Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau nauza vitu vifuatavyo:- mashine ya selcom=300,000 camera nikon D3200=600,000 epson printer L800=600,00 line ya uwakala tigo pesa 150,000 airtel money 50,000 Ushauri: Ukichua vyote hivyo ni...
2 Reactions
31 Replies
6K Views
Tuongee biashara. Nina nakala 500+ za kitabu cha SHUSHUSHU ambacho kwa sasa ni hot cake. Nahitaji mnunuzi wa jumla. Bei maelewano. Anayehitaji tuwasiliane kwa baruapepe hii evarist [@] hushmail.com
0 Reactions
3 Replies
777 Views
Inauzwa bei maelewano nicheck kwa 0623385920.nipo dsm
0 Reactions
2 Replies
868 Views
Karibu, twense na EPE YOUTH Group
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Ist namba D nzuri sana Full vibal full ac Cc 1290 2nz vvti engen Model 2005 Odo 85,5123 Bei 8.7m neg Call 0718017711
1 Reactions
14 Replies
3K Views
TUNAENDELEA KUKUEPUSHA NA MAJAMBAZI NA PIA KADHIA YA KUPOTEZA MUDA WA KWENDA DUKANI Kuanzia kesho, utaweza kujipatia bidhaa hii kupitia www.builders.co.tz. HAUNA HAJA YA KUTEMBEA NA PESA...
0 Reactions
0 Replies
529 Views
Lite haice nzuri sana Full vibal full ac Haijapigwa rangi popote pale Engen 5k Bei 12.2m maongez Piga 0718017711
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakuu natanguliza shukurani, Natafuta madodoki,yalipo,yanapouzwa au yanapoweza kupandwa na kukua kwa wingi nchini Tanzania. Natanguliza shukurani,niko njiani kukimbia umasikini. TMK.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
kama una laptop used ninakama 150000/=Tzsh (laki na nusu) nipo tabora njoo pm ka mawsiliano zaidi
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nahitaji mizizi na majani ya mbamia, kwa wale waleo lima bamia dar es salaam au maeneono ya karibu na dar naomba wanisaidie hilo
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama kichwa kinavyo jieleza, naomba kujua bei ya mkaa kwa dar es salaam, kuna junia 40 zipo zipo tuu nahitaji kuzisafirisha kwenda Dar,, pia naomba kujuzwa bei ya mbao yenye urefu wa futi 10 aina...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Shemeji yangu amepatwa na maafa jana baada ya kuibiwa gari na mfanyakazi wa nyumbani ambae hana wiki akitokea kwenye makampuni yanayotoa wafanyakazi wa nyumbani.. Tuwe makini wapendwa. Popote...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Hbr wakuu, mwenye bidhaa hiyo (new/used) diesel/petrol njoo tudanye biashara
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu. Kama wewe ni mkulima wa mioja ya mazao tajwa hapo juu, tutumie yafuatayo kwa whatsap ya namba 0713-039875: 1.Picha ya mazao 2.Uwezo wako wa kuzalisha kwa mwaka 3.Jina lako 4.Bei ya...
1 Reactions
1 Replies
941 Views
Yeyote mwenye sim hiyo used in a good condition aje pm
0 Reactions
1 Replies
573 Views
Habari zenu wadau? Nahitaji kununua banana crips kwa wingi. Nahitaji mtu anayetengeneza,sio muuzaji,ili nipate bei nzuri. Zinahitajika Arusha town. Njoo PM kama unazo banana crips.
0 Reactions
1 Replies
964 Views
wakuu kwa mbeya wapi naweza pata mafunzo rasmi ya vtu kma hvyo happo juu
0 Reactions
96 Replies
25K Views
Hdd 500 GB ram 4gb core i3 charge masaa matatu bei 300000 kwa mawasiliano 0716872076
1 Reactions
0 Replies
609 Views
closed
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom