samsung galaxy mega 300k tu

samsung galaxy mega 300k tu

Tayo zeboss

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
467
Reaction score
196
nimejaribu kuuza kwa njia ya mnada kupitia hii link Samsung galaxy mega GT-I9200 kwa kiasi chochote cha pesa ulicho nacho!! ila naona watu wanaogopa kutaja dau zao, na waliotaja kama hawapo serious vile.. kwaiyo nimeamua kuuza tu kwa njia ya kawaida.

sifa za simu husika
5dbaf663f63cdf70b76f2a4945098310.jpg


picha zake halisi hizi hapa
5c673cec9f9d70d178e051a8d5d42434.jpg
45f7a5b6a387ecc4e3555d97061dad04.jpg
b2c6ed3033854217eea5375619b8f610.jpg
e84fbd135bce1df22bbd0649a4f08a7e.jpg
5bc313d4c411f6fa43da90c67df4addd.jpg
358bf8a1336e01c6621f3912a032ce55.jpg


bei 300,000/= unapewa chaji yake original na earphone zake origanal, ila kama umepungukiwa kidogo usiogope kusema.

location: dar es salaam
call: 0752362207
email mathayomtakatifutz@gmail.com

NB: unaruhusiwa kuikagua kadri uwezavyo hadi pale utakapo jiridhisha ndio tunafanya biashara.

karibuni sana.
 
Hivi kwanini mtu anunue simu used kama hiyo wakati sokoni mpya zipo na bei chee? Nikiwa na 300000 nikaingia Jumia online shopping wananiletea hadi nyumbani simu kali hadi mlangoni.
 
Hivi kwanini mtu anunue simu used kama hiyo wakati sokoni mpya zipo na bei chee? Nikiwa na 300000 nikaingia Jumia online shopping wananiletea hadi nyumbani simu kali hadi mlangoni.
(1)mkuu ndio mana nikasema kama umepungukiwa usiogope kusema

(2)bei ya samsung galaxy mega dukani unaijua vzuri?
 
kwa specifications za hiyo simu na muda ulioitumia ukimpata wa 100k pokea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom