Ile laptop yangu mliyo shindwa bei sasa naiuza laki 1 na 90 tu nicheki WhatsApp 0766283352
Specification
HDD 100GB
RAM 2GB
Processor: Intel duo core
Window: 7ultimate
Habari wakuu,
Shamba linauzwa hekari 3 liko maeneo ya Mkuranga Kiparanganda karibu na njia kuu ya Kilwa road.
BEI 2.5M Kwa heka 1
N.B Picha sina,ni dharura kuna mtu kapata shida.Asantheni .
Naitaji dishi na decorder yake campany ya AZAM nipo mwanza hata used nachukua ili mradi iwe poa ktk shughuli zangu za kuonesha mpira bei chip
0753358283
Wadada wa mjini na vitongoji vyake,just come and share the taste of hot water in massaging!!
Ni mobile Massage popote ulipo ndani ya Dsm...Massage ya Kitaiwan na Indonesia,inayoamsha misuli ya...
Kwanza nianze kwa kuwapa pole na hongera kwa kuakikisha mipango na malengo mlionayo yanatimia yaani point of focus.
Baada ya kukaa kwa muda mrefu na kufanya utafiti wa hapa na pale nimekaa...
Banana Kitunda, Matembele ya kwanza kabla ya kuvuka Reli. 2.3kms toka Banana. 4.8kms from airport. 14.2kms toka City Centre.
Master Bedroom/Chumba cha Mgeni/Spacious Living Room/Public...
Nina mtaji wa milioni 15 pamoja na kiwanja cha 40 × 40 nahitaji mtu anijengee nyumba yeye sifa zifuatao,
Vyumba vitatu pamoja na master moja
jiko
public toilet
store
dining.
Hakikisha nyumba...
Habari wanabodi!
Husika na kichwa cha habari hapo juu,sisi ni wataalamu wa (DIGITAL MARKETING)kama wewe ni mfanyabiashara na unataka kutanganza biashara yako ili kuwafikikia wateja wako wengi...
ALL IN ONE
PRINT
Copy
Scan
Black and white
Tunapatikana Kkoo msimbaz daresalaam na China Plaza floor ya pili daresalaam pia mobile shop tunakufukia mpaka home hata mikoani tunawafikia agiza...
Ukienda katika magenge na masoko yetu, unakuta vitu kama matunda vinauzwa bila kuwa vimesafishwa. Unakuta maembe yana udongo wa shambani, ndizi chafu, nk. Kwa muda mrefu nimekuwa sielewi, ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.