Kiwanja kinauza ukubwa sqm 4530 kipo maenoo ya mnara wa vodacom Mbezi Juu meta 30 kutoka Barbara ya lami inayoenda goba.bei 200 milioni mazungumzo yapo serious buyer only.contact 0756249110/0715249110
Wakuu habar zenu,,nina rafiki yangu ameniomba nimsaidie kutafuta pahala wanapouza au mtu anayeuza (used) macbook air zile mini af zinakuaga nyeupe, mimi kiukweli hata sijui pa kupatia cause hata...
wakuu leo nimebadilisha matairi manne Tubeless ya gari Langu 2001 Land cruiser Prado, bado yana hali nzuri sana na yanafaa kwenye Prado, Pajero etc yanayotumia (265/70 R16)..ni hayo manne kutoka...
Ndugu wanaJF, nahitaji kiwanja Mwanza kwa gharama isiyozidi million 2 kamili,kiwe tambarare, maeneo yaliyopimwa na karibu na huduma za maji na umeme kwa mwenye nacho ama mwenye taarifa...
Habari zenu wananzengo,
Ninauza magunia ya mahindi ya 100kg @100,000/= kama unahitaji kwa idadi utakayo naomba tuwasiliane tufanye biashara. Mzigo upo store wa kutosha.
Mawasiliano:
0625568600
Kiwanja kipo umbali wa mwendo wa dakika3 kutoka kituoni Magole.
Ukubwa wa eneo ni sqm400 ambalo lipo tambarale(bila kijimlima wala muinuko wa aina yoyote).
Bei ni milioni sita na makubaliano...
Habari za saa hizi great thinkers msaada tafadhali, nahitaji gari ya kukodi (self drive) Dar kwa muda wa siku 2 au 3 kuanzia tare 13 - 15 mwezi Ujao.
Asanteni.
Wataalamu wa kunyoosha na kupiga magari rangi
Tunapatikana Kinondoni Manyanya mtaa wa Brazil
0688767668/0715967107
Info@autogurugarage.co.tz
Gx110 ilikuwa white sasa ni black
Kwa wanaopenda high speed laps
HP Pavillion hdd 1TB
Ram 16gb
Speed 2.9ghz
Core i7
B&O play
nVDIA GeForce 940MX discrete 4gb graphics
Bei 850k pm km inakufaa
Nauza Pikipiki aina ya boxer hapo chini
Bei Tshs. 1,400,000/= (Million moja na laki nne tu).
Nipo Singida.
SIFA ZAKE:-
Ina Kadi
Ina Risiti zote (ya manunuzi na Bima)
Bima (inaisha April 2018)...
Habari,
Wakuu kama heading inavyoeleza nahitaji cherehani hizi za kawaida (singer au butterfly). Kama kuna muuzaji tafadhari naomba uje PM. Napatikana dsm.
NB: Najua nikienda k/koo nitapata but...
Habar wanajamii!
Nimefungua kampuni yangu ya Fumigation and Pest Control hapa Arusha Kwa wenye Changamoto ya wadudu kama
Mende, kunguni, mchwa, sisimizi, Panya n.k katika maeneo ya
Mahotel...
Natafuta kazi ya kuuza duka,super market na vinginevyo ninaweza kuongea kiswahili na kingereza vizuri ni muaminifu sana nitafute kupitia email prettykimaro@yahoo.com
Habarini wakuu nauza vitu vya ndani kama ifuatavyo,,,,
Sumsung tv inch 24.
Bei yake ni 300,000 Tsh.
Fridge aina ya MENGCHI
bei yake ni 220,000 Tsh.
Kabati la nguo milango mitatu lenye dressing...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.