Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza samsung s6 edge bei chee mpya kabisa ipo full boxed. Bei laki sita kamili. Guarantee ya mwaka mzima unapata. Nichek 0716026555 0685 436 107
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Faida za kutumia seedling tray ni kama zifuatazo 1. Huzipa nafasi ya kutosha Mbegu ambayo itapelekea Miche kuwa na ubora 2.Ni rahisi kuhudumia ukiwa umepanda kwa tray 3.Tray zina vitundu kwa...
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Kwanini uingie gharama zaid Kwa ubora uliopo chini ya kiwango katika umwagaji zege? Funguka Sasa Recon wanakuletea HUDUMA pekee ya umwagaji zege Kwa truck mixer ni rahis na nafuu kwa CBM 1 (Sawa...
6 Reactions
67 Replies
14K Views
Habari wana jf mimi ni Mtumish wa umma nahitaj Gari dogo mfano IST,RAUM,PREMIO ,ALLION Nk. Kama kuna mwenye Gari tajwa hapo juu Na angependa kuniuzia Gari lake kwa installment ambapo nitakua...
0 Reactions
2 Replies
606 Views
Mimi ni kijana niliyemaliza chuo ngazi ya certificate ya fitter mechanics hadi sasa mwaka wa tatu sijabahatika kupata kazi. Kwa mtu yeyote mwenye nafasi ya kunisahidia anisahidie. Shukrani...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwenye nayo aje inbox tufanye biashara.
0 Reactions
0 Replies
653 Views
Natoa elimu kwa wajasili amali [emoji117]kutengenez mvinyo wanyany or tomato wine[emoji117]nafundish kutengeneza batki[emoji117]nafundish kutegeneza jam [emoji117]kutengeneza...
0 Reactions
1 Replies
861 Views
Kupitia Jukwaa la Vijana kutoka kampuni ya mawasiliano yenye kasi zaidi nchini Tanzania, tunawaletea OFA kabambe ya #Pinduapindua yenye punguzo la mpaka asilimia 50 katika migahawa, saluni, hoteli...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Sold sold sold
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Nauza laptop Hp bei chee kabisa.. Laki na nusu tyuu.. Haddisk yake ni 300gb Ram 2gb Tatizo ni battery halikai na chaji bhac.. Kingine kila kitu kipo sawa.. Mawasiliano 0716026555 0685 436 107
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari. Najihusisha na biashara ya dagaa wa mwanza natafuta masoko katika mikoa ya kusini. Ambaye atataka kununua au anamjua mfanyabiashara atakayehitaji aje PM tuyapange
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Contact me now for effective design and desirable plus complicated plans. Tunafika site kwako tunachukua vipimo..halafu tunafanya kazi Karibu sana 0654919121 0758919121 0622060797 0683928358...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pata kuku broiler week 7 kwa7500 maeneo ya RUAHA karibu na chuo cha asukari morogoro #0759082811
0 Reactions
4 Replies
912 Views
Naitaji pickup single cabin ya mojawapo kati ya hizi zifuatazo 1. Nissan hardbody, 2. Toyota hilux 3. Toyota Landcruiser Sifa. - iwe kwenye hali nzuri - iwe na four wheels drive(4wd) Ofa. -...
0 Reactions
2 Replies
999 Views
Asante kwa walionisaidia.
0 Reactions
9 Replies
881 Views
Wanabodi, this for serious Car sellers. Nataka kununua gari, nina 4.5m/=. Specs :- Cc isizidi 2500 Milango 4 Petroli Boot iwe kubwa Zima halihitaji marekebisho.. Lisiwe limegongwa au kuchoka sana...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari,Mashine aina hiyo hapo chini kwenye picha inahitajika,kwa yoyote anaeiuza awasiliane nami kupitia namba hii 071-667-9229 ili biashara ifanyike.Napatikana Dar es salaam.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu Mteja, Ni matumaini yangu U mzima wa afya, Je unanyumba inayohtaji marekebisho au Boma la nyumba ambalo wapenda liwe nyumba bora kabisa au unatazamia kujenga upya nyumba bora na ya kisasa...
0 Reactions
0 Replies
678 Views
Viwanja vipo kibamba,kibaha nk mawasiliano 0717342414/0788492588
1 Reactions
28 Replies
11K Views
sikuhz kuna kampuni nyingi dar es salaam zinazojihusisha na mikopo tajwa hapo juu.ni nini kimefichika kwenye hizi kampuni.je,zimesajiliwa kwa shughuli hizo au ni utapeli mtupu wabongo wanalizwa?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom