Fundi simu wa huawei tablet unahitajika

Fundi simu wa huawei tablet unahitajika

HaMachiach

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
3,450
Reaction score
6,211
Wakuu habari za mida hii?
Bila kuwachosha nina simu yangu aina ya Huawei ni Tablet inatatizo la spika pamoja na vitufe vya kuzimia na kuongezea sauti vimetoka.

Fundi mzuri asiyekuwa mbabaishaji ambaye anaweza tengeneza na asiwe na ahadi za njoo kesho mara keshokutwa nataka awe muwazi mimi niko Dar
IMG_20180128_181639.jpg
IMG_20180128_181627.jpg
IMG_20180128_181326.jpg
hiyo hapo
 
Masharti yako sasa maana fundi aweza kuwepo Arusha au Mbeya utafanyaje sasa
 
Back
Top Bottom