Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau nauza suzuki swift ikiwa katika hali nzuri sana gari ina ac inayofanya kazi zr...baridi kama uko urusi engine haijawahi kufunguliwa automatic gear milango mitano km 121,300 haijawahi kupata...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
Nauza samsung galaxy j7 prime simu sawa na mpya cjaitumia sanaa.. Internal storage yake ni 32 gb. Ipo poa kila kitu.. Bei 400000.. Finger print sensor pia ipo vizuri kabisa Nichek kwa izi namba...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tunazo bakery machines kuanzia tray moja mpaka tray nne za umeme na za gase Tunapatikana kkoo msimbaz na China Plaza FL ya pili ukiagza tunakuletea ulipo mda wowote sisi ni huduma kwanza malipo...
0 Reactions
17 Replies
8K Views
Paua na jmk royal services Agent wamabati ya sunshare(agent noA-002)VIP,quansheing,Anxifa bati kwa price list ya kiwanda. huduma tutoazo kwa wateja wetu. -Bati za aina zote kwa price list ya...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Thread is closed, Stock is over. Thank you
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Wadau, nahitaji kioo cha vodafone 3G tablet. Nitapata wapi na kwa bei gani?
0 Reactions
0 Replies
831 Views
Nauza samsung j7 prime simu sawa na mpya cjaitumia sanaa Internal storage 32 gb Ipo poa kila kitu.. Finger print ipo safi pia. Bei 400000 tyuu. Nichek kwa izi namba 0716026555 na 0685 436 107
0 Reactions
0 Replies
2K Views
*Mzigo una mwezi tokea niununue, ni toleo jipya kabisa la Tecno Mobile *sababu za kuuza ni matatizo yangu binafsi *rangi yake_ blue_ flat shape *finger touch sensor *bila kusahau receipt na...
1 Reactions
24 Replies
7K Views
Ni kubwa na nzuri ila ina tatizo dogo tu haizunguuuki,,,, bei ef 20, kwa atakae hitaji? Nitafute namb hii: 0766166483. Nipo Dar es salaam
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Nahitaji mayai ya kwele,muuzaji anidm ccontacts
0 Reactions
4 Replies
856 Views
Eneo la kufugia lenye banda kubwa la design ya mabanzi na mabati,umeme wa solar na Maji ya kupump tayari kwenye tank la 5000ltr lipo tayari kwa kukodishwa kwa kodi ya 350,000 kwa mwezi au kuuzwa...
0 Reactions
1 Replies
827 Views
Kwa anayefahamu bei ya kawaida ya kuku Aina hii.
0 Reactions
0 Replies
924 Views
Kwa wale wanaopenda kuku nina majogoo saba machotara nawauza kila mmoja 25000 niko kibamba kwa mangi wanafaa kwa kuliwa a kufugwa wana kilo mbili na nusu kila mmoja karibuni 0765114158
0 Reactions
0 Replies
563 Views
Habari zenu waungwana natafuta mteja wa karafuu zinapatika kwa wingi kama unaitaji ni pm
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ilianza kama majaribio, Ila watu wameipokea vizuri. Biashara Network ina dalili za kuwa mtandao mkubwa Tanzania Unaokutanisha watu, Biashara na Wateja pamoja, Kujifunza na kushiriki vitu...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Nipo Dar,Kariakoo Pc iwe ni ya 200,000 tu Vigezo ni kuanzia 2gbRam kwa 300gb na kuendelea... Wasiliana nami sasa hivi 0753093869 nanunua mda hu wala sio kesho.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Iwe haina tatizo lolote.. nipo iringa na dodoma
0 Reactions
0 Replies
879 Views
UPCOMING EXAMS: Now available 1 May – 30 June 2017 Early registration deadline: 28 February 2017 Be recognized among the most-qualified and sought-after IS audit, control and security...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Imeshapangishwa
4 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom