Mtaalamu wa Kilimo

Mtaalamu wa Kilimo

akidai

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2015
Posts
262
Reaction score
52
Nina eneo la ardhi 7mx10 m Sinza natafuta bwana/bi kilimo bustani atoe ushauri wa kitaalamu mikakati ya kuvuna mazao kwa eneo hilo na kupata walau shilingi 400000 kwa mwezi ,mawasiliano 0654347423
 
Nina eneo la ardhi 7mx10 m Sinza natafuta bwana/bi kilimo bustani atoe ushauri wa kitaalamu mikakati ya kuvuna mazao kwa eneo hilo na kupata walau shilingi 400000 kwa mwezi ,mawasiliano 0654347423

Una uwezo wa kugharimia Greenhouse nije kukushauri/ na kufanya usimamizi mpaka mavuno?
 
Unakiwango ga.ni cha taaluma husika
 
Nina eneo la ardhi 7mx10 m Sinza natafuta bwana/bi kilimo bustani atoe ushauri wa kitaalamu mikakati ya kuvuna mazao kwa eneo hilo na kupata walau shilingi 400000 kwa mwezi ,mawasiliano 0654347423
Bado namtafuta bwana kilimo aliyebobea ktk kilimo cha bustan (hotculture) nimpe consuting assignment,mpo wapi wataalanu
 
Back
Top Bottom