Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

jaman nina kanga wa kufugwa 300 nataka kuleta dar soko naweza pata bei yangu ni 20,000/=@1 naombeni msaada jamani [emoji120] Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Bata bukini dume anauzwa kwa sh 140,000. Kwa atakayehitaji anitafute kwa namba hii : 0753249862 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
10 Replies
6K Views
Bado siku 4 tu kuanza semina na bado siku 3 kulipia kujiunga na semina.. Baaddhi ya mada tutakazopitia ni pamoja na 1. Jinsi ya kupata wazo bora la biashara 2. Jinsi ya kutengeneza mpango...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hi JF members, kwa upande wangu nauza asali, ninazo pipa kama 12 hivi, asali imeshafika iko hapa hapa Dar es salaam. Kama cha chini nikuanzia dumu la lita 20, hivyo basi mwenye uhitaji awasiliane...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
TV na stand Vinauzwa arusha ,TV Ni nchi 26 bei sh 300,000 na stand sh 100,000,vipo kwa morombo
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ndugu wana JF naomba tusaidiane jinsi yakupata mashine za Alizet, kwaajili ya Kiwanda kidogo. I need complete machine nagharama zake. Tafadhali kwa anaejua anisaidie, ushaur pia ruksa Sent using...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
TV nchi 26 bei 300,000. Stand bei100,000 vipo arusha kwa Morombo
0 Reactions
0 Replies
924 Views
Igiha body cream inaondoa chunusi, madoa na makunyanzi pia inang'arisha ngozi, inalainisha na kukufanya uwe na rangi moja ya kuvutia jipatie kopo lako kwa bei nafuu kabisa ya tsh 15,000 Wa dar...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapendwa Nanunua Facebook Groups kuanzia 400k members na kuendelea Je wewe ni admin wa group la facebook na halikuuingizii faida yoyote? basi katika kipindi hiki cha mdororo wa uchumi naomba...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kampuni ya AIM imeandaa fursa nnzuri ya kujenga uchumi wa kila mtanzania. Ili kujiunga na fursa ni lazima upewe semina ili uielewe vizuri fursa Mpaka sasa semina zinatolewa ktk mikoa...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Habari, Natengeneza na kuuza ice cream kwa order kwa ajili ya birthdays,harusi,nyumbani nk. Inapatikana ladha ya Strawberry na vanilla 100mls Bei 1500 @ Kwa order call/WhatsApp 0713662655 dar
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wadau Nahitaji mbaazi nyeupe toka Arusha (karatu),manyara na dodoma Ofa yangu Tsh 300/= kwa kilo Kwa wenye mbaazi karibuni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nataka kununua account ya Facebook yeny follower 10k mwa ajili ya biashara
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Natafuta bodi ya Starlet ikiwa na vitu vifuatavyo: 1. Comlete dashboard ikiwa na vifaa vyake vya ndani kama speedmeter switch za air condition 2. Upande wa mbele ambao haujaumia. 3. Ikipatikana...
0 Reactions
0 Replies
900 Views
Shamba lipo chanika homboza hekari moja na nusu bei ni milion 11 na nusu lina hati kila kitu hakuna madalali kwa anae hitaji piga simu namba 0686465857/ 0672852415 Kiwanja kipo dondwe sq m 16 kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa mtu alie Ndani ya Mkoa wa Mtwara mwenye pooltable linalouzwa Nalihitaji Tufanye biashara. Makubaliano yafanyike kupitia No Ya Simu- 0674788762. NB Liwe Mzima sio bovu
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa iko mwanamtoti katika kata ya kijichi,,Nyumba inatazama Barbara ya mtaa ambayo inatarajiwa kuwekwa lami HV karibuni, INA hati miliki, INA vyumba vitano, kimoja ni...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Naomba kujuzwa bei ya alizeti kwa gunia ya debe 6 ni sh ngapi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
908 Views
Nahitaji kifaa cha music cha kisasa kabisa ila sikijui ni kipi. Naamini hapa wapo wanaojua, ambacho unaweza kuunganjsha kwa PC, simu na TV, pia inakubali all media player kama mp3 sijui mpeg zote...
0 Reactions
3 Replies
974 Views
1.Eneo liko nala mwanzoni kabisa karibu na mzani(dodoma mjini) 2.Lina ukubwa wa kama nusu ekari 3.linafaa kwa makazi 4.liko karibu kabisa na hostel za chuo kipya cha biashara na pia si mbali na...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Back
Top Bottom