Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwamahitaji yamilunda ya mlingoti na mlingo mahali popote Tanzania kutokea Njombe... 0625306720
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Husika na kichwa cha hapo juu nauza sm samsung s 5 imevunjika display kwa lugha nyepesi hakionyeshi kabisa ila ukipigiwa sm unaongea kama kawaida bei sh 75000 nipo dsm 0713091291
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wana Jf kama kichwa hapo juu nina Ipad ina icloud nahitaji mtu mwenye uwezo wa kuondoa hiyo icloud niko Mwanza, tafadhari kama upo nicheki tufanye kazi.
2 Reactions
22 Replies
2K Views
kama unaweza kutengeneza demo ya website ya dental clinic kwa kutumia wordpress na joomla. Sample sites Dentist in Bundoora | Bundoora Family Dental Clinic - Our Dental Clinic The Periodontist...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wanaJF Natafuta ile minazi mifupi au miti ifananayo na minazi mifupi ya kupanda kwenye garden. Mwenye nayo anipe bei na mawasiliano yake.
0 Reactions
4 Replies
907 Views
Meza bei 500,000 Tsh ipo Mbezi Luis Pazia nzito, mita 1.5, zipo piece 6 zinafanana na zingine piece 4 zinafanana. Bei 30,000 tsh piece moja Zipo na bomba za pazia SOLD SOLD SOLD
0 Reactions
11 Replies
10K Views
Tunapatikana kkoo msimbaz na China Plaza FL ya pili ukiagza tunakuletea ulipo mda wowote sisi ni huduma kwanza malipo baadae free delivery Pata Samsung led tv full hd Inch 40" Tsh 850000...
0 Reactions
0 Replies
760 Views
Zabuni ya kuandaa banda la kuku 1000 broiler Mwenye ujuzi elekezi wa kuandaa na gharama zake ajitokeze hapa sawa?
0 Reactions
3 Replies
967 Views
Habari zenu wanaJF, Kwa mlioko Mwanza, nina boti ndogo ambayo hutumika kwa shughuli za uvuvi pale ziwa Victoria, niliachiwa urithi na baba. Sasa mkataba wa aliyekodisha mara ya kwanza umeisha na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za muda huu Waungwana. Naitaji kujua kuhusu Kilo moja ya madini inakuwa na Gram ngapi? Kwa yoyote mwenye kufahamu hilo anakaribishwa kuchangia. CC, diaspora in town.
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Wakuu nmepatwa na shida nauza TV yangu aina ya Tcl.. Nmeitumia mwezi mmoja tu.. Nmeirudisha ndani ya box lake Bado mpyaa Bei ni 1700,000 0713799522 Ina warranty na kila kitu chake Haya wakuu...
0 Reactions
34 Replies
7K Views
Wapendwa watumiaji wa mtandao huu ninaomba kama kuna mtu anaye weza kunitengenezea website au anamfahamu mtu mwenye ujuzi huu tuwasiliane kwa E-mail davidkambanyuma@gmail.com
0 Reactions
2 Replies
618 Views
Tunaweka urembo katika frool kwa picha zaidi, ingia katika page yetu. Urembo wa nyumba.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habarini za saa hii wakuu..nina uhitaji wa chumba kimoja na seble. Ningependa kiwe maeneo ya kuanzia kimara Kona hadi kimara mwisho. Au pia maeneo ya bara bara ya kwenda kwa mzee wa Upako kutokea...
0 Reactions
0 Replies
823 Views
wadau naitaji laptop yenye sifa hizi HDD 500GB Core i5 Graphics : Intel HD (4000+) NA iweze kucheza games za kawaida kama PES 2017, FIFA na GTA San Andreas... Iwe used but in good condition...
0 Reactions
1 Replies
481 Views
Napatikana Dar es salaam... Kwan atakae hitaji nitafute namb 0766166483
1 Reactions
35 Replies
9K Views
  • Closed
Habari wakuu, Naomba kwa yoyote anayeweza kunipatia chainsaw ya kukodi kwa kipindi cha mwezi mmoja aje inbox. Ninaihitaji kwa haraka. Nimecheck hapo mtaa wa india wanaziuza 1.560.000. Ninahitaji...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ps3
Nahitaji playstation 3 kwa mwenye kuuza, ukiwa unauza basi reply kisha nitatuma contact zangu kwako.
0 Reactions
0 Replies
476 Views
Natafuta kabati kubwa la vioo kama yale wanayotumia kwenye duka la vipodozi karibu pm
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom