Nahitaji mashine ya tofali

Nahitaji mashine ya tofali

jashmoe32

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
1,099
Reaction score
438
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Nahitaji mashine (mashine ya bam bam) ya kufyatulia tofali za Inch 5 kwa gharama ya laki moja tu.

Iwe katika hali nzuri na ikiwa na vibao,itapendeza zaidi

Nipm namba yako kama unayo
 
Tukiwa tunaelekea kwenye nyumba za kuprint kwa teknolojia ya 3D we jamaa bado unawaza mashine ya Bam Bam.
Yajayo yanafurahisha. Je, upo tayari?
 
mkuu ntaendelea kusubiri na ndo mana tunasema subira huvuta heri
 
ikifika hatua ya wewe kuprint nyumba yako kwa teknolojia ya 3d nami nitakua nimeiacha hiyo mashine ya bam bam.
 
Nenda Mwenge opposite na efatha pale kuna mashine zipo znauzwa

Ova
 
bado sijanunua mkuu na ntatoa feedback once kila kitu kikiwa tayari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom