Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ile laptop yangu mliyo shindwa bei sasa naiuza laki 1 na 90 tu nicheki WhatsApp 0766283352 Specification HDD 100GB RAM 2GB Processor: Intel duo core Window: 7ultimate
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wandugu Nyumba na kiwanja cha 20 kwa 20 kinauzwa mbezi msumi Dar es salaam kwa 13millioni. Karibuni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu, Shamba linauzwa hekari 3 liko maeneo ya Mkuranga Kiparanganda karibu na njia kuu ya Kilwa road. BEI 2.5M Kwa heka 1 N.B Picha sina,ni dharura kuna mtu kapata shida.Asantheni .
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naitaji dishi na decorder yake campany ya AZAM nipo mwanza hata used nachukua ili mradi iwe poa ktk shughuli zangu za kuonesha mpira bei chip 0753358283
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadada wa mjini na vitongoji vyake,just come and share the taste of hot water in massaging!! Ni mobile Massage popote ulipo ndani ya Dsm...Massage ya Kitaiwan na Indonesia,inayoamsha misuli ya...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Kwanza nianze kwa kuwapa pole na hongera kwa kuakikisha mipango na malengo mlionayo yanatimia yaani point of focus. Baada ya kukaa kwa muda mrefu na kufanya utafiti wa hapa na pale nimekaa...
2 Reactions
55 Replies
7K Views
Banana Kitunda, Matembele ya kwanza kabla ya kuvuka Reli. 2.3kms toka Banana. 4.8kms from airport. 14.2kms toka City Centre. Master Bedroom/Chumba cha Mgeni/Spacious Living Room/Public...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Msaada wenu mwenye nayo anijulishe
0 Reactions
2 Replies
758 Views
ipo Arusha PM me.
0 Reactions
0 Replies
531 Views
Nina mtaji wa milioni 15 pamoja na kiwanja cha 40 × 40 nahitaji mtu anijengee nyumba yeye sifa zifuatao, Vyumba vitatu pamoja na master moja jiko public toilet store dining. Hakikisha nyumba...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Bei 280000. Imetumika mwezi mmoja. Risiti zote zipo + original charger na earphone Bado Ina warranty Miezi 11 Imebaki 0753716279
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Apple Iphone 7 Plus 256GB Unlocked For Sale Whatsapp:: +254714133705
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Newly condition Apple iPhone 5s storage 32gb gold plated full box with all accessories *Bei /Price Tsh.420,000 call/text 0717251751 or 0788727929
1 Reactions
3 Replies
973 Views
iko katika hali nzuri, professional refurbished. model:iphone 5s, memory:16GB, color:black, bei TZS: 395000 . whatsapp no:0752298666
0 Reactions
2 Replies
860 Views
Habari wanabodi! Husika na kichwa cha habari hapo juu,sisi ni wataalamu wa (DIGITAL MARKETING)kama wewe ni mfanyabiashara na unataka kutanganza biashara yako ili kuwafikikia wateja wako wengi...
0 Reactions
6 Replies
932 Views
kama heading inavyo hitaji. Inahitajika hiyo betri ya HTC Disire 320
0 Reactions
0 Replies
739 Views
Nahitaji jenereta dago wadau,kwa wale wanaojua hii kitu naomba mniambie niandae bei gani nataka dogo sio kubwa
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba msaada wa mawasiliano kwa yoyote anayefahamu AZAM TV Dealer/Installer - Maeneo ya Tegeta/Bunju. Caller centre number ya AZAM TV ni AIBU!!!!!!!!
0 Reactions
1 Replies
3K Views
ALL IN ONE PRINT Copy Scan Black and white Tunapatikana Kkoo msimbaz daresalaam na China Plaza floor ya pili daresalaam pia mobile shop tunakufukia mpaka home hata mikoani tunawafikia agiza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ukienda katika magenge na masoko yetu, unakuta vitu kama matunda vinauzwa bila kuwa vimesafishwa. Unakuta maembe yana udongo wa shambani, ndizi chafu, nk. Kwa muda mrefu nimekuwa sielewi, ni...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Back
Top Bottom