mangi meri
Senior Member
- Aug 13, 2017
- 116
- 151
Habari zenu na Poleni na matamko wana jamvi!! Natafuta chumba na sebule Maeneo ya kijitonyama,makumbusho, Mwenge au Mbezi beach. Isiwe uswahilini sana, bajeti yangu ni 100,000.
Habari zenu na Poleni na matamko wana jamvi!! Natafuta chumba na sebule Maeneo ya kijitonyama,makumbusho, Mwenge au Mbezi beach. Isiwe uswahilini sana, bajeti yangu ni 100,000.
Acha mambo ya kitoto.umevipotezea wapi kwani? Mpaka uvitafute. Nara ya mwisho uliviacha wapi chumba na sebule tukusaidie kutafuta
Bora useme ww Mkuu!!Acha mambo ya kitoto.
Utoto peleka kwa watoto wenzako fb.
Kwenu hakuna wakubwa?umevipotezea wapi kwani? Mpaka uvitafute. Nara ya mwisho uliviacha wapi chumba na sebule tukusaidie kutafuta
Hauwezi kupata lamda singleHabari zenu na Poleni na matamko wana jamvi!! Natafuta chumba na sebule Maeneo ya kijitonyama,makumbusho, Mwenge au Mbezi beach. Isiwe uswahilini sana, bajeti yangu ni 100,000.
Hapa hapa bila PM me nipo tayari Mkuu. We unacho Maeneo gani?Kwa mahitaji ya vyumba na Nyumba za kupangishisha Dar es salaam. Njoo pm
Ongeza 80, nikupe nyumba nzima mbezi msakuzi, utafurahi mwenyeweHabari zenu na Poleni na matamko wana jamvi!! Natafuta chumba na sebule Maeneo ya kijitonyama,makumbusho, Mwenge au Mbezi beach. Isiwe uswahilini sana, bajeti yangu ni 100,000.
Yan hata kupangisha chumba mtu aje pm mmezid na nyie au mnakaririKwa mahitaji ya vyumba na Nyumba za kupangishisha Dar es salaam. Njoo pm
PrivacyYan hata kupangisha chumba mtu aje pm mmezid na nyie au mnakariri
Vipo Kigamboni, bunju, madale , tegeta , Tabata , Kinyerezi , yombo buza , kimara, gongo la mboto, Mbezi msumi, Sinza , mabibo , ubungo na kawe.Hapa hapa bila PM me nipo tayari Mkuu. We unacho Maeneo gani?
OK!! Bei za sinza kwa aina hiyo ninahohitaji inakuwa ina range kwenye sh ngap Mkuu?Vipo Kigamboni, bunju, madale , tegeta , Tabata , Kinyerezi , yombo buza , kimara, gongo la mboto, Mbezi msumi, Sinza , mabibo , ubungo na kawe.
Mkuu mimi sio dalali ila jirani yangu amejenga vyumba vizuri sana vya kupangisha ni chumba,sebure na jiko self, bei yake ni 150 umeme na maji vipo, inapatikana wazohill!
Mkuu mimi sio dalali ila jirani yangu amejenga vyumba vizuri sana vya kupangisha ni chumba,sebure na jiko self, bei yake ni 150 umeme na maji vipo, inapatikana wazohill!
Wazohill ni tegeta kibaoni unapandisha ile njia ya kwenda twiga cement!Wazo Hill ni maeneo gani...
Katikati ya Tegeta na Bunju??
200kOK!! Bei za sinza kwa aina hiyo ninahohitaji inakuwa ina range kwenye sh ngap Mkuu?