Mzigo huo hapa nimepunguza tsh 280K nakupa mzigo
*nimeweka games nzuri action pamoja na racing
Hard disk bado nyeupe ikiwa na GB 150
RAM 2GB
Processor:Intel duo core
Farm for Lease
A 2.5 hectare brick fenced farm at Madale Kisauke in Dar is for Lease.
The farm has a chicken house that is fully equipped with water drinkers. It can accommodate up to 10,000...
DELL OPTLEX 755 inauzwa.
SPECIFICATION:
HDD 250GB
RAM 2GB
DVD R/RW
WINDOWS 8.1 PRO
64 BIT OPERATING SYSTEM TYPE
PROCESSOR: CORE 2 DUO CPU 2.33 GHz
price 220,000/=
negotiable; Yes
contact...
Tunachora ramani za nyumba aina zote.
Tunatoa ushauri wa ujenzi nk.
Pia tutakupa gharama zote za ujenzi wa nyumba yako.
karibu sana.
0654919121
0658919121
laptop aina ya hp inauzwa ipo katika hali nzur .sababu ya kuuza ni kupungukiwa hela ya ada ya mtoto
hard disk 500gb
ram 2gb
mawasiliano 0692 477 837 na 0678 647 444
laptop ipo dodoma walio...
Kifaa hiki kinakwambia kama gari yako ina tatizo lolote.
Je gari yako inakunywa sana mafuta ? Tumia kifaa kujua nini inasababisha tatizo hilo ili uwe unajua tatizo kabla ya kwenda kwa fundi...
Hometheater aina ya Sonny. Ni ndogo tu ya watt kati ya 300 _500. Ina muda zaidibya miaka mi3. Na haikuwah sumbua. Ila siku 2 hizi imenigomea. NIKIIWASHA INAISHIA KWENYE "HELLO" haimalizi na...
Shamba lenye uzio la ukubwa wa heka 2.5, lipo Dar - Madale - Kisauke likiwa na mabanda ya kufugia kuku yaliyokamilika kwa vifaa vyote kwa kuku wanaoweza kufikia elfu kumi linakodishwa. Eneo ni...
Ndugu wadau,
Hii ni maalumu kwa wale wanaotengeneza vyakula vya mifugo walioko Dsm,natafuta Mteja Wa lake shells(magamba ya konokono) njoo na bei yako kwa kg.
Kwa wale wenye kuhitaji viwanja kwa ajili ya makazi maeneo ya Makabe,Msakuzi na Goba Mpakani tuwasiliane ili uweze kusaidiwa.
Viwanja vipo sehemu nzuri,yalikuwa ni mashamba sasa vimekatwa viwanja...
Ni mashine ya kutengenezea pipi za pamba kwa AJILI ya watoto.
Inafaa kuwekwa mashuleni,kwenye matamasha au sherehe ambazo kuna watoto.
Matumizi take ni rahisi sana na INA leta faida nzuri tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.