Hbr zunu ndg jamaa na malafiki
Kama nilivyo waelezea hapo juu
Ninamgodi wenye madini aina ya kopa nitafute simu namba 0621811970/0673673158
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashine Tatu Zinauzwa Zimeagizwa Toka Uk. Hazijatumika Tz Bado.
1. Canon Ir C 3200N
Hii ni Printer, Scanner na Photocopying Machine Yenye Uwezo wa Kutoa Copy za Rangi na za Black and white kwa...
Wadau ninalo eneo la madini ya kopa kama uonavyo kwenye picha hapo chini hilo nijiwe lililo toka katika eneo hilo. Mwenye uwezo anitafute kwa 0673673158.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aina ni IR 2022. Inaprint, kutoa kopi pande zote auto. Pia ina setting za scanner na fax, na mengine
Kwa mawaziliano 0714 839852
Bei ni 1.5m. Mashine ipa hapa dar. Kwa mkoani itasafirishwa ila...
Offer offer offer
Samsung s7 original earphones
Earphones kwa sasa zinapatikana katika mikoa mitatu DAR ES SALAAM, ARUSHA na DODOMA
Kwa mawasiliano zaid piga namba 0753063142...
Habari zenu wanajamvi.
Nahitaji msaada kwa yeyote anaye fahamu bei ya Kulangulisha vitunguu swaumu katika soko la Kariakoo-Dar.
Nipo Iringa nina vitunguu swaumu nataka kupeleka Dar.
Kama kuna mtu...
Habari wadau nimeletewa mzigo na rafiki yangu kutoka SA iPhone 6 ipo locked kwenye icloud sasa baada ya kuhangaika sana bila mafanikio kuifungua ninahitaji kuuza kama spare. kama kuna mtu...
kama heading inavyojieleza, Nauza LCD display+touch screen digitizer assembly for iphone 6, ni mpya kabisa nimeagiza nje online ila ikatokea kabla haijafika nikawa nimeuza simu, bei 130,000 tu.
Amiba ni ugonjwa gani?
ni ugojwa ambao husababishwa na bakteria aitwaye Ectamoeba Histolika ambaye huishi katika kinyesi cha mwanadamu. Ugonjwa huu huweza kuhathiri hadi uti wa mgongo pamoja na...
Habari wanajamii.. Nimeletewa simu aina ya BlackBerry curve Ni mpyaa ipo ndani ya box. Simu Ina kila kitu ndani charger na earphones zake na USB cable. Aliekua interested ataniambia number Ni...
Habari wana janvi natumain mu wazima wa afya.
Karibu tujifunze kutengeneza bidhaa zifuatazo kwa punguzo kubwa.[emoji617] la bei. Na mafunzo yote yatafanyika online kupitia whatsap...
Natangaza kuuza kiwanja changu chenye ukubwa wa hatua 20 upana na hatua 30 urefu,Kipo maeneo dumira morogoro barabara iendayo kilosa.Bei ni makubaliano.kiwanja kipo eneo zuri kwa makazi na...
Noah voxy inauzwa ipo katika hali nzuri ,matumiz yake ni cormecial ingawa plate namba zake hazijabadilishwa kuwa kibao cheupe na haijafanya biashara
gari inapatikana chikuyu dodoma
kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.