Iwe na :-
- inajitegemea umeme na maji (visiwe vya ku share).
- vyumba vya kulala 3 au zaidi.
- iwe mahala popote ambapo napanda gari moja kuelekea Ghana (pasiwe usahilini)
- ujirani mwema.
- iwe sehemu ambapo gari linafika.
Budget yangu ni sh. 2,500,000/= kwa mwaka.
- inajitegemea umeme na maji (visiwe vya ku share).
- vyumba vya kulala 3 au zaidi.
- iwe mahala popote ambapo napanda gari moja kuelekea Ghana (pasiwe usahilini)
- ujirani mwema.
- iwe sehemu ambapo gari linafika.
Budget yangu ni sh. 2,500,000/= kwa mwaka.