Scania Marco Polo For Sale

Scania Marco Polo For Sale

Abdul Ghafur

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2017
Posts
610
Reaction score
749
Wanunuzi serious wanipigie bei ya kutupa bus Kama lilivyo kwenye picha limeshalipiwa ushuru na kila kitu.

Simu: 0625249605
 
Wanunuzi serious wanipigie.

Bei ya kutupa. Bus Kama lilivyo kwenye picha. Limeshalipiwa ushuru na kila kitu.

IMG-20171001-WA0051.jpg
IMG-20171001-WA0050.jpg
IMG-20171001-WA0049.jpg
IMG-20171001-WA0048.jpg
IMG-20171001-WA0047.jpg
IMG-20171001-WA0046.jpg
 
Inasumbua balaa hiyo basi.... imara coach hiyo
Anyway sikutaka kuharibu biashara yako mkuu lakini kiukweli hii bus naipata vizuri sana....kuna haja ya kuchange maelezo hapo juu!! Mpaka dakika hii tunazungumza gari ipo Maeneo ya berega Morogoro Dom road imetaga. Thou hata ukisema unaiuza wapo watundu wa kuchange engine kuileta mbele na ikapiga kazi vilivyo..mfano Arusha express ana marcopolo alichukua kwa Scandinavia zilikuwa engine nyumba nw ni engine mbele na inapiga mbeya Arusha. Wengi sana wanaitamani hii gari na naweza kukulink na waliokuwa wanaizungumzia sana kuitaka
Ndio. Hatujaona usumbufu wake.
 
Anyway sikutaka kuharibu biashara yako mkuu lakini kiukweli hii bus naipata vizuri sana....kuna haja ya kuchange maelezo hapo juu!! Mpaka dakika hii tunazungumza gari ipo Maeneo ya berega Morogoro Dom road imetaga. Thou hata ukisema unaiuza wapo watundu wa kuchange engine kuileta mbele na ikapiga kazi vilivyo..mfano Arusha express ana marcopolo alichukua kwa Scandinavia zilikuwa engine nyumba nw ni engine mbele na inapiga mbeya Arusha. Wengi sana wanaitamani hii gari na naweza kukulink na waliokuwa wanaizungumzia sana kuitaka

Namba zangu zipo post namba moja.
 
Anyway sikutaka kuharibu biashara yako mkuu lakini kiukweli hii bus naipata vizuri sana....kuna haja ya kuchange maelezo hapo juu!! Mpaka dakika hii tunazungumza gari ipo Maeneo ya berega Morogoro Dom road imetaga. Thou hata ukisema unaiuza wapo watundu wa kuchange engine kuileta mbele na ikapiga kazi vilivyo..mfano Arusha express ana marcopolo alichukua kwa Scandinavia zilikuwa engine nyumba nw ni engine mbele na inapiga mbeya Arusha. Wengi sana wanaitamani hii gari na naweza kukulink na waliokuwa wanaizungumzia sana kuitaka

Huo si usumbufu kwa wazoefu. Basi inauzwa. Ataenunua ni haki yake kubadilisha apendavyo.

Biashara huwezi kuiharibu. Kama ipo ipo tu.
 
Back
Top Bottom