kumbisale
Member
- Sep 19, 2017
- 9
- 9
Nauza kiwanja changu kimepemwa na kinahati kipo kigamboni kibada km 2toka barabara kuu ya Feri kwenda kongowe na kwa daladala shukia kituo cha chekechea utaona bango LA nyumba za nssf upande huohuo kipo krb zaidi na nyumba za nhc kimepimwa na kwa nahati na hakidaiwi kodi nikiwanja cha makazi bei ml 35 kwa mawasiliano 0789479973