Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Compatible with all Canon DSLRs 5D, 7D, 600D, 60D, 70D etc Suitable for Wedding, Music Videos, Etc
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tuwasiliane kama unayo au unafahamu duka lolote la uhakika kwa hapa DSM Iwe na graphics card ya Nvidia(4GB+) Ram 8GB au 16GB(recommended) HDD - 1TB, Iwe na SSD japo 100GB+ Processor core i5/i7...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Bei Million 9, Kama Upo Sirius Unaitaka. Njoo Pm, Kwa Maelewano Zaidi.
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Habari za jioni wadau.kama kichwa cha habari kinavyoeleza.Nahitaji milango ya aambayo ilikuwa inapatikana maduka ya jeshi wanaita milango ya kichina.mwenye uzoefu na mahala inapopatikana na...
1 Reactions
28 Replies
16K Views
Je, wwe ni mfanya biashara ambae unataka kurasimisha (formalize) biashara yako? Je unataka kufungua NGO, trust, CBO, church or any charitable entity? Je unataka msaada wowote wa namna ya kusajili...
0 Reactions
0 Replies
522 Views
Ningependa kujua ghrama kutumia usafiri wa fuso kutoka Lindi hadi arusha..tani kumi
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nauza mahindi mabichi bei ya jumla Tsh.400 ipo heka1 kwa mawasiliano zaid 0652971495
1 Reactions
3 Replies
2K Views
wakuu, habari za mida, natafuta Trailer/Tanker ya Mafuta , iwe nzima, lita elfu 40 au zikaribie hapo, vyumba 6 Mawasiliano WhatsApp or Call: 0622070789
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Warranty inaisha tarehe 31/01/2018, Nakupa charger original na warranty card, Simu haina tatizo lolote. Internal storage : 16gb Ram : 2gb Network : 4g LTE Primary camera : 13 MP Secondary camera...
2 Reactions
20 Replies
4K Views
SAMSUNG 9.0kg WF906U4SA** ecobubble Technology digital inverter motor Sh.1000,000 Used ni sawa na mpya, Ukitaka ni PM.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari kama kichwa cha habari kinavyojieleza naitaji sofa nzuri za kisasa nipo mbeya kama kuna fundi au mfanyabiashari wa sofa anaweza nicheki pm nimpe number ya whatsapp anitumie picha Asante
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Full boxed Original Samsung Galaxy Note 3 Neo N750 Mobile Phone Quad Core 5.5" 8MP 3G 16GB.... 350k
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari Nauza router wi fi ya huawei imesajiliwa kwa kampuni ya safaricom Model: E5573Cs-322, Network:4G Condition: Locked, bado mpya Bei: Tsh 80,000 maongezi yapo Hotline: 0755 411 455...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nina unlocked Samsung Galaxy S4 (SGH-I337) Internal Storage Space - 16 GB (+ microSD Slot Expandable up to 64GB) RAM - 2 GB 13 Megapixel Camera Originally ilitumika kwa mtandao wa AT&T huko...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu habari, ningependa kufahamishwa sehemu ambapo hizi packages (cups) za juice na hiyo ya hot chocolate zinapatikana ikiwezekana na bei zake N.B: (zilizo tupu kwa ajili ya biashara /brand...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Tupate kwa Whatsapp no: +255768829357, Email: frankmartha955@gmal.com na instagram DM e_graphicstz, gharama ya huduma zetu ni affordable kwa kila mtanzania wa kawaida. Mfano wa kazi zetu:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu , premio nyeusi kuanzia no DF... mileage chini ya 90k inahitaji haraka ndani ya wiki kuanzia sasa bajeti btn 8M-9M
0 Reactions
6 Replies
984 Views
Nahitaji mwenye nayo au kujua wapi nitaweza kupata housing original ya nokia c2-01. Nimehangaika bila mafanikio. Nikiweka hizi za kichina za elfu 3 button zinakataa kabisa kupiga kazi. Shukrani zangu!
0 Reactions
0 Replies
590 Views
Inafaa kwa matumizi ya photography na videography ktk mazingira tofauti tofauti. Features; 1.black, useful kublock unwanted light towards your subject 2.white, useful to add brightness to your...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom