Natafuta Airtel UNI vocha

Natafuta Airtel UNI vocha

RuwaIkunda

Senior Member
Joined
Nov 2, 2017
Posts
156
Reaction score
278
Habari!! Natafuta Airtel UNI vocha za usiku zile za wanafunzi wa chuo kama hiii hapa aliye nazo au anajua nani anazo naomba kupata kujua. Mfano wa hizo vocha nimeambatanisha chini hapo[emoji1313]
IMG_3260.JPG
IMG_3261.JPG
Asante!!
 
Unataka kiasi gani?,nina mzigo huo ofisini wa kama mil 5 hivi ndio uliosalia.
 
Naskia mikoa ya pwani zimesalia

Yaani ninazitafuta kweli!! Nikiuliza wananiambia kuwa hivyo vifurushi vimehamishwa katika line za chuo za Airtel nikifuatilia wananiambia hakuna line za chuo za Airtel nikitaka hivyo vifurushi naambiwa nipige hii namba *149*81# nikipiga siipati ile ya 10 GB ninayo itaka ndio shida ipo hapo!!
 
Yaani ninazitafuta kweli!! Nikiuliza wananiambia kuwa hivyo vifurushi vimehamishwa katika line za chuo za Airtel nikifuatilia wananiambia hakuna line za chuo za Airtel nikitaka hivyo vifurushi naambiwa nipige hii namba *149*81# nikipiga siipati ile ya 10 GB ninayo itaka ndio shida ipo hapo!!
10 GB kwenye laini zao za chuo hakuna, yani wamepunguza sana data hawa jamaa hata kile cha GB 3 nacho hakipo
 
Back
Top Bottom