Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nipo Dodoma ninauza vitambaa vya kufuma kwa bei poa jumla na rejareja.. N.B Natengeneza mwenyewe hivyo tukiongea unaweza kuletewa kwa bei poa kulingana na makubaliano pia unaweza kuweka order ya...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Wanajamvi ni maeneo gan kwa hapa dsm naweza peleka pop corn na ikatoka kiurahisi??
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kama ni mfanyabiashara au mnunuzi umekuwa ukisunbuka sana kujua thamani ya sarafu fulani, huenda ikawa umeona bidhaa online kwa bei ya nchi fulani lakini hujui thamani yake kwa dola au shilingi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninauza laptop yenye sifa zifuatazo. 1. Model : HP probook 6360b 2. RAM : 4 GB 3. Harddisk : 500GB 4. Screen : 14 inches 5. OS : Windows 7 pro (Activated) 6. Processor : Core i5, 64bit, 2.5 GHz 7...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Imetumika miezi mitatu. Bei ni 320,000/= Napatikana Mwanza.
0 Reactions
20 Replies
4K Views
  • Closed
Amani kwenu wadau, nina mashine ya hp elitebook 8470 ipo katika hali nzuri kabisa, imetumika miezi 3 toka inunuliwe. specification zake: Hdd 320Gb Ram 4Gb Processor Intel (R) Core (TM) i5...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa nini choo kinuke wakati suluhisho lipo Jipatie manukato ya choo yenye harufu nzuri ya kuvutia product ya south africa. Baada ya kusafisha choo chako kausha maji kisha mimina manukato haya...
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Habari mwenye nayo aje tufanye biashara
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wadau!, kama Topic inavyojieleza Natafuta tenda ya kusambaza samaki aina zote kwenye Mahotel, migahawa, shule na madukani. AINA YA SAMAKI: Sato , Sangara, vibua, kamongo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Natafuta shamba kwajili ya kilimo cha vitunguu, viazi au mpunga morogoro ila sio la kununua ni kukodi kama kuna mtu anaweza nisaidia nitashukuru!![emoji120]
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Ni aina gani nzuri ya mashine ya kusaga matunda(blender)....kwa jiji la mwanza naweza kupata maduka gani..?
1 Reactions
46 Replies
11K Views
Naombeni. Kujua na kuuliza. IPI ni window bora kwa PC ya Duo2 pia RAM 2GB Swali LA pili. No hatua zipi za kufata wakat wa kushusha window 8 kuweka window 10 msaada jaman
0 Reactions
3 Replies
4K Views
ni Miti kwa ajili ya mbao ,mirunda na nguzo za umeme Miti ina miaka 4 Bei ni 1200000 kila eka Zipo eka 20 Shamba lipo kijiji cha lyalalo halimashauri ya Njombe ktk mkoa Wa Njombe Kwa mawasiliano...
1 Reactions
7 Replies
6K Views
Package includes: 3 light stands 3 softboxes 3 bulbs (daylight) 3 backgrounds (white, black, green) Suitable for: Photoshoot, video, products photography etc Bei; 650,000/= haishuki...
0 Reactions
1 Replies
609 Views
Habari wakuu! Natafuta frem ya biashara ya grocery iwe maeneo ya mbezi ya Kimara! Isiwe kwa ndani sana,maeneo yaliyochangamka na yanayoruhusu watu kusuuza roho zao kwa kinywaji!
0 Reactions
1 Replies
712 Views
Inatumia mtandao wa tigo, lakn ukiongea vzr na wataalamu wa IT kama kina MwlRTC wanaweza kukusaidia kuiunlock itumie mitandao yote, Sababu ya kuiuza ni kwamba nipo nje ya mji kwa miez kadhaa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ninauza mawe ya Tanga stone yaliyo katwa Tayari. Square meter moja nauza ni kati ya Tsh 35,000 na Tsh 60,000 inategemea na aina ya mkato (cutting style) Wasiliana nami kwa namba hii 0758484166/...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
wakuu habari! natafuta email address ya ICAP TANZANIA ambayo inafanya kazi maana hii ya icap-jobsTanzania@columbia.edu napata feedback kuwa siyo sahihi.
0 Reactions
6 Replies
10K Views
Back
Top Bottom