Wadau nauza vitu vifuatavyo:-
mashine ya selcom=300,000
camera nikon D3200=600,000
epson printer L800=600,00
line ya uwakala tigo pesa 150,000
airtel money 50,000
Ushauri: Ukichua vyote hivyo ni...
Tuongee biashara. Nina nakala 500+ za kitabu cha SHUSHUSHU ambacho kwa sasa ni hot cake. Nahitaji mnunuzi wa jumla. Bei maelewano. Anayehitaji tuwasiliane kwa baruapepe hii evarist [@] hushmail.com
TUNAENDELEA KUKUEPUSHA NA MAJAMBAZI NA PIA KADHIA YA KUPOTEZA MUDA WA KWENDA DUKANI
Kuanzia kesho, utaweza kujipatia bidhaa hii kupitia www.builders.co.tz.
HAUNA HAJA YA KUTEMBEA NA PESA...
Wakuu natanguliza shukurani,
Natafuta madodoki,yalipo,yanapouzwa au yanapoweza kupandwa na kukua kwa wingi nchini Tanzania.
Natanguliza shukurani,niko njiani kukimbia umasikini.
TMK.
Kama kichwa kinavyo jieleza, naomba kujua bei ya mkaa kwa dar es salaam, kuna junia 40 zipo zipo tuu nahitaji kuzisafirisha kwenda Dar,, pia naomba kujuzwa bei ya mbao yenye urefu wa futi 10 aina...
Shemeji yangu amepatwa na maafa jana baada ya kuibiwa gari na mfanyakazi wa nyumbani ambae hana wiki akitokea kwenye makampuni yanayotoa wafanyakazi wa nyumbani..
Tuwe makini wapendwa. Popote...
Habari wakuu.
Kama wewe ni mkulima wa mioja ya mazao tajwa hapo juu, tutumie yafuatayo kwa whatsap ya namba 0713-039875:
1.Picha ya mazao
2.Uwezo wako wa kuzalisha kwa mwaka
3.Jina lako
4.Bei ya...
Habari zenu wadau?
Nahitaji kununua banana crips kwa wingi.
Nahitaji mtu anayetengeneza,sio muuzaji,ili nipate bei nzuri.
Zinahitajika Arusha town.
Njoo PM kama unazo banana crips.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.