Nahitaji smartphone bajeti yangu 150000.

Nahitaji smartphone bajeti yangu 150000.

Baraka sheni

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2015
Posts
473
Reaction score
198
Habari za kutwa mwana jf kama kichwa cha habari kinavyo sema nahitaji smartphone ila bajeti yangu ni hiyo niliyo itaja.
Cm inatakiwa iwe na kamera yenye uwezo mkubwa pia iwe na uwezo wa kuhifadhi vitu.
ANATAKIWA IWE NA UWEZO WA KUTUNZA CHAJI KWA MDA MREFU. KAMA UNAYO KARIBU PM TUZUNGUMZE
 
IPO j8 Ila 170k ukiongeza nisake 0625533419 ni Kali hatari
Kasema nenda pm, halafu pia hii bei yako watu watakuja kukwambia w5 ina fingerprint na kamera nzuri na siyo 170
 
Kasema nenda pm, halafu pia hii bei yako watu watakuja kukwambia w5 ina fingerprint na kamera nzuri na siyo 170
we unazani j8 na w5 zibafanana zipo tofauti na kila moja INA bei yake na j8 IPO juu
 
Zingatia pesa iliyopo ni 150000 kabla huja comment chochote.
 
ram 2gb

memory 16

camera 13gb
Nafikiri umemaanisha camera 13mp siyo gb.

J8 imeipita w5 ram tu.

Memory ziko sawa.

Camera ziko sawa mbele na nyuma, ila kamera siyo namba ni uwezo. 13mp ya tecno j8 ni ndogo kwa tecno w5, picha za gizani za w5 zina ubora mkubwa kuliko j8, picha za nje mchana zina edge na natural beauty nzuri kuliko j8.

W5 imeipita j8 kwenye Android version, wakati j8 ina 5, w5 ina 6.

W5 ina fingerprint sensor, j8 haina.

J8 ni ya kizamani w5 imechukua cutting zote za simu za miaka hii.

Pia, humu kuna uzi special wa wauza simu, j8 kuna mtu alikua anaiuza 130.

Kwa bei yako labda umkamate mnyasa
 
Nafikiri umemaanisha camera 13mp siyo gb.

J8 imeipita w5 ram tu.

Memory ziko sawa.

Camera ziko sawa mbele na nyuma, ila kamera siyo namba ni uwezo. 13mp ya tecno j8 ni ndogo kwa tecno w5, picha za gizani za w5 zina ubora mkubwa kuliko j8, picha za nje mchana zina edge na natural beauty nzuri kuliko j8.

W5 imeipita j8 kwenye Android version, wakati j8 ina 5, w5 ina 6.

W5 ina fingerprint sensor, j8 haina.

J8 ni ya kizamani w5 imechukua cutting zote za simu za miaka hii.

Pia, humu kuna uzi special wa wauza simu, j8 kuna mtu alikua anaiuza 130.

Kwa bei yako labda umkamate mnyasa
Seems unajua unachokifanya ...
Well xplained
 
Back
Top Bottom