Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

1. Fridge double door 850,000 2. Shelves .i. double sided 250000 zipo 4 ii. single sided 150000 zipo 8 3. Samsung AC 1.4 horsepower 800,000 4. Shoping basket zipo 10 @20000 5. freezer yenye...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari zenu....natoa punguzo la bei kwa(vifaa na chemical za maabara ya shule) wakuu wa shule zoote katika kipindi cha kujianda na mtihani wa Taifa wa kidato cha nne...kwa maelezo zaidi pga 0717...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Lake V fish monger tunawatelea dagaa za kukaanga, senene za kukaanga pia SAMAKI fresh wabichi directly from BUKOBA(ZIWA VICTORIA) bei zetu ni 1. Samaki kwa bei ya Reja reja kwa kilo ni sangara...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Wasalaam! Hivi kweli Mwanza kuna office au wahudumu wa cable tv mjini na mitaani?
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Natafuta tv flat screeen inch 32&42
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari zenu wadau wa JF, Nahitaji line ya wakala ya M-Pesa, Kwa mwenyewe tuwasiliane bei yake isiwe juu sana, si mnajua vyuma vimekaza.
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Wakuu, Vitendo vya kuchukuliwa nyara, kushambuliwa, kujeruhiwa na kuuawa kwa ndugu zetu wenye ualbino vinasikitisha sana na kuhuzunisha. Ni miaka mingi sasa watu wenye ualbino wamekuwa wakiishi...
7 Reactions
26 Replies
5K Views
Ofa Ofa punguzo la 50% kwa kila jeneza utakalonunua kwetu. Bonus tutakupa na sanda 3. Tupigie simu 0757344936. Karibuni Nyote.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kuna tecno T-312 zipo pic 20 kwa 22,500/= kila moja, nipo Mwanza mawasiliano ni 0754336532
0 Reactions
0 Replies
636 Views
Chumba kinapangishwa kipo katika mazingira mazuri kabisa ya utulivu Wapangaji wapo sita vyoo vipo vinne mabafu yapo matatu vyumba vingine ni self container vimejaa Umeme buku kumi kwa mwezi Maji...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Habari wakuu humu. Ninahitaji kuwa wakala Wa kampuni zinahusika na ununuzi Wa korosho Wa Mikoa ya Lindi na Mtwara. Kampuni zinazotaka kununua korosho kwa msimu Wa 2017/2018 kwenye mikoa hiyo...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Anayejua sehemu wanakofundisha kupiga kinanda jamani.mawasiliano yangu 0784 26 98 05.
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Rejea kichwa hapo juu nauza tv flat sreen 270,000/= na simu samsung s3 150,000/= nko mbezi kimara mawasiliano 0712846799 na 0767834342 picha izo chini
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Nina shida nauza gari yangu, bei 8.9m, mazungumzo kidogo, yapo. Ina 1830cc, 100,000km, silver, namba D. Hii ni turbo sio io. Simu 0716411720
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu salaam kwenu, nahitaji macbook pro kwa mwenye nayo tuwasiliane hapa. Anipe specifications zake na bei yake.
0 Reactions
1 Replies
554 Views
NAUZA KWA BEI YA JUMLA WAHI SASA NIPO SINZA MORI Bidhaa zote zipo kwenye Makaratasi yake. Wasiliana nami 0784232526 1. Fridge Hotpoint HDR 252 (1) =637,500 2. Fridge Hotpoint HDR 272 (1)...
2 Reactions
28 Replies
8K Views
Ndugu wana Jf kwa wenye laini za uwakala wa mpesa ninauhitaji nazo,nahitaji 2 nicheki kupitia 0754969349,niko kagera,kyerwa.
0 Reactions
9 Replies
936 Views
Kwa wanaotaka kupanga vyumba vipo, vya kila bei kwa mawasiliano piga. Maeneo ya mombasa ukonga. 0626658983.
0 Reactions
1 Replies
834 Views
hcar travellars drivers inawatangazia Wakazi wa Dar na mikoani kuwa inatoa huduma ya madereva wenye uzoefu na Elimu ya kueleweka kwa ajili ya safari za mikoani na mizunguko ya hapa mjini. Hcar...
0 Reactions
5 Replies
809 Views
Kama mada invyojieleza,naitaji screen ya samsung nchi 32 mimi yangu inainyesha nusu picha ,mafundi wanasema imekufa screen kwa aliyo nayo tuongee biashara,asanteni
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom