Nianze Kwa kusema Kilimo ni Biashara kama zilivyobiashara nyingine, na hivyo Kilimo kinahitaji utaalamu kwani agriculture is purely science before we put business we must start with science ili...
Habari wapendwa!
Karibuni mashuka kutoka Pakistan. Set moja inakua na shuka mbili na foronya nne. Shuka hizi ni kingsize, 100% cotton, hayachuji wala kuweka vipele. Yanapatikana kwa rangi na maua...
Nilikuwa nataka nitengeneze website ya kutangaza bidhaa kama alibaba na zingine lakini napata changamoto ya kupata sasa majina yote ambayo nataka nitumie yameshatumika naomba mnisaidie nipate jina...
1. Pata blog kali kwa Tsh 15,000 tuu! Mf wa blog www.slaustec.com, www.unizoneafrica.com
2. Pata App ya blog kwa Tsh 10,000 tuu. Kuona mfano wa app search 'slaustec' Playstore!
3. Pata logo kama...
Wadau habar zenu. Mimi ni kijana wa miaka 24 naitwa Charles niko Arusha nimemaliza masomo ya veta mwaka wa 3 (2017) kwasasa nipo mtaani tu,
Natafuta fundi umeme wa magari niwe nafanya nae kaz...
Wanauzwa kuku vifaranga vya mwezi mmoja.kuku aina ya kuroiler wanauwezo mkubwa wa kutaga mayai pia niwazuri na watamu kwa nyama wnauzito mkubwa kuanzia kilo mbili nakuendelea ndani ya miezi mitatu...
Serikali imeahidi kutunga sheria kodi za nyumba zilipwe kwa kila mwezi badala ya mkupuo wa miezi 6 au mwaka. Hili ni jambo jema kwani litapunguza mzigo kwa wanyonge. Lakini pamoja na suala la kodi...
Wadau,
Natafuta UNLOCKED 4G LTE Mobile WiFi Hotspot Router , inaweza ikawa brand yoyote , Huawei, ZTE , TP-Link , haijalishi kikubwa bei iwe nafuu na ifanye kazi vizuri.
Kama unayo naomba...
Kwanza kabisa uwe na simu 2.
Ili kuweza kufanya survey ofisini kwako, nyumbani ama popote pale kwa kufuatilia shughuli zako ndani ya simu yako inakupasa kuset CCTV Camera katika eneo husika, ili...
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema.
Kwa wenye mahitaji ya uyoga mkavu na mbichi tutakufikishia popote ulipo (Dar pekee) kwa bei nafuu kabisa
Pia tunatoa mafunzo ya uzarishaji uyoga...
Wadau natafuta viwanja vya bei rahis mahali popote pale hata ikiwa vijijin ndani ndani haina shida,,,,. Anayejua wapi naweza kupata anisaidie
Tena nataka vile vya heka moja kwa 50,000 kama vipo...
Kama heading inavyosema.
.
samsung galaxy note 4 ina tatizo la display yaan ya kubadilisha,inaonesha giza tu tho haina crack.
.
HISTORY YA SIMU
-km Thread zangu zngne znavyoonesha hua nmejkita...
Awali ya yote sikutegemea kama kuna watu wana roho nzuri kiasi hiki
Member huyu amejitolea eneo zaidi ya heka 10 huko magonza tena bure kwa ajili ya watu kulima hvyo basi naomba tuungane vijana 7...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.