Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

wakuu nauza samsung galaxy j1 bei kuanzia laki na 20 hadi laki na 10 ipo kwenye hali nzur kabisa ram 512 internal memory 4gb
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nahitaji haraka sana simu tajwa hapo juu (Iphone 5S). Bei itategemea na Specs zake. Dau langu linaanza na 230 kwenda juu. Kama unayo please ni inbox, nependelea zaid rangi ya gold japo hata rangi...
1 Reactions
0 Replies
804 Views
Mwenye uzoefu na hili tafadhal naomba msaada , Npo kanda ya ziwa ninaproject kubwa ya kuzalishaji vifarangu vya kuku wa kienyeji na kuwakuza kwa kutumia incubator machine, kwahiyo nahitaj...
0 Reactions
2 Replies
860 Views
Habari za jioni ndugu zangu, nauza kiwanja changu chenye ukubwa was Sqm 890 kipo Babati maeneo ya Sinai. Bei nimeshusha 1.2 kutoka 1.8 Nauza kwa sababu nimekwama na nahitaji pesa. Viwanja vina...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hello. Kama unaijua The Innovation House Brand basi utajua ni nini ninachozungumzia. Kwa wale waliopo instagram account hii ya instagram @theinnovationhouse2014 mtakuwa mnaijua kama hujaijua basi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau habarin za leo!!!!! Nnauhita wa gear box ya Suzuki Swift engine no. MA 13
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nataka gari aina ya ist, iwe katika hali mzuri, iwe imelipiwa ushuru vizuri isiwe ya ujanja ujanja, iwe ya 2008 kuja juu, iwe na mileage, si zaidi ya 150,000. Budget 6,500,00
0 Reactions
20 Replies
8K Views
Jipatie dagaa wazuri wakukausha kutoka bukoba debe kumi kwa shilingi 280,000/= kwa mawasiliano zaidi 0752435243
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari ndugu, Ninatafuta kiwanja cha bei nafuu maeneo ya Tegeta, Boko , Salasala , mbweni au Makongo juu. Budget yangu ni chini ya Milioni 12. Mwenye nacho naomba ani PM. 1)Kiwanja kiwe kimepimwa...
0 Reactions
0 Replies
802 Views
Shamba linauzwa Morogoro habari njema kwa wakazi wa Moro au hata Dar shamba kubwa sana linauzwa Morogoro. Limelimiwa mpunga mpaka sasa ni hekari 12 na bei yake ni rahisi M7. Morogoro Lupilo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa wanao hitaji shamba maeneo ya Morogoro bado lipo na lipo karibu na chanzo cha maji cha mto Ngerengere napatikana kwa namba(0744990530 au 0676051093) Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za muda huu wanajamii. Naomba kufahamishwa ni wapi kwa Dar kuna vyumba vya kupanga ambavyo kodi ni 20elfu kwa mwezi,malipo ya miezi mitatu tu na unapanda gari moja hadi Ubungo ila isiwe...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Nauza pilipili nilizopanda shambani Bagamoyo kwa anayehitaji anitafute kwenye namba zifuatazo, kwa mawasiliano zaidi. 0766767539_voda 0677459677_tigo Tafadhali mfahamishe na mwezio Sent using...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nauza samsung LED TV ya 23 inch, series 4. Imetumika miaka 3, haina tatizo lolote. Sababu ya kuuza ni kwamba nimenunua kubwa zaidi. Bei tsh 270,000 inapoa kidogo. Aliye interested nicheck pm au...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau nina mahitaji na power tiller lakini sina uzoefu nazo kuhusu ubora, bei na zinapopatikana. Hata kama ni used lakini inafanya kazi vizuri nitafurahi kupata taarifa. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale wanaopenda kufanya biashara/Huduma za kifedha kupitia simu,basi hii ni nafasi kwao ya kujiongezea kipato.Laini za uwakala,M PESA,Tigo Pesa na Airtel Money zinauzwa.Zipo Arusha mjini.Kwa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndugu zangu naomba kujua sehemu gani Mbeya naweza pata kiwanja kwa Mil.1 au 2
0 Reactions
6 Replies
5K Views
kichwa cha habari chahusika,mbwa wenye umri wa week tano aina ya German Shephard wanauzwa,bei yake ni Tshs.200,000 kila mmoja,kwa wale mnaoishi na familia mnajua uchungu wa kuvamiwa na...
0 Reactions
32 Replies
7K Views
Back
Top Bottom