Wasalaam wana jamvi. Ninahitaji trekta la kukodi kwa ajili ya kulima. Shamba lipo kidomole, Bagamoyo. Ni hekari zipatazo 20, kwa mwenye treks naomba ni PM ukitaja na gharama yako kwa kila hekari. Hata kama hauna trekta ila una namba ya mtu mwenye trekta maeneo hayo nisaidie itanifaa.
Asanteni
Asanteni