Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nipo morogoro mjini natafuta till tajwa hapo juu,mwenye nazo tuwasiliane 0759417989
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nimepeleza cherehani moja kwa ajili ya kukamilisha kiwanda changu kipya ninachotarajia kufungua hv karibuni. hii ni ktk kuunga mkono juhudi na kutoa ajira kwa vijana. Hivyo...
0 Reactions
4 Replies
837 Views
Natafuta soko la vifaranga wa kuku wa kienyeji wa umri wa week moja. pia natafuta soko la kuku wakubwa wa kienyeji. kwa mawasiliano: 0713722589. tupo dar maeneo ya tabata
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Katika kuelekea msimu mpya wa masomo gs power installation ltd ikishirikiana na veta imeandaa mafunzo ya ufundi wa electric fence,cctv camera pamoja na alarm system.Mafunzo ni ya muda wa miezi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mahali: Malamba Mawili(Mbezi Luis) km 6.7 toka barabara ya lami(Morogoro Road) Nyumba mpya yenye 3 bed rooms moja master,dining,jiko,public toilet. Sewage system imekamilika. Bado Tiles na...
2 Reactions
31 Replies
3K Views
MZIGO MPYA: . Inatumia umeme Material yake ni mazuri mno Stainlessteel 304. Bei Tsh 350,000 Huweki oda, ipo tayari dukani DSM Kinondoni Mkwajuni nyuma ya CCM, lilipo tawi la timu ya Simba (utaona...
2 Reactions
13 Replies
14K Views
Kwa yeyote anayehitaji lens ya camera ya aina yeyote tuwasiliane
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kichwa cha habari hapo juu kinahusika Nina hitaji la eneo la biashara ya Tigo pesa maeneo tajwa hapo juu lakini hata sielewi niaanzie wapi? Naogopa kutapeliwa pia??? Mweny uelewa au uxoefu na...
0 Reactions
0 Replies
684 Views
Habarini wakuu Mwaka 2016 nilitengeneza blog lakini sikuweza kuiendesha kwa sababu kwanza sikujua namna ya kuitumia,pili vocha nilipata kwa shida sana. Lakini siku kata tamaa hata Mara moja...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wadau nahitaji cherehani ya kushona nguo kwa ajili ya kuunga mkono juhudi na kutekeleza sara ya awamu hii tulionayo. Nina upungufu wa cherehani 1 ili kukamilisha kiwanda changu kipya. Basi...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Je wapenda kupata kitoweo kinono sikukuu hii basi ni pm ujipatie kuku na bata wanono kwa ajili ya hii sikukuu wateja walioko dar tu mnakaribishwa Kwa mawasiliano Piga 0717848369
0 Reactions
6 Replies
822 Views
Shamba linauzwa Tanga Michungwani hapo hapo Center, Lina Ukubwa WA Ekari 10, Na lina Michungwa shamba zima, wastani wa mavuno wa Machungwa ni 120,000 pieces kwa msimu. Mbegu ya michungwa hii ni...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
nahitaji betri ya simu aina ya HTC DISIRE 320
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa mahitaji ya kuku wanono wakienyeji na bata wanono ni pm mlioko dar tufanye biashara Kwa walio serious wapige 0717848369
0 Reactions
6 Replies
977 Views
UNGA WA LISHE - Ulezi Kg30 -Maindi kg5 -mtaama Kg5 -Ngano Kg4 -karanga Kg 2 -soya kg 2 Unatoka kilo 50 Ambao ukiweka ktk vifuko vya nusu kilo unatoka vifuko 100..ambazo utauza 2000 each...
2 Reactions
5 Replies
8K Views
Habarini wana Jf! Nafikiria kununua machine ya kusaga na kukoboa ili kuweza kupata pumba kwa ajili ya mradi wa ngurue utakaoanza baadae. Machine hizo zitafungwa Chunya vijijini(Mbeya). Wazo ni...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Nauza vitu tajwa katika kichwa cha habari. Vyenye sifa zifuatazo. Display ;- 15.6 inch display Bei yake ni Tsh 85,000. RAM ;- DDR 3, 2GB kila moja zipo pieces mbili, kila moja inaukubwa wa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari za leo wadau wa JF, Poleni sana na uchovu wa wikiendi. Natafuta mtu ambaye anaweza kunisaidia kupata bata wa aina ya pekin na nina maanisha pure white pekin duck. Nahitaji wasiopungua 50...
0 Reactions
16 Replies
9K Views
Naweka picha kwanza maelezo yatakuja.
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Back
Top Bottom