Nahitaji haraka sana simu tajwa hapo juu (Iphone 5S). Bei itategemea na Specs zake. Dau langu linaanza na 230 kwenda juu. Kama unayo please ni inbox, nependelea zaid rangi ya gold japo hata rangi...
Mwenye uzoefu na hili tafadhal naomba msaada , Npo kanda ya ziwa ninaproject kubwa ya kuzalishaji vifarangu vya kuku wa kienyeji na kuwakuza kwa kutumia incubator machine, kwahiyo nahitaj...
Habari za jioni ndugu zangu, nauza kiwanja changu chenye ukubwa was Sqm 890 kipo Babati maeneo ya Sinai. Bei nimeshusha 1.2 kutoka 1.8 Nauza kwa sababu nimekwama na nahitaji pesa. Viwanja vina...
Hello.
Kama unaijua The Innovation House Brand basi utajua ni nini ninachozungumzia. Kwa wale waliopo instagram account hii ya instagram @theinnovationhouse2014 mtakuwa mnaijua kama hujaijua basi...
Nataka gari aina ya ist, iwe katika hali mzuri, iwe imelipiwa ushuru vizuri isiwe ya ujanja ujanja, iwe ya 2008 kuja juu, iwe na mileage, si zaidi ya 150,000. Budget 6,500,00
Habari ndugu,
Ninatafuta kiwanja cha bei nafuu maeneo ya Tegeta, Boko , Salasala , mbweni au Makongo juu.
Budget yangu ni chini ya Milioni 12. Mwenye nacho naomba ani PM.
1)Kiwanja kiwe kimepimwa...
Shamba linauzwa Morogoro habari njema kwa wakazi wa Moro au hata Dar shamba kubwa sana linauzwa Morogoro.
Limelimiwa mpunga mpaka sasa ni hekari 12 na bei yake ni rahisi M7.
Morogoro Lupilo...
Kwa wanao hitaji shamba maeneo ya Morogoro bado lipo na lipo karibu na chanzo cha maji cha mto Ngerengere napatikana kwa namba(0744990530 au 0676051093)
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za muda huu wanajamii.
Naomba kufahamishwa ni wapi kwa Dar kuna vyumba vya kupanga ambavyo kodi ni 20elfu kwa mwezi,malipo ya miezi mitatu tu na unapanda gari moja hadi Ubungo ila isiwe...
Nauza pilipili nilizopanda shambani Bagamoyo kwa anayehitaji anitafute kwenye namba zifuatazo, kwa mawasiliano zaidi.
0766767539_voda
0677459677_tigo
Tafadhali mfahamishe na mwezio
Sent using...
Nauza samsung LED TV ya 23 inch, series 4. Imetumika miaka 3, haina tatizo lolote. Sababu ya kuuza ni kwamba nimenunua kubwa zaidi. Bei tsh 270,000 inapoa kidogo. Aliye interested nicheck pm au...
Wadau nina mahitaji na power tiller lakini sina uzoefu nazo kuhusu ubora, bei na zinapopatikana. Hata kama ni used lakini inafanya kazi vizuri nitafurahi kupata taarifa.
Asanteni
Kwa wale wanaopenda kufanya biashara/Huduma za kifedha kupitia simu,basi hii ni nafasi kwao ya kujiongezea kipato.Laini za uwakala,M PESA,Tigo Pesa na Airtel Money zinauzwa.Zipo Arusha mjini.Kwa...
kichwa cha habari chahusika,mbwa wenye umri wa week tano aina ya German Shephard wanauzwa,bei yake ni Tshs.200,000 kila mmoja,kwa wale mnaoishi na familia mnajua uchungu wa kuvamiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.