Tayo zeboss
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 467
- 196
nimejaribu kuuza kwa njia ya mnada kupitia hii link Samsung galaxy mega GT-I9200 kwa kiasi chochote cha pesa ulicho nacho!! ila naona watu wanaogopa kutaja dau zao, na waliotaja kama hawapo serious vile.. kwaiyo nimeamua kuuza tu kwa njia ya kawaida.
sifa za simu husika
picha zake halisi hizi hapa
bei 300,000/= unapewa chaji yake original na earphone zake origanal, ila kama umepungukiwa kidogo usiogope kusema.
location: dar es salaam
call: 0752362207
email mathayomtakatifutz@gmail.com
NB: unaruhusiwa kuikagua kadri uwezavyo hadi pale utakapo jiridhisha ndio tunafanya biashara.
karibuni sana.
sifa za simu husika
picha zake halisi hizi hapa
bei 300,000/= unapewa chaji yake original na earphone zake origanal, ila kama umepungukiwa kidogo usiogope kusema.
location: dar es salaam
call: 0752362207
email mathayomtakatifutz@gmail.com
NB: unaruhusiwa kuikagua kadri uwezavyo hadi pale utakapo jiridhisha ndio tunafanya biashara.
karibuni sana.