Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nina mzigo wa pweza nina leta dar es salaam toka msumbuji Kilo ninauza 9000tsh per kg +255676019019 WhatsApp +255764845585 Asante sana
1 Reactions
0 Replies
922 Views
Ninauza kiwanja chenye ukubwa Wa (14*28)M kina ramani yenye barabara nguzo ya umeme IPO katika mpaka Wa kiwanja na maji ya chumvi laini yapo Jirani kabisa kuvuta haizidi mita 5 bei ya kiwanja...
0 Reactions
2 Replies
678 Views
Nahitaji laptop ambayo iko kwenye hali nzuri, budget yangu ni shida laki 3 tu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji hiyo simu tajwa mwenye nayo anicheki.0754 604567
0 Reactions
0 Replies
508 Views
Salamu,mwenye biashara ya kahawa kuna wageni wangu wanahitaji tani 20 za Arabica grade A ama AA tafadhali tuwasiliane kwa 0742666736
0 Reactions
0 Replies
707 Views
Heshima kwenu Wote! Nilileta uzi hapa kuwa natafuta nyumba ya kununua Tanga mjini, nimepata ila kuna nyumba nyingine mwenye nyumba ameniomba niiitangaze hapa kuwa inauzwa. Sifa za nyumba. Ina...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
habari wadau. nahitaji fridge mpya double door kwa matumizi ya nyumbani. nasubiri ofa zenu. napatikana dar. picha ni muhimu, pia kama kuna mtu mwenye ushauri au wap naweza pata fridge kwa bei...
0 Reactions
2 Replies
758 Views
Anaeuza kitanda na Godoro Fut 5*6 anicheki Pm..
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za majukumu wakuu.Mimi nipo mbeya.Ninauliza kama kuna yeyote anayejua sehemu wanayouza majenereta ya umeme hapa mbeya.Nataka nipate jenereta jipya kwa ajili ya shughuli zangu mgao wa umeme...
0 Reactions
0 Replies
787 Views
Hello! I have 500k, find for that particular phone,
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Natoa fursa kwa vijana katika msimu huu wa sikukuu. JIPATIE ELFU 30 KWA MTEJA WA KWANZA UTAKAYEMLETA. ELFU 50 KWA MTEJA WA PILI NA ELFU 70 KWA MTEJA WA WATATU NA ZAIDI. Tunafunga Online Stock...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, Mwenye kuuza king'amuzi cha Startimes ( Full set) Dar es salaam aje PM tufanye biashara ..
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Dear JF Members, Please use the Report Post button to alert us of any suspicious content or links posted on this forum. Your alertness and coperation helps us a great deal. Thank you !
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari Wadau Unahitajika mgahawa/hotel/stationery kwaajili ya kununua Mwenye navyo aje biashara ifanyike
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kiwanja chenye ukubwa wa Mita za Mraba 600 eneo la NJIRO CANOSA kinauzwa bei maelewano. Pia kiwanja chenye ukubwa wa eneo la mita za Mraba 1609 eneo la Lilungu Mtwara kinauzwa bei maelewano. Piga...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nimewahi kuona siku za nyuma mtu anajitangaza hapa kuwa anatengeneza application za simu ila nimeshindwa kuupata ule uzi. Nahitaji hii huduma kwa bei nafuu.
0 Reactions
0 Replies
687 Views
Brand: ASUS Ram: 4GB HDD: 500GB Core: i3 CHARGE: 3 HRS+/0ea6252953ed7f3e673d2d19db8a20ef.jpg[/IMG] PRICE: 430k ( Negotiable). Good condition work perfectly. Location: mwenge-mpakani Reason for...
0 Reactions
3 Replies
704 Views
Ndg zangu wanajopo mimi ni mkulima natafuta njia ya kuwasiliana na wale wachina wanaotoa mbegu ya mihogo yeyote anayejua njia ya kuwasiliana nao tafadhali anijuze haraka
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza unga wa mahindi lishe au mahindi ya njano ni mzuri sana na unafaa kwa watoto kuanzia miez sita hadi wazee. Kilo ni 3000 tu napatikana mbezi ya kimara. Kwa mawasiliano zaidi 0715 336718
0 Reactions
1 Replies
3K Views
>Tecno-W3 >Internal storage 8.00GB >Inamiezi 5 tangu inunuliwe >Haina tatizo lolote >Bei ni Tsh 120,000/= >Mahali ilipo simu ni Dar es salaam, Mwenge >Kwa mawasiliani - 0677 284 479
0 Reactions
4 Replies
862 Views
Back
Top Bottom