Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kiwanja kinauza ukubwa sqm 4530 kipo maenoo ya mnara wa vodacom Mbezi Juu meta 30 kutoka Barbara ya lami inayoenda goba.bei 200 milioni mazungumzo yapo serious buyer only.contact 0756249110/0715249110
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu habar zenu,,nina rafiki yangu ameniomba nimsaidie kutafuta pahala wanapouza au mtu anayeuza (used) macbook air zile mini af zinakuaga nyeupe, mimi kiukweli hata sijui pa kupatia cause hata...
1 Reactions
77 Replies
8K Views
wakuu leo nimebadilisha matairi manne Tubeless ya gari Langu 2001 Land cruiser Prado, bado yana hali nzuri sana na yanafaa kwenye Prado, Pajero etc yanayotumia (265/70 R16)..ni hayo manne kutoka...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndugu wanaJF, nahitaji kiwanja Mwanza kwa gharama isiyozidi million 2 kamili,kiwe tambarare, maeneo yaliyopimwa na karibu na huduma za maji na umeme kwa mwenye nacho ama mwenye taarifa...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Natafuta dehaydrator ndogo kwa matumizi ya ndani. Kwa ambaye anafahamu napoweza ipata hapa Tanzania anisaidie.
0 Reactions
1 Replies
983 Views
Habari zenu wananzengo, Ninauza magunia ya mahindi ya 100kg @100,000/= kama unahitaji kwa idadi utakayo naomba tuwasiliane tufanye biashara. Mzigo upo store wa kutosha. Mawasiliano: 0625568600
0 Reactions
2 Replies
836 Views
Habari zenu wana jamvi, nina sumsung s4 naiuza kwa 300000,niko Tanga kwa alie shawishika tuwasiliane pm.
0 Reactions
5 Replies
764 Views
Kiwanja kipo umbali wa mwendo wa dakika3 kutoka kituoni Magole. Ukubwa wa eneo ni sqm400 ambalo lipo tambarale(bila kijimlima wala muinuko wa aina yoyote). Bei ni milioni sita na makubaliano...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za saa hizi great thinkers msaada tafadhali, nahitaji gari ya kukodi (self drive) Dar kwa muda wa siku 2 au 3 kuanzia tare 13 - 15 mwezi Ujao. Asanteni.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa kinyerez SONGAS. BEI.MILLION 5. UKUBWA. MITA 2OX20. CONT.PM
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nipo dsm..ni 0658327429
0 Reactions
2 Replies
800 Views
Wataalamu wa kunyoosha na kupiga magari rangi Tunapatikana Kinondoni Manyanya mtaa wa Brazil 0688767668/0715967107 Info@autogurugarage.co.tz Gx110 ilikuwa white sasa ni black
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Kwa wanaopenda high speed laps HP Pavillion hdd 1TB Ram 16gb Speed 2.9ghz Core i7 B&O play nVDIA GeForce 940MX discrete 4gb graphics Bei 850k pm km inakufaa
3 Reactions
43 Replies
6K Views
Nauza Pikipiki aina ya boxer hapo chini Bei Tshs. 1,400,000/= (Million moja na laki nne tu). Nipo Singida. SIFA ZAKE:- Ina Kadi Ina Risiti zote (ya manunuzi na Bima) Bima (inaisha April 2018)...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Habari, Wakuu kama heading inavyoeleza nahitaji cherehani hizi za kawaida (singer au butterfly). Kama kuna muuzaji tafadhari naomba uje PM. Napatikana dsm. NB: Najua nikienda k/koo nitapata but...
1 Reactions
15 Replies
11K Views
Habar wanajamii! Nimefungua kampuni yangu ya Fumigation and Pest Control hapa Arusha Kwa wenye Changamoto ya wadudu kama Mende, kunguni, mchwa, sisimizi, Panya n.k katika maeneo ya Mahotel...
0 Reactions
0 Replies
872 Views
Nyumba inauzwa Mahali:gongo la mboto Karibu na stendi ya daladala Kwa mawasiliano zaidi:0656180377 au 0657522935
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Natafuta kazi ya kuuza duka,super market na vinginevyo ninaweza kuongea kiswahili na kingereza vizuri ni muaminifu sana nitafute kupitia email prettykimaro@yahoo.com
2 Reactions
2 Replies
911 Views
Habarini wakuu nauza vitu vya ndani kama ifuatavyo,,,, Sumsung tv inch 24. Bei yake ni 300,000 Tsh. Fridge aina ya MENGCHI bei yake ni 220,000 Tsh. Kabati la nguo milango mitatu lenye dressing...
0 Reactions
105 Replies
18K Views
Back
Top Bottom