Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu hodi humu ndani! Nina Scania mende ambayo ipo sokoni inauzwa Details: Year: 2008 Brand: Scania Price: 71 million Capacity: 41Tones Contact: 0625568600
2 Reactions
34 Replies
22K Views
Tunafundisha wanafunzi wote kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita kwa masomo yote ya sayansi, Sanaa na biashara. Pia nafasi chache zipo kwa ajili ya wanafunzi wa shule ya msingi tupo kinondoni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Anahitajika mwalimu wa nursery anaeishi kahama. Anaemfahamu anichek PM
0 Reactions
0 Replies
765 Views
Milage 80000 Ac iko safi gari Haina shida yoyote Gari iko dsm.... Bei ya kuuza ni 9 Mln Kwa mawasiliano piga sim 0715591141 Ova
2 Reactions
17 Replies
8K Views
Wakuu habari za mida hii? Bila kuwachosha nina simu yangu aina ya Huawei ni Tablet inatatizo la spika pamoja na vitufe vya kuzimia na kuongezea sauti vimetoka. Fundi mzuri asiyekuwa mbabaishaji...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimeandaa heka tatu nahtaj nipande heka tatu za mihogo msimu huu was mvua Ni wapi nitapata soko zuri na la uhakika
0 Reactions
1 Replies
683 Views
Kama heading inavyosema, pickup stout namba yeyote ile rangi yeyote iwe inatembea au matengenezo kidogo Bajeti 4m 0716411720
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Please wapi napata soko la uyoga?
0 Reactions
0 Replies
3K Views
1. Camera set 4 na DVR yake na system nzima ni Tsh 900,000/- 2. Camera set 6 na DVR yake na system nzima ni Tsh 1,300,000/- 3. Camera set 8 na DVR yake na system nzima ni Tsh 1,900,000/- 4. Camera...
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Nataka modem ya universal, 4g, iwe inasupport window 2010 pia, wireless.
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Hiki ni moja ya kitabu ninachohangaika kukipata na mpaka sasa nimetumia wiki 4 bila ya matumaini yoyote. Nimezunguka Posta kwenye maduka makubwa makubwa sijafanikiwa kupata now nimeamua kukileta...
0 Reactions
1 Replies
501 Views
Hp probook Core i7 Hdd-1Tb Ram-8gb Processor-2.6ghz Graphic card-2gb Clean condition Price 950 negotiatable Nichek no 0659116111
0 Reactions
2 Replies
569 Views
Nahitaji screen protector ya iPad 2 apple model nipo Dar es salaam,,, Bainisha na gharama yake ,,,for more information: screen protector seller follow me PM
0 Reactions
0 Replies
645 Views
Wadau habari zenu, leo asubuhi nimeangusha earphones nyeupe zinatumia bluetooth kwenye gari ya kwenda tegeta kutokea kivukoni, aliyeziona jamani anisaidie kwani nazihitaji sana.
0 Reactions
9 Replies
891 Views
Nauza Switch za D-Link zipo mbili ya port 24 na yenye port 16 Mobile 0658175728
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Simu nimenunua miezi 2 iliopita/K/koo sh 315,000 ila naiuza kwa 295,000. haina tatizo lolote lile. 13MP camera 2GB RAM 16GB Internal 4G Network Original Charger Njoo PM kama unavutiwa.Asante.
0 Reactions
26 Replies
7K Views
Condition: New Price 320k
0 Reactions
4 Replies
969 Views
Kipo Toangoma mtaa wa Masaki ,sio mbali na stand kuu ya Toangoma na ni karibu na shule ya sekondari, ukubwa wa eneo ni futi 60 kwa 70. Hakina hati na bei yake ni tshs million Saba...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Maverick supplies ni kampuni inayojiendesha kwa uuzaji wa mayai ya kienyeji na kisasa. Kwa sasa, stock ya mayai ya kisasa ipo ya kutosha sana. Kwa mwenye mahitaji ya mayai hotelini, shuleni...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Back
Top Bottom