Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwa wapenzi wa kusoma riwaya mbalimbali za kusisimua mnakaribishwa MASIMULIZI.wasiliana nasi 0764294499
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Habari mkuu kwa yeyote mwenye duka,fundi simu nahitaji hiyo housing check tufanye biashara.
1 Reactions
1 Replies
914 Views
Habari za majukum wanajamvi, Nauza shamba lenge ukubwa wa ekari 4 kwa thamani ya Tsh.5M lililopo Bagamyo katika kijiji cha kidomole. Kwa anaehitaji aje pm tuyajenge au anicheck kwa. 0713201541
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji korosho nusu
0 Reactions
5 Replies
932 Views
Namtafuta huyu Dada Anaitwa Neema Thomas. Miaka ya 1995 Alikuwa anaishi kwa Mzee Tenga, Bomboa Area Tanga. Ni mwenyeji wa Muheza.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Natafuta mojawapo ya hizo simu tajwa hapo juu, mwisho wangu ni tsh 250,000.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa yeyote mwenye moderm kati ya hizo tuwasiliane please. bei maelewano nipo dar nipm kama unayo. tufanye biashara
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Kwa sasa zipo 16GB bei 20000/= Tsh Original flash disk Real capacity Long life morogoro 0713055107 Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta fundi wa kitanda "ARUSHA" wa kutengeneza hichi kitanda, naishi maeneo ya barabara ya njiro
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Jamani mi nataka kuanza biashara ya kuuza na kitengeneza sabuni za maji,npo mbeya natafuta sana npate manukato aina tofauti kama ndizi ,chungwa na nk,tofaut na rose ambayo ndo yamezoeleka sasa kwa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wakuu Nahitaji paper bags za 1kg kama carton 100 tafadhari kwa alie nazo au anaejua zinapo patikana msaada tafadhari
0 Reactions
1 Replies
583 Views
Size:5 kwa 6 au 6 kwa 6.........nipo Kimara Dar es Salaam Ni pm no yako nitakupigia......au nitafute kwa no 0763099556
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wasalaam wanajumuia wa JamiiForums, Ninamahindi mabichi yapo shamba, heka moja nauza kwa bei ya jumla. Hivyo nahitaji mteja tafadhali. Shamba lipo Mlandizi, bonde lamto Ruvu, maarufu kama...
0 Reactions
0 Replies
796 Views
Router internet Wi-fi 4G/LTE Connect up to 6 devices Brand new,Full boxed wit all accessories *Bei / Price Tsh.120,000 *support all networks i.e Tigo, Airtel , Halotel , Vodacom and TTCL...
0 Reactions
18 Replies
9K Views
Tsh5 ya tlekita,rupia nyekundu.mwaka, 1800.sent 10 ya mwaka 1933na sh 1 ya mwaka 1951 Haman kama izo pesa zinatafutwa mnijuze mm nipo moro 0629159317 whatsapp na call
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wadau nahitaji ultrasound mashine kwa aliye nayo anicheki 0759212578
0 Reactions
0 Replies
773 Views
PATA #Application MPYA kuhusu mafunzo ya ALAMA na SHERIA za #BARABARANI Tanzania.!! Tazama picha na video uone jinsi ya kutumia! ALAMA ZA BARABARANI MOBILE APPLICATION: Bonyeza link upakue Lite...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
wakuu nauza godoro 4*6 used,feni na gas complete kama zinavoonekana kwa picha... godoro bei 55 elfu tu gas 55 elfu tu feni 35 elfu tu... napatikana savei mlman cty Karibuni pm
0 Reactions
41 Replies
8K Views
Back
Top Bottom