Ukubwa: Ekari 4
Bei: 10million kwa eka (maelewano yapo)
Status: Eneo ni tambarare kabisa na unaweza kununua hata chini ya eka moja. Eneo linazungukwa na makazi ya watu likiwepo zizi la Mh...
Mahali lilipo: Majohe Kibaoni
Ukubwa: hatua 27x21
Status: Halijapimwa na ila kuna banda la vyumba viwili
Bei: 12mil
Mawasiliano: 0687868455
Google location...
Nauza na kusupply earphone za jumla na rejareja kwa bei rahis mnoo
Hii ni bei ya offer jumla ni kuanzia piece 4 na kuendelea
Nauza kwa bei ya punguzo
Shilingi 3500 kwa bei ya jumla piece 4 mpaka...
Kelvin Furniture ni watengenezaji na wauzaji wa Samani za maofisini na Majumbani
milango ya mninga inauzwa Tshs 250,000/= tupo Dar es salaam -
Tabata kimanga - opposite na shule ya msingi kimanga...
Kwa mahitaji ya workstation Desk karibu Autoguru Workshop
Tunapatikana Kinondoni Manyanya mtaa wa Brazil
Wahi uweke order yako sasa na upendezeshe ofisi yako
Tuwasiliane kwa 0688767668/0715967107
Kiwanda kipya cha kusaga na kukoboa nafaka kilichopo Mbezi Luis DSM kinakodishwa. Kiwanda hiki kina machine za kusaga, kukoboa, na kupeta mahindi. Pia kina machine ya kushona mifuko/viroba.
Kina...
Hello JF natafuta application ya kufanya record keeping especially financial record keeping. Mfano kama mkulima aweze kurecord data zake za kilas iku zinazohusia na na kilimo chake meaning mapato...
Wenye kuhtaji bidhaa mbali mbali za kitamaduni na asili kama bakuri,sahani,vikombe vilitengenezwa kwa mazao asili ya miti ya kitanzania karibuni sana hapo chini ni mfano wa bakuri wenye kuzihtaji...
Rejea kichwa cha habari hapo juuu nahitaji laini ya uwakala wa mpesa iliyofit kalikiti kwenye matumizi nipo Dar ubungo plz fanya fasta fasta tupige buzness 0712046405
Jipatie Simu Mpya za
Huawei Y6 pro kwa Tsh. 160,000/=
Huawei Y6II kwa Tsh 420,000/=
Samsung J3 kwa Tsh 320,000/=
Power bank kwa Tsh 50,000/=
Nokia 520 kwa Tsh100,000/=
WIFI E5878 kwa Tsh...
Hellow wapendwa!
Kwa furaha kubwa napenda kuandika makala hii kwa kifupi kuwajuza kuwa kampuni yetu toka nchini Uphilipino imeguswa na ukosefu wa Ajira/kuwa na kipato kisichokidhi mahitaji kwa...
Habari wana jamii.
Katika pitapita zangu nimekutana na habari inayosema jeshi la magereza linatengeneza viatu vya ngozi vizuri sana kwa ustadi mkubwa
Huku moshi.
Viatu hivi ni kwaajili ya maafisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.