Habari wakuu,
Nimepeleza cherehani moja kwa ajili ya kukamilisha kiwanda changu kipya ninachotarajia kufungua hv karibuni. hii ni ktk kuunga mkono juhudi na kutoa ajira kwa vijana.
Hivyo...
Natafuta soko la vifaranga wa kuku wa kienyeji wa umri wa week moja.
pia natafuta soko la kuku wakubwa wa kienyeji.
kwa mawasiliano: 0713722589. tupo dar maeneo ya tabata
Katika kuelekea msimu mpya wa masomo gs power installation ltd ikishirikiana na veta imeandaa mafunzo ya ufundi wa electric fence,cctv camera pamoja na alarm system.Mafunzo ni ya muda wa miezi...
Mahali: Malamba Mawili(Mbezi Luis) km 6.7 toka barabara ya lami(Morogoro Road)
Nyumba mpya yenye 3 bed rooms moja master,dining,jiko,public toilet.
Sewage system imekamilika.
Bado Tiles na...
MZIGO MPYA: . Inatumia umeme Material yake ni mazuri mno Stainlessteel 304. Bei Tsh 350,000 Huweki oda, ipo tayari dukani DSM Kinondoni Mkwajuni nyuma ya CCM, lilipo tawi la timu ya Simba (utaona...
Kichwa cha habari hapo juu kinahusika
Nina hitaji la eneo la biashara ya Tigo pesa maeneo tajwa hapo juu lakini hata sielewi niaanzie wapi?
Naogopa kutapeliwa pia???
Mweny uelewa au uxoefu na...
Habarini wakuu
Mwaka 2016 nilitengeneza blog lakini sikuweza kuiendesha kwa sababu kwanza sikujua namna ya kuitumia,pili vocha nilipata kwa shida sana.
Lakini siku kata tamaa hata Mara moja...
Wadau nahitaji cherehani ya kushona nguo kwa ajili ya kuunga mkono juhudi na kutekeleza sara ya awamu hii tulionayo. Nina upungufu wa cherehani 1 ili kukamilisha kiwanda changu kipya. Basi...
Je wapenda kupata kitoweo kinono sikukuu hii basi ni pm ujipatie kuku na bata wanono kwa ajili ya hii sikukuu wateja walioko dar tu mnakaribishwa
Kwa mawasiliano Piga 0717848369
Shamba linauzwa Tanga Michungwani hapo hapo Center, Lina Ukubwa WA Ekari 10, Na lina Michungwa shamba zima, wastani wa mavuno wa Machungwa ni 120,000 pieces kwa msimu. Mbegu ya michungwa hii ni...
UNGA WA LISHE
- Ulezi Kg30
-Maindi kg5
-mtaama Kg5
-Ngano Kg4
-karanga Kg 2
-soya kg 2
Unatoka kilo 50
Ambao ukiweka ktk vifuko vya nusu kilo unatoka vifuko 100..ambazo utauza 2000 each...
Habarini wana Jf! Nafikiria kununua machine ya kusaga na kukoboa ili kuweza kupata pumba kwa ajili ya mradi wa ngurue utakaoanza baadae. Machine hizo zitafungwa Chunya vijijini(Mbeya). Wazo ni...
Nauza vitu tajwa katika kichwa cha habari. Vyenye sifa zifuatazo.
Display ;- 15.6 inch display
Bei yake ni Tsh 85,000.
RAM ;- DDR 3, 2GB kila moja
zipo pieces mbili, kila moja inaukubwa wa...
Habari za leo wadau wa JF,
Poleni sana na uchovu wa wikiendi. Natafuta mtu ambaye anaweza kunisaidia kupata bata wa aina ya pekin na nina maanisha pure white pekin duck. Nahitaji wasiopungua 50...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.