Ziko kwenye maduka ya hardware mkuu nenda kanunue.The best nadhani haizidi 50,000/=Habari wakuu
Anayejua bei ya machine ya kukatia tiles na mahali wanapouza naomba anijuze (machine ya mkono sio ya umeme)
Ahsanteni.
Elfu kumi tuAhsante mkuu,vipi kuhusu bei mkuu mana wasije wakanilangua bei ndefu kwa kutojua bei yake kabla
Asante kwa haraka mkuu.Asante mkuu...barikiwa sana
Hata wajukuu watatumia ukifika kariakoo nipm utaikuta dukani kwangu. Ila uje na chenji kamili!Elfu kumi!!!!! Inadumu kweli hyo?
Sio being yakee ni laki na 70Ziko kwenye maduka ya hardware mkuu nenda kanunue.The best nadhani haizidi 50,000/=
Utapenda mwenyeweNi kama hiyo niliyotuma mkuu?