Habari wakuu, Friji kubwa na nzuri na bado mpya inauzwa. Upande mmoja fridge mwingine freezer pia INA water dispenser. mwenyewe anahama nchi ndio sababu ya kuuza.
1.2m
IPO tabata kinyerezi...
Karibu muwekeze kwenye kilimo na miti. Shamba langu nauza linafaa kulima viazi mvingo, mahindi,njegere, ngano na kupanda miti kama mipaina,milingoti na mibani.ukitaka eka moja au zaidi sawa,bei...
Habari wadau, naomba msaada wa maelekezo na maelezo kwa anayejua duka la nguo nzuri za watoto wa kiume hapa dar kati ya miaka 3-6 na price zake kama zinafahamika!!
au kama kuna mtu anauza pia...
ingia hii link E-currency exchanger listing, best rates from reliable exchangers then ikifunguka nenda affiliate program then shuka chini kidogo utaona neno register bofya baada ya hapo jaza...
Habari wana bodi?
Kama kuna mtu ana hitaji kitu chochote kinachopatikana kwa urahisi na bei nafuu katika mataifa ya Russia na Ukraine, tafadhali aje PM.
Atanunuliwa mzigo wake na kuletewa hadi...
Tunauza nguo za watoto za mtumba za ukweli, Magauni, sketi, blauz, sweta, pensi, suruali, short pens, swiming cost, t shert, shati, nk bei ni sh 8000 nakuendelea tunapatikana karume piga namba...
Nyumba Inapangishwa Ipo Mwenge Kanisa La Rc Karibu Sana Na Bamaga Na Afrikasana Ni Vyumba Viwili Vya Kulala Sebule Jiko Choo vyote Ndani Na Parking Ipo N Ndani Ya Geti
Tuwasilian
Nimejaribu kufuatilia bei za viwanja na nyumba Jf na ktk mtandao fulani maarufu wa kuuziana vitu na nimegundua kuwa bei za nyumba huko kidogo zipo chini sana, mathalani, unakuta nyumba ya vyumba...
Kama unachochote au hata kwa jirani au rafiki usije ukakiona kidogo au kibaya kunawengine wana kitafuta hicho
Hivyo tualifu na tutakifuata ili tuchanganye na vya wengine, kisha tutatangaza siku ya...
Haya jamani usiweke tv kwenye stuli ni hatari kwa kwako na mandhari ya sebule jipatie stendi kwa 70000 napatikana bondeni karibu na tangi bovu wahi kabla cjasombwa na maji mm na stendi...
Habari ya leo Wadau?
Nakuja kwenu kuomba anayefahamu anielekeze mahali ninakoweza kupata mbegu ya mpunga itwayo KOMBOKA, au nyingine yoyote ya kisasa/chotara (hybrid) ambayo ninataka kuitumia kwa...
INCHI 22 INA USB PORT, HDMI, EARPHONE PORT, DC AND AC ELECTRICITY 210,000 DSM HAINA TATZO LOLOTE BALI NATAKA CHUKUA 32 INCHI SERIOUSLY BUYER ONLY 0787 429 104. MBEZI LUIS.
Tunakodisha na kuuza magauni ya harusi na sherehe mbalimbali kama send off,bei ya kukodisha ni tshs 250000 na kuuza ni tshs 450000.Napatikana Tabata magengeni kwa mawasiliano 0659274118.
Asali mbichi toka mkoani Tabora ya nyuki wakubwa.bei ya lita moja ni tshs 10000 na lita tano ni tshs 45000,napatikana Ukonga -Dar es salaam.mawasiliano 0655030711.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.