Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kuelekea sikukuu ya Christmas na Mwaka mpya Itel mobile imeachia simu mbili kali mpya ni S12 na S32 zenye kamera mbili za mbele huku kila kamera ikiwa na kazi yake maalum. Kamera mbili za mbele...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Wanajamvi kuna mtu humu alipost ya kwamba anauza photocopy machine used, naomba ani PM tufanye biashara
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Salaam, Kama uzi unavyojieleza nahitaji hapo juu,nahitaji TV (second hand ) lakini iwekatika hali nzuri. Mwenye nayo and PM au anicheki kwa # 0714515515/0683759230 Ahsante!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jipatie madera yenye mitandio mikubwa... Jumla ni12000 na reja reja ni 13000. Nipo Ilala mtaa wa Sadan na K/koo mtaa wa Somal. Nichek 0678361222 /0659469663
0 Reactions
0 Replies
723 Views
Wakuu! Salama,nahitaji suzuki jimmy cc650 namba D,C hata mpya kabisa ambayo haijasajiliwa, kwa yeyote aliyenayo aje hapa na picha pamoja ba bei
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Plot ipo mbezi beach mbuyuni, size plot 9500sqm Panafaa kiwanda nk Bei 1.5m usd Maongezi nakuja kuona wasiliana nami kwa 0756060183
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Toyota Ractis 2006 generation .Engine capacity 1490 cc, aina ya Engine ni 1NZ Fe Vvti Imetembea 75947 Km Fully Air Conditioned, Dvd music player, Cctv Camera Airbags.. Bei 9.5 mil. Kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Music system nzuri sana na kubwa Ina spika mbili kubwa Ina deck ya DVD Ina USB ports mbili (matundu ya flash) Ina droo mbili kwa ajili ya kuwekea CD na vitu vidogo Ina disco lights Ina uwezo...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Wanaja JF kama kuna mtu ana kiwanja Goba chenye hati ani PM. 1. sqm 1000-2000 2. Budget isizidi 25M 3. Kisiwe kinadaiwa na Bank 4. Bei iwe realistic na eneo uhusika Nawasilisha.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Tunauza Viwanja Block DD Kigamboni pembeni ya DAR AUTOMOBILE PARK(Kule show room za magari zinakohamia kwa maelekezo ya mh mkuu wa mkoa) Bei Tsh 7,000 kwa mita ya mraba, Mfano mita za mraba 400...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mega sale! Punguzo kubwa la zaidi ya 50%. Wahi sasa! Mashine ya kukatakata majani ya mifugo size tofauti, pia inasaga mchaichai kwa Tsh 1,350,000 tu badala ya 2,250,000/=. Mashine ipo tayari...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF kama Heading inavyojieleza Gari aina ya Land Cruiser GX V8 inauzwa kwa bei poa kabisa ya Mil.115 lakini pia maongezi yapo na bei inaweza kupungua kidogo kutokana na hali ya...
1 Reactions
16 Replies
13K Views
Habari , natafuta mahali wanapotengeneza meza iliyozungushiwa bati na kabati la kioo kama inavyoonekana kwenye picha
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wadau Ninatafuta nyumba ya kawaida ya kununua maeneo ya Kinondoni ,Tabata ,Mbezi beach ,Kimara ,Mwenge,Knyama ,Makumbusho,Mwananyamala ,Sinza, kurasini ,mtoni nk kwa kifupi isiwe nje sana na...
1 Reactions
40 Replies
8K Views
Habari wakuu!!Tunauza gari yetu aina ya Toyota Noah namba DJD kwa Tsh 12.5 mil gari ipo kwenye Hali nzuri inapatikana dar.kwa mawasiliano 0712842283
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari zenu wana JF kama Heading inavyojieleza Gari aina ya Land Cruiser GX V8 inauzwa kwa bei poa kabisa ya Mi.115 lakini pia maongezi yapo na bei inaweza kupungua kidogo kutokana na hali ya...
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Karibu Sana printer inauzwa Bado mpya kabisa location Arusha Usariver Mawasiliano 0762941817 0787245182 Email chulapeter@gmail.com
0 Reactions
1 Replies
779 Views
Kwenye group langu la whatsapp nina group kubwa lenye wafuasi wengi east africa, sasa kwa ajili ya elimu na kuliboresha liwe tofauti na mengine kama mdada mwenye utaalam huo yupo, anione whatsapp...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom