Wadau nauza hi I tecno nna shida kidogo na pesa, na nnaiuza Tsh 50,000/-
Napatikana mwanza ... Nichek whatsapp 0746510577
Ina ram 1GB
ROM 8GB
Imetumika lakini ni kama mpyaa
Habari zenu wapendwa, kwa wale wenye matatizo ya ngozi ya uso mnakaribishwa mjifunze na mjipatie product kwa gharama nafuu.
Kwa wale ambao ngozi zao zimeathirika kwa kutumia vipodozi vyenye...
NAUZA MASHINE YA BISI, NIPO VINGUNGUTI, NI YANGU MWENYEWE C YA WIZI,
IMETUMIKA KWA MIEZI 5 TU.
BEI 250,000/=
PIGA- 0755803200/0658925969.
KARIBUNI.............
Specification:
Name: Popcorn...
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu! Nahitaji Kiwanja katika Kata ya Mzumbe wilaya ya Mvomero Mkoa wa Morogoro kwa ajili ya ujenzi wa makazi! Bei isiwe zaidi ya milioni moja na laki...
Habari.
Kama heading inavyo someka, nipo mwanza na nnahtaj kupata nyumba ambayo nitailipia pesa kidogo kidogo (Ya mkopo)..
Iwe ni ya kisasa zaidi ...
Nawasilisha
Mwenye uhitaji wa kulimiwa shamba lake kwa trekta tunatia huduma hiyo kwa makubaliano maalum yakitegemea eneo lilipo shamba,Karibu PM tuyajenge. #Punguzenkulialia
#Kamavyetivyakodiliwekakauntatuagize
Do you know swimming is the most handy skill? For health and survival swimming is a necessary toolkit! Bring your kid between 8 - 15 years old. Let them learn how to swim with us this holiday June...
Condition: Used
Copy printed: 19, 500 equal to 2 toners
Uwezo wa kuprint kwa toner moja: 10,000+
Consumable: One Black toner pre installed.
Interface: USB, Wired network,
other specs follow...
Habari wakuu nauza simu tajwa,hiz ni baadh tu ya sifa zake
Haina tatizo lolote,ni L8 Lte 5-Inch IPS (1GB Ram, 16GB ROM) Android 6.0 V, 8MP real camera+ 2MP front camera, ina support games zote...
Kampuni yetu iliyopo Dar inahitaji kuwa ISO Certified, kama kuna mdau humu anafanya kazi ya kusaidia kuandaa document tuwasiliane ili apewe kazi. Naona makampuni mengi yanayofanya kazi hii ni...
Habari!
Wanahitajika vijana wawili kwa ajili ya kufanya kazi ya masoko ya muda mfupi wa siku saba na malipo ni kwa siku
Elimu
Kuanzia kidato cha nne na kuendelea. Kujua kuongea Kiingereza kwa...
Asalaam
Tunauza maziwa fresh na mtindi. Tuko maeneo ya Tegeta na tunauwezo wa kukulete popote ulipo ili hali unaanza kununua Lita 5. Karibuni wote PM tuyajenge
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.