Kitabu cha When we ruled by Robin Walker

Kitabu cha When we ruled by Robin Walker

FAHAD KING

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2017
Posts
301
Reaction score
377
Hiki ni moja ya kitabu ninachohangaika kukipata na mpaka sasa nimetumia wiki 4 bila ya matumaini yoyote.

Nimezunguka Posta kwenye maduka makubwa makubwa sijafanikiwa kupata now nimeamua kukileta humu kwa mara ya pili kuomba msaada wenu

Kwa yoyote ambaye amafanikiwa kukiona mahali popote au duka lolote la vitabu analoliamini kwamba hakita weza kukosekana basi ni-consult mapema sana ili niweze kukisoma

Nilitaka kukisoma online sema App nilizoelekezwa unaweza download Sample tu na wala huwezi soma chote

Kwa mfano App ya Amazon Kindle ni App nzuri ya vitabu sema unasoma Sample tu hwezi soma chote

Ni moja ya kitabu kizuri sana kinachoelezea Origin ya watu weusi na East Africa au Africa kwa ujumla.Kinatoa hoja nzuri ambazo unaweza tumia kwenye mijadala mikubwa ya watu wenye hadhi zao aidha kwenye makongamano au siasa

Nime attach picha yake kama umekipenda mimi nawe tunaweza kuanza kukihangaikia kwa pamoja mpaka tutakapo kipata

Back from the point....

Nahitaji msaada kwa aidha duka nalo weza kukipata hapa DAR au mtu ambaye anavyo hasa vinavyoelezea Origin of Blacks

Asante

Halafu nimesahau Salam, Samahanini

Habari zenu Wakuu wa JF
5a8258d0b72467fae11d87bd30993f69.jpg
 
Back
Top Bottom