Vunja bei Matelephone is Back!!!!!

Vunja bei Matelephone is Back!!!!!

Vieloon

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2012
Posts
1,520
Reaction score
695
Baada ya safari kutafuta machimbo mapya ya simu kali kali za kibabe, tablets zilizosimama, laptop latest na accessories za ubora wa kimataifa, hatimae nimerudi tena na mzigo mzito...Wateja wangu jiandaeni kupata Mali safi na latest kwa bei pooouwa kabsa.

Hakuna ubabaishaji! safari hii mzigo unaletewa mpka ulipo bila gharama za nyongeza.
 
Tecno w3 inauzwa imtmka mda mfupi,haina tatizo bei maelewano naanzia 120000..Nfate chemba kama una shida na simu hiyo nkurushie mapic
 
note 3 samsung inauzwa . imetumika miezi mi3 tu. ni pm tuongee
 
Back
Top Bottom