Je umekwama na unataka Msaada wa fedha Kwa haraka?
Je unataka kukopa fedha Kwa riba ndogo?
Je unataka kupanua Biashara yako ndogo na huna mtaji?
Basi sasa umepata jibu la maswali yako hayo...
Japanese used Toyota Coaster Bus inauzwa.
Displacement: 4,200 CC,
Steering: Right
Transmission: Manual,
Fuel: Diesel
Engine: 1HZ36V
Year: 1992
Passengers: 29 Seats
Haijafanya kazi in Tanzania...
*Mo Scholars Program*
The Mo Dewji Foundation is calling all first-year undergraduate students to apply for a fully-funded scholarship scheme. Students must be accepted to the University of Dar Es...
Habari
Mwezi March naanza kuvuna matikiti wadau, nasaka soko lake hivyo msiniangushe please mnunue nikivuna ndo nitaweka bei yake kwani siwezi kuweka bei yakiwa shambani.
Na vile natafuta soko...
Habari ya asubuhi kuna eneo heka moja ni tambarale hamna mabonde madale good location nzuri kwa kujenga appartimen full document (hati)bei imeanza mil 180 maongezi unakaribishwa if ur serious...
Leo nataka nikujuze ni jinsi gani unaweza kupata pesa na kutimiza malengo yako na kampuni . Fursa hii sio ya kutajirika-fasta kama biashara nyingi zilivyoenea mitandaoni kwamba unaweza kuingiza...
Mimi ni mjasiriamali mjini Moshi. Nina akiba yangu ya fedha sh 3,000,000 nauliza kwa wajuzi je naweza kupata gari ndogo nzuri nadhifu ya kufanyia mizunguko yangu ambayo haijachakaa na kufunguliwa...
Pata asali mbichi ambayo haijachakachuliwa wala kuongezwa majii kuanzia robo lita paka lita 20 kwa bei nafuu kabisa tupo tegeta mbweni ila pia ukitaka tukuletee paka kwako baso tutakufanyia freee...
Maji yapo, umeme imeshalipiwa,bado kuingiza tu.
Nyumba IPO katika finishingi,wiring ya maji na umeme tayr,inafens na parking ndogo.
Vyumba vitatu vya kulala,stoo,,jiko,dining,longe, vyoo public...
Kichwa Cha habari Cha Usu.
NYUMBA inavyumba Vitatu Vya Kulala,Kimoja self.Hipo Eneo Safi Kabisa
BEI laki na 70.Kulipia ni Miezi 6
MAELEZO ZAIDI
Nicheck namba +255625676643
N.b
Hakuna ya Udalali...
Nauza simu tajwa hapo juu Simu ni mpya kabisa haina tatizo lolote sababu ya kuuza Simu iyo ninashida na hela bei Yake ni tsh 200,000/= na Simu ina kila kitu charger Yake original,kava,box lake na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.