Ninauza kiwanja chenye ukubwa Wa (14*28)M kina ramani yenye barabara nguzo ya umeme IPO katika mpaka Wa kiwanja na maji ya chumvi laini yapo Jirani kabisa kuvuta haizidi mita 5 bei ya kiwanja...
Heshima kwenu Wote!
Nilileta uzi hapa kuwa natafuta nyumba ya kununua Tanga mjini, nimepata ila kuna nyumba nyingine mwenye nyumba ameniomba niiitangaze hapa kuwa inauzwa.
Sifa za nyumba.
Ina...
habari wadau.
nahitaji fridge mpya double door kwa matumizi ya nyumbani.
nasubiri ofa zenu.
napatikana dar.
picha ni muhimu, pia kama kuna mtu mwenye ushauri au wap naweza pata fridge kwa bei...
Habari za majukumu wakuu.Mimi nipo mbeya.Ninauliza kama kuna yeyote anayejua sehemu wanayouza majenereta ya umeme hapa mbeya.Nataka nipate jenereta jipya kwa ajili ya shughuli zangu mgao wa umeme...
Natoa fursa kwa vijana katika msimu huu wa sikukuu. JIPATIE ELFU 30 KWA MTEJA WA KWANZA UTAKAYEMLETA. ELFU 50 KWA MTEJA WA PILI NA ELFU 70 KWA MTEJA WA WATATU NA ZAIDI.
Tunafunga Online Stock...
Dear JF Members, Please use the Report Post button to alert us of any suspicious content or links posted on this forum. Your alertness and coperation helps us a great deal. Thank you !
Kiwanja chenye ukubwa wa Mita za Mraba 600 eneo la NJIRO CANOSA kinauzwa bei maelewano. Pia kiwanja chenye ukubwa wa eneo la mita za Mraba 1609 eneo la Lilungu Mtwara kinauzwa bei maelewano. Piga...
Nimewahi kuona siku za nyuma mtu anajitangaza hapa kuwa anatengeneza application za simu ila nimeshindwa kuupata ule uzi.
Nahitaji hii huduma kwa bei nafuu.
Ndg zangu wanajopo mimi ni mkulima natafuta njia ya kuwasiliana na wale wachina wanaotoa mbegu ya mihogo yeyote anayejua njia ya kuwasiliana nao tafadhali anijuze haraka
Nauza unga wa mahindi lishe au mahindi ya njano ni mzuri sana na unafaa kwa watoto kuanzia miez sita hadi wazee.
Kilo ni 3000 tu napatikana mbezi ya kimara.
Kwa mawasiliano zaidi 0715 336718
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.