Nimekusoma mkuu,Kilenzi unafika shule? Na upande upi ukiwa unaelekea pelaga? Umbali kutoka barabarani je?Dadaa!! Si mchezo kaka nmekukubari no pale kilenzi kaka bei nataka kika eka milioni moja lkn mazungumzo yapo kaka
Ukubwa gan na Bei ganKuna muinuko kiasi
Bas nimeshapata jibu, ntakupigia kwa no ulioweja hapo tuongee. Mimi nipo Njombe matalaweUkubwa gan na Bei gan
Njooo vegasBas nimeshapata jibu, ntakupigia kwa no ulioweja hapo tuongee. Mimi nipo Njombe matalawe
Nimepapata mkuu,baada ya kupita ghala la serikali eneo zuri sana wadau changamkieni mi binafsi nitakawia kupata pesa ningekuja kulichukua.Ni upande wa kulia kama unaelekea pelaga kama unajua zilipo ofis za serikali kuna njia pale ya kuingilia shambani.