Habari za majukum wanajamvi,
Nauza shamba lenge ukubwa wa ekari 4 kwa thamani ya Tsh.5M lililopo Bagamyo katika kijiji cha kidomole.
Kwa anaehitaji aje pm tuyajenge au anicheck kwa. 0713201541
Jamani mi nataka kuanza biashara ya kuuza na kitengeneza sabuni za maji,npo mbeya natafuta sana npate manukato aina tofauti kama ndizi ,chungwa na nk,tofaut na rose ambayo ndo yamezoeleka sasa kwa...
Wasalaam wanajumuia wa JamiiForums,
Ninamahindi mabichi yapo shamba, heka moja nauza kwa bei ya jumla. Hivyo nahitaji mteja tafadhali.
Shamba lipo Mlandizi, bonde lamto Ruvu, maarufu kama...
Tsh5 ya tlekita,rupia nyekundu.mwaka, 1800.sent 10 ya mwaka 1933na sh 1 ya mwaka 1951 Haman kama izo pesa zinatafutwa mnijuze mm nipo moro 0629159317 whatsapp na call
PATA #Application MPYA kuhusu mafunzo ya ALAMA na SHERIA za #BARABARANI Tanzania.!! Tazama picha na video uone jinsi ya kutumia!
ALAMA ZA BARABARANI
MOBILE APPLICATION:
Bonyeza link upakue Lite...
wakuu nauza godoro 4*6 used,feni na gas complete kama zinavoonekana kwa picha...
godoro bei 55 elfu tu
gas 55 elfu tu
feni 35 elfu tu...
napatikana savei mlman cty
Karibuni pm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.