Nahitaji nyumba ya kupanga Mwanza

Nahitaji nyumba ya kupanga Mwanza

Ninaweza

Platinum Member
Joined
Dec 14, 2010
Posts
14,885
Reaction score
10,563
Iwe na :-
- inajitegemea umeme na maji (visiwe vya ku share).
- vyumba vya kulala 3 au zaidi.
- iwe mahala popote ambapo napanda gari moja kuelekea Ghana (pasiwe usahilini)
- ujirani mwema.
- iwe sehemu ambapo gari linafika.
Budget yangu ni sh. 2,500,000/= kwa mwaka.
 
Iwe na :-
- inajitegemea umeme na maji (visiwe vya ku share).
- vyumba vya kulala 3 au zaidi.
- iwe mahala popote ambapo napanda gari moja kuelekea Ghana (pasiwe usahilini)
- ujirani mwema.
- iwe sehemu ambapo gari linafika.
Budget yangu ni sh. 2,500,000/= kwa mwaka.
Maeneo mazuri anzia buhongwa Mkolani, na nyegezi stand kwa nyuma ( nyamazobe) mpaka nyegezi corner kuna nyumba nzuri sana na bei poa.
Gari moja mpaka Ghana.
 
Maeneo mazuri anzia buhongwa Mkolani, na nyegezi stand kwa nyuma ( nyamazobe) mpaka nyegezi corner kuna nyumba nzuri sana na bei poa.
Gari moja mpaka Ghana.
Nazipataje mkuu.
 
Back
Top Bottom