Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wanabodi! Husika na kichwa cha habari hapo juu,sisi ni wataalamu wa (DIGITAL MARKETING)kama wewe ni mfanyabiashara na unataka kutanganza biashara yako ili kuwafikikia wateja wako wengi...
0 Reactions
6 Replies
932 Views
kama heading inavyo hitaji. Inahitajika hiyo betri ya HTC Disire 320
0 Reactions
0 Replies
739 Views
Nahitaji jenereta dago wadau,kwa wale wanaojua hii kitu naomba mniambie niandae bei gani nataka dogo sio kubwa
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba msaada wa mawasiliano kwa yoyote anayefahamu AZAM TV Dealer/Installer - Maeneo ya Tegeta/Bunju. Caller centre number ya AZAM TV ni AIBU!!!!!!!!
0 Reactions
1 Replies
3K Views
ALL IN ONE PRINT Copy Scan Black and white Tunapatikana Kkoo msimbaz daresalaam na China Plaza floor ya pili daresalaam pia mobile shop tunakufukia mpaka home hata mikoani tunawafikia agiza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ukienda katika magenge na masoko yetu, unakuta vitu kama matunda vinauzwa bila kuwa vimesafishwa. Unakuta maembe yana udongo wa shambani, ndizi chafu, nk. Kwa muda mrefu nimekuwa sielewi, ni...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari za siku wana JF, kwa yeyote anayeuza Laptop ya apple iwe kuanzia late 15 na kuendelea, size ya screen iwe 13" na kuendelea. Nawasilisha
0 Reactions
0 Replies
649 Views
Mtu huwezi kufanya kila kitu, so kuna kazi zingine zikija napenda Ku share na Watu... Wanyama wafuatao wanahitajika nje ya nchi, wakiwa Hai... Cows Goats Sheep Lamb Veal Buyer yupo South...
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Gari mojawapo Kati ya RAV 4 old short chases bajeti 3.5m-4m RAV 4 MILANGO MITANO bajeti 4m-5m Mojawapo inahitajika, namba yeyote Ila ziwe na Hali nzuri Simu 0716411720
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ipo Kinondoni barabara ya kutoka posta kwenda makumbusho. Ni ya nne kutoka barabara kuu ( barabara ya mwendo kasi) upande wa kushoto ukitokea makumbusho. Ni kubwa ndani na inafasi ya kutosha kwa...
0 Reactions
0 Replies
669 Views
Ninauza Camera mpya aina ya CANON yenye uwezo wa kuchukua picha kama video pia. Aina:CANON PowerShot Model: ELPH 330HS 10X OPTICAL ZOOM FULL HD WiFi Bei...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wanajamii natoa elimu jinsi ya kutumia platform mbali mbali ambazo zinahusika na uwekezaji ununuaaji na uuzaji wa digital currency (cryto currency) example Ripple ,Cardano,Etherium...
1 Reactions
0 Replies
704 Views
**STOCK ILIYOPO LEO** Used Lenovo Thinkpad T420(Black in color), Processor intel core i5-2520M,Ram 4Gb,Hard Drive 320Gb,webcamera,screen size 14",Bluetooth,Finger print reader,sd card reader,Dvd...
1 Reactions
2 Replies
871 Views
MAISHA HATIMAYE .....MBEYA 2018 Karibu usikilize na kuona Matangazo mubashara ya mahubiri ya maisha hatimaye yalioanza kuanzia tarehe 10/02/2018 hadi 03/03/2018 kutokea jiji LA Mbeya...
4 Reactions
24 Replies
11K Views
Mambo vp members! Mwenye Toyota Voltz nyeusi au dark blue,,ya kuanzia 2003,,automatic transmission namba za hiv karibuni au mpya anichek 0714013718
0 Reactions
2 Replies
1K Views
iwe na hali nzuri nitumie bei na pic kwenye WhatsApp 0752505719
0 Reactions
0 Replies
501 Views
Anayeuza min laptop yenye specifications zilizosimama aje tuyajenge, pesa nimeweka mfuko wa shati. Case closed: Nawashukuru kwa ushirikiano wenu wakuu
1 Reactions
2 Replies
720 Views
HABARI WADAU...... TUNAUZA MATUNDA ASILIA YA STRAWBERRIES KUTOKA MOROGORO, BEI NI SH 6000 KWA PACKAGE, TUNATUMA NA NJE YA MKOA PIA, TUPO MOROGORO KIHONDA, WASILIANA NASI KWA NO: 0621140005/0653207307
2 Reactions
8 Replies
4K Views
Nahitaji chumba kimoja chenye choo ndani(self),kiwe getini,umeme wakujitegemea/Kama wakuchangia isizidi watu wawili. Ulinzi uwe wa uhakika. Bajeti yangu 100,000.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu nauza simu ainavya tecno w3 kwa shilingi80000 simu bado ipo kwenye hali nzuri haina tatizo aliye tayari ani pm
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom