Mungu atusaidie uvumilivu na subira Madalali, -Ameen.Preferably kinondoni!
Umeme
Maji
Wapangaji wasiwe wengi!
Nikipata bila dalali itapendeza zaidi!
Ko laki moja unaiona ndogo? Hiyo laki kwa kodi ya miezi 6 si laki 6 ukijumlisha na hyo kodi ya mwezi mnayoitaka??Mungu atusaidie uvumilivu na subira Madalali, -Ameen.
Hivi kweli 'single room ' na mkwara wapangaji wasiwe wengi.
Kweli?
Na ukiulizwa ofa hukawii kusema Laki moja.
Sawa mkuu kilikuwepo chumba self na kijiko kwa ndan sema kuna lijibaba limeshakchukua kina na liku yakeNdo anaanza maisha chumba na sebule hakihitajiki
Hahaaa kama ni hivo hata ww siutafute mwenyeweTafuta mwenyew
Sawa ngoja nisome vzrSijasema dalali hahitajiki, nimesema itapendeza zaidi!
Ko kama yupo haina shida, watu wanashindwa tuu kuelewa kilichoandikwa wanasoma juujuu
Sina kawaida ya kudharau Pesa,Ko laki moja unaiona ndogo? Hiyo laki kwa kodi ya miezi 6 si laki 6 ukijumlisha na hyo kodi ya mwezi mnayoitaka??
Mpaka mtu kasema ivo labda mfuko wake hana uwezo wa kumlipa dalali??
Aaah ayaaSina kawaida ya kudharau Pesa,
Vipo vyumba hadi vya 50.
Shida ni hayo masharti ,
Unataka chumba kimoja lakini nyumba isiwe na wapangaji wengi?
Hapa ndipo panapoleta 'ukakasi'.
Hii lafudhi yako mbona tamu hivi,Aaah ayaa
Sikujua km hilo lashtusha hivyo,
Nashukuru kwa kunihabarisha
Walaa, mie mtu wa bara!
Ila ukinipa chumba naweza kuwa wa Pwani[emoji6] [emoji6]