Husika na kichwa cha hapo juu nauza sm samsung s 5 imevunjika display kwa lugha nyepesi hakionyeshi kabisa ila ukipigiwa sm unaongea kama kawaida bei sh 75000 nipo dsm
0713091291
Habari wana Jf kama kichwa hapo juu nina Ipad ina icloud nahitaji mtu mwenye uwezo wa kuondoa hiyo icloud niko Mwanza, tafadhari kama upo nicheki tufanye kazi.
kama unaweza kutengeneza demo ya website ya dental clinic kwa kutumia wordpress na joomla.
Sample sites
Dentist in Bundoora | Bundoora Family Dental Clinic - Our Dental Clinic
The Periodontist...
Meza bei 500,000 Tsh ipo Mbezi Luis
Pazia nzito, mita 1.5, zipo piece 6 zinafanana na zingine piece 4 zinafanana. Bei 30,000 tsh piece moja
Zipo na bomba za pazia
SOLD SOLD SOLD
Tunapatikana kkoo msimbaz na China Plaza FL ya pili ukiagza tunakuletea ulipo mda wowote sisi ni huduma kwanza malipo baadae free delivery Pata Samsung led tv full hd
Inch 40"
Tsh 850000...
Habari zenu wanaJF,
Kwa mlioko Mwanza, nina boti ndogo ambayo hutumika kwa shughuli za uvuvi pale ziwa Victoria, niliachiwa urithi na baba. Sasa mkataba wa aliyekodisha mara ya kwanza umeisha na...
Habari za muda huu Waungwana.
Naitaji kujua kuhusu Kilo moja ya madini inakuwa na Gram ngapi?
Kwa yoyote mwenye kufahamu hilo anakaribishwa kuchangia.
CC, diaspora in town.
Wakuu nmepatwa na shida nauza TV yangu aina ya Tcl..
Nmeitumia mwezi mmoja tu..
Nmeirudisha ndani ya box lake
Bado mpyaa
Bei ni 1700,000
0713799522
Ina warranty na kila kitu chake
Haya wakuu...
Wapendwa watumiaji wa mtandao huu ninaomba kama kuna mtu anaye weza kunitengenezea website au anamfahamu mtu mwenye ujuzi huu tuwasiliane kwa E-mail davidkambanyuma@gmail.com
Habarini za saa hii wakuu..nina uhitaji wa chumba kimoja na seble.
Ningependa kiwe maeneo ya kuanzia kimara Kona hadi kimara mwisho. Au pia maeneo ya bara bara ya kwenda kwa mzee wa Upako kutokea...
wadau naitaji laptop yenye sifa hizi
HDD 500GB
Core i5
Graphics : Intel HD (4000+)
NA iweze kucheza games za kawaida kama PES 2017, FIFA na GTA San Andreas...
Iwe used but in good condition...
Habari wakuu,
Naomba kwa yoyote anayeweza kunipatia chainsaw ya kukodi kwa kipindi cha mwezi mmoja aje inbox. Ninaihitaji kwa haraka. Nimecheck hapo mtaa wa india wanaziuza 1.560.000.
Ninahitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.