Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tour Itinerary of Marangu route 6Days on the mountain 2days Accommodation 5th-12th March 2018 DAY 1 - ARRIVAL DAY Our driver will pick you up at the airport and proceed to the hotel. Orientation...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Mashine nzuri(heavy duty) ya kutengeneza sharubati ya miwa inauzwa,imetumika kidogo sana(yaani ingekuwa inasoma kilomita basi haijafika hata 50km).Ipo Dodoma Bei 1.2M, ni PM kwa anayehitaji!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wakuu,nauza na kununua earth moving machines kwa kampuni mbalimbali mfano CATS,KUMATSU,JCB,etc... Used na New equipment itategemea unayohitaji. Tuwasiliane. 0625568600
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu,nauza na kununua earth moving machines kwa kampuni mbalimbali mfano CATS,KUMATSU,JCB,etc... Used na New equipment itategemea unayohitaji. Tuwasiliane. 0625568600
0 Reactions
0 Replies
738 Views
IPAD 2 status Model: Wi-Fi + cellular data (3G) Storage: 32GB Camera: It has facetime and front and back camera Device conditions : Excellent battery + works perfectly all time I used + fine...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Mwenye Noajh ansyetaka kuuza ajitokeze hapa.dalali hatakiwi.kabisa sawsawa?
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Ipo Dodoma bei ni nzuri pungufu kidogo tunaongea
0 Reactions
0 Replies
814 Views
Jamani naombeni kusaidiwa hiyo bajaji ntaipata wapi ? na kwa bei gani ?msaada wenu tafadhali
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Wakuu habari km inavyo jieleza hapo juu Samsung S2 Ina hitajika iwe katika hali nzuri
0 Reactions
0 Replies
370 Views
Pata visanduku vya huduma ya kwanza (First Aid Kits) na muongozo wa matumizi yake kwa bei nzuri zaidi kwako. Hizi zimetengenezwa hapa hapa Tanzania, Fahari yetu watanzania. Piga 0719326693 au...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Habari wakuu.Mwenye Dashboard au Mwenye Uwezo wa Kunisaidia Sehemu Nitaweza Kupata Dashboard Ya Mitsubish pajero.Zile Toleo ya Kwanza. BEI tutaelewana.
0 Reactions
5 Replies
989 Views
habari wana jf, simu tajwa hapo juu inauzwa kwa shillingi laki tano na nusu simu ina mwezi mmoja tangu inunuliwe ina chaja yake pamoja na Ear phone zake kwa mawasiliano 0625 576082 nipo Dar es...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni laptop nzuri na za kisasa kabisa za kutach kwa kidole na peni, Kama unavyoweza kuziona hapa chini. Bei yake ni tsh 250,000/= Pia tuna laptop za hp, toshiba, dell, lenovo n.k Kwa mawasiliano...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
lengo lakuhitaji campuni inahusika nauchimbaji wa copa ninalo eneo lenye madini hayo ila sina uwezo wakulichimba kwasaaa nimeona bora nitafute mwenye pesa tukae mezani tukubaliane ambae yuko...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
SABWOOFER with Radio station USB ,mmc port Bluetooth Tsh 300,000 0714417739 Tunapatikana kkoo msimbaz na China Plaza FL ya pili ukiagza tunakuletea ulipo mda wowote sisi ni huduma kwanza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
[emoji1428] *Iphone 7* Rosegold *32gb* Almost new *1,050,000/=TZS* _[emoji338]0786944493_
0 Reactions
1 Replies
806 Views
Ndg wadau, tunahitaji Eneo lenye ukubwa usio pungua heka 4-6 litazame Barabara kuu. Ikiwa halitazami barabara basi lisiwe umbali mrefu kutoka barabara kubwa kuingia ndani. 0766111212 piga no hii
1 Reactions
31 Replies
2K Views
Habari wana JF mm nauliza yeyote aliko anaejua bei ya computer aina ya APPLE MTUMBA NA MPYA anijuze na ile ya bei ya chini kabisa anisaidie nahitaji kupata hyo Mbarikiwe
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Chumba self na sebule inapangishwa maeneo ya Mikocheni B jirani na shule ya Academic. Kodi 180,000/= kwa mwezi na malipo ni kuanzia miezi sita. Mawasiliano: 0744218415 Mmiliki sio Dalali..
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Salamu wakuu, Corolla,Cardina au mark two.Cylinder 4. iwe manual na number isiwe A inahitajika. Bajeti ni haizidi 3mln!!
0 Reactions
4 Replies
825 Views
Back
Top Bottom