tunauza nguo za watoto za mtumba za ukweli, Magauni, sketi, blauz, sweta, pensi, suruali, short pens, swiming cost, t shert, shati, tyt, nk bei ni sh 8000 nakuendelea tunapatikana karume piga...
Nyumba ina vyumba 2 kimoja ni self,jiko,seble, nk
Ina jitegemea kwenye fence
Bei 400,000/ kwa mwezi,malipo kuanzia miezi 6 nakuendelea
Kwa maelezo zaidi +255756060183
Waungwana nimechoka kuona wanangu waliozaliwa kuanzia 2006 wakiiamkiaHITACH TV (CHOGO) yangu shikamoo...nataka nilete kitu cha flat screen tv mpyaaaaa...budget yangu ni shilingi laki tano...
Wasalaam
1.Eneo liko Dodoma mjini mtaa wa mahungu(mbwaga ya zamani) kama unaenda Nala nyuma ya ghorofa nzuri anayojenga BHAHARESA na lina ukubwa wa ekari 3
2.Umbali kutoka town centre ni...
Baada ya safari kutafuta machimbo mapya ya simu kali kali za kibabe, tablets zilizosimama, laptop latest na accessories za ubora wa kimataifa, hatimae nimerudi tena na mzigo mzito...Wateja wangu...
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza wanandugu nauza hivyo vitu
PC Dell inspiron core i3 HDD 500
LG Flat screen nch 24 ina VGA HDMI RGB PC
Radio ndogo(suboofer)
DSTV dish na decoder...
Liquid Microfinance tunatoa mikopo ya aina mbalimbali na kwa riba nafuu ili kukuwezesha wewe mtanzania mwenye kipato cha chini kufika malengo yak.
"Unapata Mkopo Ndani Ya Saa 7"
Kwa Maelezo...
Wabarini wakuu,
Hili tangazo nimekusudia liwe la kuhabarisha zaidi kuliko tangazo la kibiashara.
Tuna mradi mpya wa kibiashara ambao lengu letu ni kuhudumia mashirika ya kibiashara/huduma, kwa...
Ninauza nissan xtrail ikiwa kwenye hali nzuri sana na sifa zifuatazo
-mileage 145,000
-automatic
-4wd
-haidaiwi chochote
-Full ac
Angalia picha ukipenda njoo 0685369349 tuzungumze
KiSOI HOUSE OF PIPES[emoji344]
[emoji818]koki za maji na mixer zake bila kusahau gate valvue
[emoji818]fitting za bomba za chuma na IPS(INCHI ZOTE ZNAPATIKANA)
[emoji818]Vyoo vya kukaa na...
Mageti bei sawa na Bure toka hapa *AUTOGURU WORKSHOP*
Wahi punguzo la bei kabla halijaisha
Bei ni pamoja na kukufungia kwako tunakukabidhi geti likiwa linatembea
Upana 8ft bei ni 1.3m
Upana...
Mageti bei sawa na Bure toka hapa *AUTOGURU WORKSHOP*
Wahi punguzo la bei kabla halijaisha
Bei ni pamoja na kukufungia kwako tunakukabidhi geti likiwa linatembea
Upana 8ft bei ni 1.3m
Upana...
Nauza DVR mpya ikiwezekana zote kwa pamoja bei poa kwa zote.
Zipo pcs 5 za 16 channels na zipo pcs 2 za 8 channels.
Zote brand new.
Hizo DVRs zinakuja na adaptor yake na mouse na user manual na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.