:-
1.Airline and Ticketing management
2.Hotel Management
3.Tour Guide
4.QT
Muhula mpya utaanza tarehe...
Karibu Autoguru workshop kwa mahitaji ya fenicha za nyumbani ofisini, mashuleni, vyuonina garden
Tuwasiliane kwa namba 0688767668 au 0715967107
Kinondoni Manyanya mtaa wa Brazil
Karibu Autoguru workshop kwa mahitaji ya fenicha za nyumbani ofisini, mashuleni, vyuonina garden
Tuwasiliane kwa namba 0688767668 au 0715967107
Kinondoni Manyanya mtaa wa Brazil
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.