Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key) Kwa magari madogo na makubwa eg. TOYOTA,VW,BMW,FORD, Benz, Iveco, Scania nk...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
PowerPoint 220 Ner Weight 58kg Power size 750w Out put 300kg/H Mashine size 480*420*935 Mashine ni mpya kabisa Bei 1,3m Nione 0715308117
1 Reactions
5 Replies
1K Views
WESTGATE GIRLS SCHOOL - KIBAHA WESTGATE Girls School -Shule ya sekondari ya wasichana ya bweni inatangaza nafasi za kujiunga na kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo 2018. Westgate Girls ipo...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Food warmer aiyatumika Bei 1,7 m Nione kwa 0715308117
0 Reactions
1 Replies
1K Views
surveyed and licensed mining plant land for sale,, and we have potential area is available in East Africa Tanzania for Tanzanite mining plant (Tanzania) is only one country have produce TANZANITE...
0 Reactions
2 Replies
756 Views
Kumekuwa na mtindo wa lecturers kusapusha na kukerisha watu vyuoni kwa visasi tu. Unakuta lecture anakerisha mtu kisa tu mwanafunzi amemkosoa namna anavyofundisha ama unakuta lecturer anasapusha...
0 Reactions
41 Replies
3K Views
Biashara ya dagaa Habari njema kwa wakazi wa mikoa ya Nyanda za Juu kusini (yaani kuanzia Iringa, Songea, Mbeya na wengine wa jirani ) tunawakaribisha kuweka order za Dagaa wa Mwanza wasio na...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Mambo! Nauza simu tajwa kwa bei simple. Ina support 4G internet pamoja na sd card ya 16GB (ukiondoa internal storage yenye 8GB). Nipo Dar. Call: 0688 20 02 77
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Bati za migongo midogo za rangi Rangi:kijani,blue,red,maroon,chocolate na sky blue Gauge 30 Bei: 21,000/= bati moja la 3meter 336,00/= bundle moja la piece 16 Call: 0656-816616...
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Natafuta Inks za kuprint T-shirt's ziwe na quality nzuri kama unauza naomba unifahamishe na bei mimi niko Dar.
0 Reactions
0 Replies
767 Views
Mwenye vifaa vya chips used kama vile kabat,na vinginevyo tuwasiliane pm
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tunashoot nakutengeneza vedios pamoja na picha kwenye maharusi, send off, kitchen party, graduations na sherehe mbalimbali, tuna Offer kibao kwa watakao hitaji huduma zetu, bei zetu ni nafuu sana...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Naomba kuliza bei ya alizeti sa hvi imefika sh ngapi hapo mkoani babati
0 Reactions
1 Replies
789 Views
Nina s6 duo.. nimetumia kwa muda wa miezi 9 sasa but iko na good condition. Kama kuna mtu mwenye s7 edge isiyo na crack kabisa, good looking, na yuko tayari ku exchange nami na top up tuwasiliane...
0 Reactions
2 Replies
714 Views
Habari wakuu. Nina uhitaji mkubwa wa mashine tajwa hapo juu. Nahitaji zinazotumia umeme. Naomba kwa wauzaji waliopo Arusha/Moshi ili kuokoa gharama za usafirishaji. Asanteni
0 Reactions
4 Replies
3K Views
MASHINE ZA KUSAGIA NYAMA ZISIZOTUMIA UMEME Tunauza mashine ya kusagia nyama,inasaga nyama kwa urahisi sana na zinatoka vizuri Zipo tofauti zinatofautiana kwa ukubwa Saizi ndogo kabisa (D8) ni...
0 Reactions
1 Replies
10K Views
Habari zenu wakuuu.. Napenda kuwatangazia tunauza mashine kubwa mpya na imara za kusagia nyama. Hazitumii umeme,ni nguvu yako ya mkono wako tu Hizi ni saizi kubwa D32. Zinasaga nyama zinakuwa...
2 Reactions
2 Replies
7K Views
Wakuu habari Naomba mnisaidie nanunua kuku wa kienyeji pure kabisaaa ambao wanakaribia kutaga nimesikia mikoani vijijini wapo wengi naweza kupata kuanzia 6000 mpaka 8000 wapo wengi sanaa basi...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Kiwanja kinaukubwa wa 18*20 gari inafika hadi ktk kiwanja . Bei nafuu sana. Umeme na kisima cha maji vipo karibu sana. Bei tzs 3,950,000.00 Call 0658 554 992
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wakuu natafuta jiko la kitimoto katika bar iliyochangamka maeneo ya kimara mpaka mbezi...msaada tafadhali wakuu
0 Reactions
0 Replies
883 Views
Back
Top Bottom