Nafasi ya kazi Dar, Arusha na Mwanza

Nafasi ya kazi Dar, Arusha na Mwanza

beauty in me

Senior Member
Joined
Dec 27, 2017
Posts
161
Reaction score
134
Wanahitajika maafisa mikopo mikoa ya Dar na Arusha

VIGEZO
Uwe na uwezo mzuri wa kuongea na kujieleza kwa kujiamini mbele za watu wengi.

ELIMU
Uwe umemaliza kidato cha nne

MSHAHARA
Tunalipa kutokana na kazi unayoifanya kuanzia 15,000 kwa siku.
Iwapo kila siku utaleta watu wawili tu utalipwa Tsh 30,000 papo hapo. Hivyo kwa siku tano unauwezo wa kutengeneza mpaka 150,000

Usiache fursa hii ikupite.

DM kwa maelezo zaidi.
 
Dah big deal me nipo tabora kama mtafika natabora basi unaweza kunicheck ila form 4 nimemaliza ila nina zero yabahat mbaya
Ninauzoefu wakuatack wateja so kwangu me litakuwa bonge la dili
 
Dah big deal me nipo tabora kama mtafika natabora basi unaweza kunicheck ila form 4 nimemaliza ila nina zero yabahat mbaya
Sawa tunaweza kukutumia kama wakala wetu huko pindi tutakaofungua branch huko hivi karibuni
 
Tatzo letu bwana! kuna baadhi ya kazi unaweza fanya hata kama una kazi, sasa kama hii si unafanya tu. Sema maelezo hayo ya DM si mazur better uweke hapa watu tuyachanganue vizuri
 
Tatzo letu bwana! kuna baadhi ya kazi unaweza fanya hata kama una kazi, sasa kama hii si unafanya tu. Sema maelezo hayo ya DM si mazur better uweke hapa watu tuyachanganue vizuri

Kila Tangazo njoo Dm sasa sijui wanafichaga nini
 
Walio interested mbona wameshanifata na wamepewa maelezo yote
 
Back
Top Bottom